marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

anadoluslot

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

savoycasino

porno izle

boostaro review

casibom giriş

betticket

NervEase

Çanakkale Escort

Denizli Escort

izmit escort

matbet

vdcasino

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

holiganbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

betplay

marsbahis

ngsbahis

mavibet

parmabet

mislibet

norabahis

artemisbet

nitrobahis

betpuan

jojobet

betasus giriş

kingroyal giriş

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet, kralbet giriş

alobet, alobet giriş

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

Featured Kitaifa

WAZIRI MCHENGERWA ATOA MIEZI MIWILI KUKAMILISHA MKAKATI ACHIA SHOKA KAMATA MZINGA, AZINDUA MWONGOZO WA USIMAMIZI WA HIFADHI ZA NYUKI

Written by Alex Sonna

Na John Mapepele

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mohamed Mchengerwa amewataka watendaji wa sekta ya Misitu na Nyuki kukamilisha mkakati wa kuongeza uzalishaji wa asali toka tani 35000 za sasa hadi tani 138000 katika kipindi cha miezi miwili alioupa jina la mkakati wa “achia shoka kamata mzinga” huku akitaka eneo la misitu na asali kufanyiwa utafiti wa kutosha ili litumike kama zao jipya la utalii.

Mhe Mchengerwa ameyasema hayo leo Mei 21, 2023 wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Nyuki Duniani yaliyofanyika kitaifa katika Uwanja wa Bombadia mkoani Singida.

Akiwa kiwanjani hapo amezindua Mwongozo wa Usimamizi wa Hifadhi za nyuki, na vibanda maalum vya kuuzia asali pia ametoa Tuzo 5 za wadau wenye mchango mkubwa kwenye Sekta ya nyuki na ametoa vyeti kwa wanafunzi walioandika nsha nzuri kuhusu ufugaji wa nyuki.

Akisoma hotuba yake amesema pamoja na uwepo wa maeneo makubwa yaliyohifadhiwa na yanayofaa kwa ajili ya kuzalisha mazao ya nyuki yenye viwango bora vado takwimu zinaonesha uzalishaji ni 23% ikilinganishwa na uwezo uliopo wa kuzalisha tani 138,000 kwa mwaka.

Kutokana na hali hiyo Mhe. Mchengerwa ameelekeza Wizara ya Maliasili ishirikiane na Wizara ya Kilimo kuanzisha programu za matumizi ya makundi ya nyuki kwenye uchavushaji mimea ili tuweze kuongeza kiwango na ubora wa mazao yanayozalishwa.

Ameitaka Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) na Mfuko wa Misitu kuhakikisha wanawezesha wananchi hasa wale wanaopakana na maeneo ya hifadhi kwa kuwapatia mafunzo ya ufugaji nyuki pamoja na mizinga ya kisasa. Pia kushirikiana na wadau mbalimbali kuhamasisha jamii kupanda na kuitunza miti katika maeneo yao.

Aidha, amesema pamoja na Serikali kuweka jitihada kubwa kwenye kulinda na kuhifadhi maliasili, bado katika kipindi cha hivi karibuni kumekuwa na kasi kubwa ya uharibifu wa maeneo yaliyohifadhiwa kutokana na shughuli mbalimbali za kibinadamu.

Akitolea mfano amesema mkoa wa Singida umebarikiwa kuwa na uoto wa kipekee ujulikanao kwa jina maarufu kama Vichaka vya Itigi (Itigi Thicket) ambao upatikana katika nchi mbili tu duniani, yaani Tanzania na nchi ya Zambia ambao katika kipindi cha miaka kumekuwa na kasi kubwa ya ukataji na uondoaji wa uoto huu kwa shughuli mbalimbali za kibinadamu.

Hali hii imesababisha sehemu kubwa ya ardhi iliyokuwa na uoto huu kubaki wazi na pia kumebainika kuwepo kwa mimea vamizi pale ambapo uoto huu ulipoondolewa. Kutokana na hali hiyo ameielekeza Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kuhakikisha kuwa maeneo yote yaliyobaki ambayo yenye uoto huo yanatambuliwa na kuhifadhiwa kisheria, pia wananchi waliopo kwenye maeneo hayo wanapewa elimu kuhusu utunzaji wa mazingira na ufugaji nyuki kibiashara.

Ameitaka TFS kuhakikisha vijiji vyote vya maeneo hayo vinakuwa na mipango bora ya matumizi ya ardhi na inatekelezwa ipasavyo.

Pia kutoa elimu kwa wafugaji nyuki ili waweze kutumia vifaa sahihi vitakavyoweza kuendeleza uhifadhi wa maeneo hayo.

Akizungumzia kuhusu zoezi la uwekaji wa mizinga nchi nzima Mhe Mchengerwa ametoa rai kwa wananchi kutumia wataalamu wa ufugaji nyuki waliokwenye maeneo yao kupata elimu sahihi ya namna ya kufuga nyuki kwa tija na kusisitiza wataalamu watoke maofisini na kwenda kuwahudumia wananchi.

Aidha amesema pamoja na faida nyingi tunazopata kutoka kwa mdudu nyuki bado nyuki anaweza kutumika kutupatia zao jipya la utalii ambapo amesema katika nchi ya Solvenia mdudu nyuki hutumika sana kwa ajili ya shughuli za utalii.

Amewataka wataalamu kuangalia namna watakavyoweza kupata sifa za kipekee za asali inayozalishwa hapa nchini ili tuweze kuitangaza Kimataifa ambapo ametoa wito kwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam; Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine; pamoja na Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Nelson Mandela Arusha kufanya utafiti huu.

Naye Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) ametumia fursa hiyo kumshukuru Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna ambavyo amekuwa akielekeza na kusisitiza kulinda Maliasili na kuendeleza utalii.

Aidha, amempongeza Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mohammed Mchengerwa (Mb) kwa kutembea takriban nchi nzima kuhamasisha utunzaji wa maliasili, mazingira na uendelezaji utalii.

About the author

Alex Sonna