slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

holiganbet

jojobet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

vdcasino

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

teosbet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

istanbulbahis

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu

Hacklink Panel

palacebet

vdcasino giriş

bets10 giriş

interbahis

mavibet

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet giriş

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

meritking

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

marsbahis

jojobet giriş

matbet

sekabet

pusulabet

vdcasino giriş

kingroyal

betist

Featured Kitaifa

KAMATI YA SIASA CCM HALMASHAURI YA SHINYANGA YARIDHISHWA NA KASI YA MIUNDOMBINU YA MAJI SHUWASA

Written by Alex Sonna

 Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka katika Halmashauri ya Shinyanga imefanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya kusambaza majisafi kwa wananchi wa kata ya Didia pamoja na Tinde.

 

 
Katika ziara hiyo walitembelea na kujionea mradi wa ujenzi wa tangi kubwa la ujazo wa lita laki moja za maji lililopo katika kijiji cha Didia lenye uwezo wa kuhudumia wakazi zaidi ya 7000.
 
 
Mradi mwingine ambao kamati ya Siasa ilipata kutembelea ni pamoja na mradi wa usambazaji maji kwa wananchi katika kata ya Tinde kutoka katika tangi kubwa la maji lilipo katika kijiji cha Buchama.
 
Akizungumza mara baada ya kujionea na kukagua maendeleo ya miradi hiyo Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, Ndugu Edward Ngelela, amesema kuwa wao kama viongozi wa chama wameridhishwa na kasi ya ujenzi wa miundombinu ya upatikanaji wa maji ikiwa ni moja ya jambo kubwa ambalo lipo katika Ilani ya chama chao la kuhakikisha inafikisha huduma ya majisafi kwa wananchi wote.
 
 
Aidha ametoa wito kwa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA) kuhakikisha inakamilisha kwa wakati taratibu zote za uboreshwaji wa miundombinu hiyo ambayo ipo katika hatua za mwisho ili kuweza kufikisha majisafi kwa wananchi
 
“Niwaombe SHUWASA mhakikishe mnakamilisha mradi huu kwa haraka ili wananchi wetu waweze kupata huduma hii ya majisafi kwani ndio ishara itakayoonyesha kuwa tunafanya kazi na nyie pia mnafanya kazi katika kuwahudumia wananchi maana mnajukumu kubwa katika kuhakikisha mnaitekeleza Ilani kwa vitendo,” amesema Ngelela.
 
 
Pia ameongeza kuwa hapo awali Halmashauri ya Shinyanga ilikuwa ikipatiwa huduma ya usambazaji majisafi toka katika Mamlaka ya Usambazaji Maji Vijijini (RUWASA) lakini kutokana na baadhi ya maeneo ya Halmashauri kuwa na hadhi ya miji ndipo ikakabidhiwa SHUWASA hivyo wao kama viongozi wa chama hawatoacha kushirikiana na Mamlaka katika kuwahudumia wananchi.
 
 
Vilevile ameitaka SHUWASA kupitia upya bei za maji kwani inaonekana kuna maeneo kama Didia huduma ya maji kwa unit moja ni bei kubwa tofauti na maeneo mengine.
 
 
Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA), CPA Sarah Emmanuel, katika kutoa taarifa ya miradi hiyo ambayo imetembelewa na kamati hiyo amesema SHUWASA inatarajia kuunganisha wananchi na huduma ya maji kupitia miradi hiyo ya Didia na Tinde ili waanze kupata majisafi na kufurahia matunda ya nchi yao.
 
 
Hata hivyo amewatoa hofu wananchi wa Didia katika ombi lao la kuomba kupunguzwa kwa bei za maji kwa unit moja kwani tayari SHUWASA imeishachukua hatua kwa kupeleka mapendekezo mapya ya bei za maji EWURA ambao ndio wenye mamlaka ya kuidhinisha na kubadilisha bei za maji.
 
 
Pia amewahakikishia wananchi wa kijiji cha Buchama kuwa Mamlaka inajitahidi kuhakikisha inapata fedha za kuwafikishia maji ili waweze kunufaika na huduma hiyo na wasiishie tu kuwa walinzi wa mradi wa tangi hilo bila kunufaika.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, Ndugu Edward Ngelela akizungumza
Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA), CPA Sarah Emmanuel akizungumza 
 

About the author

Alex Sonna