Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

nitrobahis

mavibet giriş

kavbet giriş

mavibet

mavibet

mavibet giriş

mavibet

cratosroyalbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

Grandpashabet Güncel Giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

bets10

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

dinimi sitiliri

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10

piabellacasino

nerobet

cratosroyalbet

nitrobahis

mavibet giriş

mavibet

Meritking

meritking

สล็อตเว็บตรง

bets10

tarafbet

jojobet

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

meritbet giriş

tipobet

kavbet

mavibet

jojobet giriş

jojobet adres

jojobet giriş

jojobet telegram

marsbahis giriş

jojobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

caddebet, caddebet giriş

betgar

betsat

grandpashabet

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

tarafbet

jojobet

casibom

bets10 güncel giriş adresi

bets10

jojobet

jojobet giriş

ilbet

hilbet

jojobet giriş

sweet bonanza siteleri

Ankara escort

kingroyal

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

piabet

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

Google

casinoroyal

primebahis

marsbahis

turkey dental implants cost

Doctors | Akdeniz University Hospital Login

deneme bonusu veren siteler

casino siteleri

casibom

casibom giriş

dental implants turkey clinics

casibom güncel giriş

betflix giriş

turkey dental implants

deneme bonusu

wbahis

imajbet

grandpashabet

jojobet

casinowon

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

mavibet

marsbahis

marsbahis

marsbahis

meritking

meritking

marsbahis

meritking

jojobet

jojobet güncel

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

marsbahis

Hacklink panel

zirvebet

holiganbet

Google

meritking

holiganbet

jojobet adres

jojobet giris

jojobet giris

jojobet para çekme

jojobet güncel

jojobet giris

jojobet giris

jojobet

matbet

otobet

otobet giriş

betturkey

betturkey giriş

sahabet

marsbahis giriş

marsbahis giriş

truvabet

mavibet

mavibet

mavibet

Bet365 Giriş

betturkey

betturkey giriş

betflix

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

mavibet

piabellacasino

robinbet

tipobet

holiganbet

porno izle

bets10

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

betebet

jojobet

jojobet erişim

jojobet adres

jojobet para yatırma

jojobet giris

casibom güncel giriş

jojobet adres

jojobet oyunlar

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet son giriş

jojobet canlı bahis

jojobet aninda

jojobet bonuslar

jojobet bahis

jojobet casino

jojobet adres

jojobet telegram

giriş jojobet

marsbahis

jojobet giris

marsbahis

jojobet vip giriş

jojobet tik giriş

jojobet adres

jojobet gir

jojobet giris

güncel giriş burada jojobet

jojobet telegram

jojobet heyecan

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

jojobet güncel

goldenbahis

coinbar

betcio, betcio giriş

galabet, galabet giriş

deneme bonusu

jojobet giriş

grandpashabet

gorabet

jojobet

https://sjconsultors.com/

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

starzbet

pusulabet

betbox

casibom

meritking giriş

meritking

dedektör

vdcasino

marsbahis

Featured Kitaifa

UKWELI KUHUSU MGOMO WA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO

Written by Alex Sonna
 
Wafanyabiashara wakubwa wakwepa kodi tangu enzi za Awamu ya Nne watajwa kuwa chanzo cha mgomo
 
Maamuzi ya Rais Samia ya kutuma timu ya mawaziri Kariakoo yazima mgogoro
 
Kamati ya watu 14 kutoka Serikalini, wafanyabiashara yapewa jukumu la kumaliza mzizi wa fitna
 
***
IMEBAINIKA kuwa wafanyabiashara wakubwa wanaokwepa kodi za forodha za kuingiza makontena ya bidhaa kutoka China na baadhi ya wanasiasa ndiyo waliokuwa chanzo kikuu cha mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo, huku wafanyabiashara wadogo wakitumika kama chambo na vipaza sauti kuchochea mgomo huo.
 
Wafanyabiashara hao ambao wanaagiza mzigo mkubwa wa bidhaa kutoka China, Uturuki, Dubai na nchi nyingine huku wakikwepa kodi wakati wanaingiza makontena yao ya bidhaa kwenye Bandari ya Dar es Salaam, wamewachochea wafanyabiashara wadogo wa Kariakoo kugoma ili kushinika Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) isiwabane kwenye ukwepaji wao wa kodi.
 
Baadhi ya wanasiasa nao wameshiriki kuchochea mgomo huo kwa maslahi yao binafsi ya pesa na kisiasa.
 
Hivi karibuni umetokea mgomo wa wafanyabiashara kwenye soko la Kariakoo jijini Dar es Salaam, ambalo ndiyo soko kuu la bidhaa mbalimbali za jumla na rejareja zinazouzwa nchini na hata kwenye baadhi ya nchi jirani.
 
