Featured Michezo

MERIDIANBET YAIBUKIA MABIBO KUTOA MSAADA

Written by mzalendoeditor

Kampuni ya Meridianbet imeibukia mtaa wa Mabibo kutoa msaada kwa timu ya mpira wa miguu ya Mabibo Boys ambapo mabingwa hao wa michezo ya kubashiri wamegawa vifaa vya michezo kwa timu hiyo ya Mabibo Boys ambapo wametoa mipira pamoja na jezi hiyo katika kuhakikisha timu hiyo inafanya vizuri zaidi.

Meridianbet wao wamekua kama kioo kwa makampuni ya kubashiri kwani wao wamekua wakijitolea kwa jamii yake mara kwa mara na zamu hii imewapata wakazi wa Mabibo ambapo timu yao ya Mabibo Boys imepata bahati ya kupokea vifaa vya michezo kutoka kampuni ya Meridianbet mapema leo.

Meridianbet wanaendelea kurudisha kwa jamii kila siku kwani kufanya hivyo ni kuwajali vijana hasa katika soka. Meridianbet “CHAGUA TUKUPE”.

Sub-Heading:

Pata mizunguko 50 ya bure kucheza sloti na michezo ya kasino ya mtandaoni ukijisajili na Meridianbet. Jisajili kupitia link hii

 

Bwana Matina Nkurlu alisema kuwa Meridianbet iliamua kuwafikia Mabibo Boys kwasababu,

“Meridianbet tunaamini michezo ni Afya na ni Ajira hivyo kuwapa vifaa  vya michezo ndugu zetu wa Mabibo Boys ni katika kuhakikisha vijana hawa wanakua na afya njema lakini pia kupata ajira kupitia michezo, na tunatoa wito kwa makampuni mengine kushiri kikamilifu kuvisaidia hivi vituo vidogo vya michezo ili kuzalisha watu wengi wenye mafanikio kwenye michezo”

Vilevile baada ya kupokea vifaa hivyo michezo katibu wa timu ya Mabibo Boys alisema “Kiukweli msaada huu umekuja wakati sahihi kabisa kwakua timu yetu ilikua na uhitaji mkubwa wa vifaa vya michezo na mipira hivyo hii itakua ni sehemu ya kutatua changamoto za timu kuelekea kwenye mashindano

Meridianbet imekua na utaratibu wa kutoa misaada katika sehemu mbalimbali bila kujali tasnia hii imekua ni kawaida kwao pale ambapo wataona jamii ina uhitaji wao wamekua mstari wa mbele kuhakikisha wanatoa msaada katika eneo hilo.

 Pia Meridianbet imeleta mchongo wa  hela kila siku. Kuna hii bonasi ya ukaribisho kwa wateja wapya wote wanapata Tsh 25,000/= ya kucheza michezo ya kasino ya mtandaoni. Ingia mchezoni www.meridianbet.co.tz

Basi nakwambiaje pesa zipo hapa Meridianbet kama hujajiunga huu ndio muda sasa ingia na uweze kupata hiyo bonasi na ubashiri mechi zako kadhaa unazoamini kuwa zitakupa ushindi ndani ya Mabingwa wa ODDS KUBWA.

 Ukiwa na meridianbet unaweza kubashiri mubashara, tembelea maduka ya meridianbet uweze kucheza michezo ya sloti na kasino ya mtandaoni.

Kampuni zingine ziige mfano kutoka Meridianbet kwa kurudisha kwa jamii kwani kuwaunga mkono vijana hasa katika soka itasaidia sana kuleta chachu ya maendeleo katika sekta ya michezo kwani vijana ndio Taifa la leo.

 

Beti na Meridianbet mechi za ligi zote, odds ni kubwa sana, usikose pia Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet yenye michezo rahisi ya sloti kama Poker, Aviator, Roulette.

 

NB: Habari njema kwako, Meridianbet imesikia ombi la wengi imekuja na Jackpot kubwa ya mechi 13 kwa dau dogo la kuanzia 1,000/=TZS mshindi atajinyakulia donge nono la Tsh 85,000,000/= PIGA *149*10#

#MERIDIANBET CHAGUA TUKUPE

About the author

mzalendoeditor