marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

matbet

marsbahis

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

grandpashabet

pusulabet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

teosbet

marsbahis

royalbet

elexbet giriş

kavbet

milanobet

restbet

imajbet

betoffice

imajbet

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

gobahis, gobahis giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

setrabet

starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

pokerklas giriş

kingroyal giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

jojobet

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10 giriş

bets10 giriş

bets10 giriş

Tipobet

jojobet

türk ifşa

casinoroyal

İkimisli

casinofast

superbetin

bahibom

vipslot

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

jojobet

lunabet

lunabet giriş

betpas

betpas giriş

pokerklas

pokerklas giriş

mislibet

mislibet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

lisanslı casino siteleri

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

bets10

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

betbey

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

betpas

kralbet

elexbet

สล็อตเว็บตรง

bets10

Featured Kitaifa

UKWELI KUHUSU MGOMO WA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO

Written by Alex Sonna
 
Wafanyabiashara wakubwa wakwepa kodi tangu enzi za Awamu ya Nne watajwa kuwa chanzo cha mgomo
 
Maamuzi ya Rais Samia ya kutuma timu ya mawaziri Kariakoo yazima mgogoro
 
Kamati ya watu 14 kutoka Serikalini, wafanyabiashara yapewa jukumu la kumaliza mzizi wa fitna
 
***
IMEBAINIKA kuwa wafanyabiashara wakubwa wanaokwepa kodi za forodha za kuingiza makontena ya bidhaa kutoka China na baadhi ya wanasiasa ndiyo waliokuwa chanzo kikuu cha mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo, huku wafanyabiashara wadogo wakitumika kama chambo na vipaza sauti kuchochea mgomo huo.
 
Wafanyabiashara hao ambao wanaagiza mzigo mkubwa wa bidhaa kutoka China, Uturuki, Dubai na nchi nyingine huku wakikwepa kodi wakati wanaingiza makontena yao ya bidhaa kwenye Bandari ya Dar es Salaam, wamewachochea wafanyabiashara wadogo wa Kariakoo kugoma ili kushinika Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) isiwabane kwenye ukwepaji wao wa kodi.
 
Baadhi ya wanasiasa nao wameshiriki kuchochea mgomo huo kwa maslahi yao binafsi ya pesa na kisiasa.
 
Hivi karibuni umetokea mgomo wa wafanyabiashara kwenye soko la Kariakoo jijini Dar es Salaam, ambalo ndiyo soko kuu la bidhaa mbalimbali za jumla na rejareja zinazouzwa nchini na hata kwenye baadhi ya nchi jirani.
 
Mgogoro huo ulisababisha Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kutuma timu ya viongozi waandamizi, ikiwemo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Mwigulu Nchemba, na Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt Ashatu Kijaji.
 
Baada ya kikao cha wazi cha mawaziri na wafanyabiashara, Serikali iliunda kamati ya watu 14, ikijumuisha maafisa waandamizi wa serikali na wafanyabiashara ili kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa malalamiko ya wafanyabiashara wa Kariakoo.
 
Hata hivyo, taarifa kutoka ndani ya soko la Kariakoo zimethibitisha kuwa wafanyabiashara wadogo wametumika kushiriki kwenye mgomo huo na wafanyabiashara wakubwa wanaoingiza makontena ya bidhaa kutoka China na nchi nyingine ili kutengeneza mgogoro wa kisiasa.
 
“Kuna wafanyabiashara wanajulikana tangu enzi za Serikali ya Awamu ya Nne ya Rais Jakaya Kikwete ambao walikuwa ni vinara wa kukwepa kodi kwa kuingiza makontena ya bidhaa kutoka China, Dubai, Uturuki na nchi nyingine ndiyo chanzo cha mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo,” kilisema chanzo kimoja cha habari.
 
“Wafanyabiashara hao vinara wa kukwepa kodi wamebanwa na TRA kwenye Serikali ya Awamu ya Sita ya Rais Samia, hadi makusanyo ya kodi yamevunja rekodi kwa kufikia wastani wa Shilingi trilioni 2 kwa mwezi ambayo haijawahi kutokea tangu tupate uhuru.”
 
Baada ya kuona kuwa wamebanwa na TRA, hususan kwenye eneo la kudhibiti utozaji kodi wa makontena ya bidhaa kutoka China, na jitihada za kudhibiti maghala ya bidhaa kwenye maduka Kariakoo, wafanyabiashara hao wakubwa wakawachochea wafanyabiashara wadogo wa Kariakoo waanzishe mgomo wao uliodumu kwa siku kadhaa.
 
“Kusema ukweli TRA imefanya kazi nzuri ya kuwabana wakwepaji kodi hawa wakubwa kwa kutaka kila kontena la mizigo linaloingia nchini lilipiwe kodi stahiki. Hizi vurugu zote tunazoona Kariakoo ni matokeo ya hawa wafanyabiashara wakubwa wakwepaji kodi kutaka kuzua taharuki ili TRA iache kuwabana,” alisema mfanyabiashara mmoja wa Kariakoo.
 
Baadhi ya matatizo waliyolalamikia wafanyabiashara ni utitiri wa kodi na tozo za Serikali kuu na Serikali za Mitaa, viwango vikubwa vya kodi ya TRA, rushwa miongoni mwa baadhi ya watumishi wasiokuwa waaminifu wa umma wa TRA, TANROADS, LATRA na Polisi.
 
“Baadhi ya malalamiko ya wafanyabiashara wa Kariakoo, ikiwemo kuombwa rushwa na watumishi wachache wa TRA wasiokuwa na maadili, viwango vikubwa vya kodi na utitiri wa tozo za Serikali za Mitaa yana hoja. Lakini nyuma ya pazia waliochochoea mgomo huo ni hao wafanyabiashara wakubwa wanaoingiza makontena ya bidhaa kutoka China na nchi nyingine,” alisema.
 
Takwimu za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zinaonesha kuwa kwa mwaka 2021 peke yake, Tanzania iliingiza bidhaa zenye thamani ya karibu dola za Marekani Bilioni 2.7 kutoka China, ambayo ni sawa na Shilingi trilioni 6.5, huku sehemu kubwa ya mizigo hiyo kutoka China ikiwa ni bidhaa zinazouzwa kwenye soko la Kariakoo.
 
“Lengo la wafanyabiashara wakubwa hawa ambao ni vinara wa kukwepa kodi ni kuchochea mgomo wa wafanyabiashara wadogo wa Kariakoo ili kuishinikiza Serikali iwaagize TRA waache kuwabana wakwepa kodi hawa kwenye mamia ya makontena ya bidhaa kutoka nje ambayo wanaingiza kila mwezi na kwenye maghala yao ambayo wanayatumia kukwepa kodi,” alisema muuza duka mmoja wa Kariakoo.
 
“Tunaipongeza Serikali ya Rais Samia kwa kusikiliza kilio cha wafanyabiashara wadogo wa Kariakoo kuhusu ukubwa wa viwango vya kodi na utitiri wa tozo kutoka manispaa, lakini tunaomba Serikali iwe makini na hawa wafanyabiashawa wakubwa wakwepa kodi wanaotaka kututumia wafanyabiashara wadogo kufanikisha ukwepaji wao wa kodi.”  

 

About the author

Alex Sonna