Mgogoro huo ulisababisha Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kutuma timu ya viongozi waandamizi, ikiwemo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Mwigulu Nchemba, na Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt Ashatu Kijaji.
 
Baada ya kikao cha wazi cha mawaziri na wafanyabiashara, Serikali iliunda kamati ya watu 14, ikijumuisha maafisa waandamizi wa serikali na wafanyabiashara ili kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa malalamiko ya wafanyabiashara wa Kariakoo.
 
Hata hivyo, taarifa kutoka ndani ya soko la Kariakoo zimethibitisha kuwa wafanyabiashara wadogo wametumika kushiriki kwenye mgomo huo na wafanyabiashara wakubwa wanaoingiza makontena ya bidhaa kutoka China na nchi nyingine ili kutengeneza mgogoro wa kisiasa.
 
“Kuna wafanyabiashara wanajulikana tangu enzi za Serikali ya Awamu ya Nne ya Rais Jakaya Kikwete ambao walikuwa ni vinara wa kukwepa kodi kwa kuingiza makontena ya bidhaa kutoka China, Dubai, Uturuki na nchi nyingine ndiyo chanzo cha mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo,” kilisema chanzo kimoja cha habari.
 
“Wafanyabiashara hao vinara wa kukwepa kodi wamebanwa na TRA kwenye Serikali ya Awamu ya Sita ya Rais Samia, hadi makusanyo ya kodi yamevunja rekodi kwa kufikia wastani wa Shilingi trilioni 2 kwa mwezi ambayo haijawahi kutokea tangu tupate uhuru.”
 
Baada ya kuona kuwa wamebanwa na TRA, hususan kwenye eneo la kudhibiti utozaji kodi wa makontena ya bidhaa kutoka China, na jitihada za kudhibiti maghala ya bidhaa kwenye maduka Kariakoo, wafanyabiashara hao wakubwa wakawachochea wafanyabiashara wadogo wa Kariakoo waanzishe mgomo wao uliodumu kwa siku kadhaa.
 
“Kusema ukweli TRA imefanya kazi nzuri ya kuwabana wakwepaji kodi hawa wakubwa kwa kutaka kila kontena la mizigo linaloingia nchini lilipiwe kodi stahiki. Hizi vurugu zote tunazoona Kariakoo ni matokeo ya hawa wafanyabiashara wakubwa wakwepaji kodi kutaka kuzua taharuki ili TRA iache kuwabana,” alisema mfanyabiashara mmoja wa Kariakoo.
 
Baadhi ya matatizo waliyolalamikia wafanyabiashara ni utitiri wa kodi na tozo za Serikali kuu na Serikali za Mitaa, viwango vikubwa vya kodi ya TRA, rushwa miongoni mwa baadhi ya watumishi wasiokuwa waaminifu wa umma wa TRA, TANROADS, LATRA na Polisi.
 
“Baadhi ya malalamiko ya wafanyabiashara wa Kariakoo, ikiwemo kuombwa rushwa na watumishi wachache wa TRA wasiokuwa na maadili, viwango vikubwa vya kodi na utitiri wa tozo za Serikali za Mitaa yana hoja. Lakini nyuma ya pazia waliochochoea mgomo huo ni hao wafanyabiashara wakubwa wanaoingiza makontena ya bidhaa kutoka China na nchi nyingine,” alisema.
 
Takwimu za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zinaonesha kuwa kwa mwaka 2021 peke yake, Tanzania iliingiza bidhaa zenye thamani ya karibu dola za Marekani Bilioni 2.7 kutoka China, ambayo ni sawa na Shilingi trilioni 6.5, huku sehemu kubwa ya mizigo hiyo kutoka China ikiwa ni bidhaa zinazouzwa kwenye soko la Kariakoo.
 
“Lengo la wafanyabiashara wakubwa hawa ambao ni vinara wa kukwepa kodi ni kuchochea mgomo wa wafanyabiashara wadogo wa Kariakoo ili kuishinikiza Serikali iwaagize TRA waache kuwabana wakwepa kodi hawa kwenye mamia ya makontena ya bidhaa kutoka nje ambayo wanaingiza kila mwezi na kwenye maghala yao ambayo wanayatumia kukwepa kodi,” alisema muuza duka mmoja wa Kariakoo.
 
“Tunaipongeza Serikali ya Rais Samia kwa kusikiliza kilio cha wafanyabiashara wadogo wa Kariakoo kuhusu ukubwa wa viwango vya kodi na utitiri wa tozo kutoka manispaa, lakini tunaomba Serikali iwe makini na hawa wafanyabiashawa wakubwa wakwepa kodi wanaotaka kututumia wafanyabiashara wadogo kufanikisha ukwepaji wao wa kodi.”  

 

About the author

Alex Sonna