Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

türk porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

pokerklas

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet güncel giriş

girne escort

magusa escort

slot siteleri

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Featured Kitaifa

SHIRIKA LA SIGHTSAVERS LAZINDUA MRADI WA UWEZESHAJI KIUCHUMI KWA WATU WENYE ULEMAVU

Written by Alex Sonna
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Patrobas Katambi (katikati), akiwa kwenye picha ya pamoja na watumishi wa Shirika la Sightsavers wakati wa uzinduzi wa Mradi wa Uwezeshaji Kiuchumi kwa Watu wenye Ulemavu unaotekelezwa na Shirika la Sightsavers kwa wanufaika 360 uliofanyika leo Mei 18,2023 Jijini Dar es Salaam
 
 
NA MWANDISHI WETU
 
NAIBU Waziri wa Ofisi ya Waziri mkuu,Kazi,Vijana,ajira na watu wenye ulemavu Patrobas Katambi amewataka Mashirikisho ya watu wenye ulemavu kuwa na chama kimoja ili kuweze kupaza sauti serikali iweze kuwasaidia kwa umoja wao kuliko kujigawa kwa makundi kutokana na utofauti wa ulemavu walionao.
 
Akizungumza na Wanahabari Leo Mei 18,2023. Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu,Kazi,Vijana,ajira na wenye ulemavu Mhe.Patrobas Katambi wakati akizundua Mradi wa uwezeshaji kiuchumi kwa watu wenye ulemavu unaotekelezwa na Shirika la Sightsavers kwa wanufaika 360 amesema kupitia bilioni 1 iliyotengwa na taasisi hiyo kwa lengo la kuwasaidia na kuwajengea uwezo walemavu katika kujikwamua kiuchumi na kuweza kufanya miradi mbalimbali kwa ufanisi zaidi serikali itaendelea kuwashika mkono taasisi zenye nia ya dhati na Maendeleo kwa taifa la Tanzania.
 
Aidha Katambi amesema Serikali itaendelea kulinda haki na stahiki za watu wenye ulemavu kwa kuweka mikakati mbalimbali ikiwemo kubadilisha mitazamo hasi kuwa chanya kuhusu watu wenye ulemavu.
 
Pia amewataka watu wasio na ulemavu kuzingatia sheria na kulinda haki za watu wenye ulemavu na kubainisha kuwa serikali inatarajia kufanya mabadiliko ya sera ya watu wenye ulemavu kwa kuingiza matarajio na hali ya uhalisia wa watu wenye ulemavu katika mazingira yao.
 
Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Sightsavers Bw.Godwin Kabalika ameeleza namna mradi huo wa uwezeshaji kiuchumi kwa watu wenye ulemavu ulivyotoa matokeo mazuri kwa nchi mbalimbali na ndio kwa mara ya kwanza mradi huo unaenda kutekeleza nchini Tanzania.
 
“Mradi huo umeshatekelezwa katika nchi ya Uganda,Kenya,Bangladesh ambapo mradi huo umezaa matunda ni matumaini yangu kupitia serikali itatuunga mkono kuhakikisha mradi huu unawafikia walengwa.
 
Hata hivyo Kabalika ameeleza sababu kubwa ya kuwepo mradi huo ni changamoto kubwa ya kupatikana kwa soko la ajira kwa watu wenye ulemavu na kupelekea jamii kuwaona watu hao ni “ombaomba “.
 
Aidha ameongeza kuwa mradi huo umeanzia mikoa ya Singida na Dar es salaam na una lengo la kuwafikia Mkoa wa Ruvuma,Lindi na Songwe .
 
Nae Mkurugenzi wa Shirika la Vijana wenye ulemavu (YOWDO) Rajabu Mpilipili ameongeza kuwa mradi huo utaenda kugusa Maeneo ya kilimo na kuongeza mnyororo wa thamani katika shughuli zao na kuwajengea uwezo wa kushiriki shughuli za kiuchumi.
 
” Tunatarajia kuwafikia walemavu 360 na kunufaika maeneo mbalimbali na kutekelezwa kwa majaribio kwa mikoa miwili singida na Dar es salaam ambapo tunategemea jamii itatupokea na kuwa mfano wa kuigwa kupitia mradi huo.
 
Pia ameeleza namna taasisi,vyama na Mashirika binafsi ya watu wenye ulemavu akilitaja (YOWDO,VODIWOTA DOLASED ) tayari yameonyesha dhamira ya dhati kuhakikisha mradi huo unafanikiwa na kuwafikia walengwa ifikapo 2025.
 
 
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Patrobas Katambi, akizungumza wakati akizundua Mradi wa Uwezeshaji Kiuchumi kwa Watu wenye Ulemavu unaotekelezwa na Taasisi ya Sightsavers kwa wanufaika 360 uliofanyika leo Mei 18,2023 Jijini Dar es Salaam.
 
 
Mkurugenzi wa Taasisi ya Sightsavers Bw. Godwin Kabalika akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mradi wa Uwezeshaji Kiuchumi kwa Watu wenye Ulemavu unaotekelezwa na Shirika la  Sightsavers kwa wanufaika 360 uliofanyika leo Mei 18,2023 Jijini Dar es Salaam.
 
 
Meneja Miradi wa Shirika la Sightsavers Bw.Edwin Maleko akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mradi wa Uwezeshaji Kiuchumi kwa Watu wenye Ulemavu unaotekelezwa na Shirika la  Sightsavers kwa wanufaika 360 uliofanyika leo Mei 18,2023 Jijini Dar es Salaam.
 
 
Ofisa Ustawi wa Jamii Mwandamizi kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na watu Wenye Ulemavu, Oliver Njogopa akiungumza wakati wa uzinduzi wa Mradi wa Uwezeshaji Kiuchumi kwa Watu wenye Ulemavu unaotekelezwa na Shirika la Sightsavers kwa wanufaika 360 uliofanyika leo Mei 18,2023 Jijini Dar es Salaam
 
Ofisa Maendeleo ya Jamii Mkoa wa Singida, Patrick Kasango akiungumza wakati wa uzinduzi wa Mradi wa Uwezeshaji Kiuchumi kwa Watu wenye Ulemavu unaotekelezwa na Shirika la Sightsavers kwa wanufaika 360 uliofanyika leo Mei 18,2023 Jijini Dar es Salaam
 
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Patrobas Katambi (katikati), akiwa kwenye picha ya pamoja na wadau mbalimbali walioshiriki katika uzinduzi wa Mradi wa Uwezeshaji Kiuchumi kwa Watu wenye Ulemavu unaotekelezwa na Shirika la Sightsavers kwa wanufaika 360 uliofanyika leo Mei 18,2023 Jijini Dar es Salaam
 
Baadhi ya washiriki wakiwa katika hafla ya uzinduzi wa Mradi wa Uwezeshaji Kiuchumi kwa Watu wenye Ulemavu unaotekelezwa na Shirika la Sightsavers kwa wanufaika 360 uliofanyika leo Mei 18,2023 Jijini Dar es Salaam

About the author

Alex Sonna