Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

aresbet

betcool

avrupabet

vipslot

betcool

realbahis

betmarino

casinowon

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

marsbahis

luxbet

betmarino giriş

kareasbet

gobahis giriş

betcool giriş

betnis giriş

elitbahis giriş

luxbet

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

coinbar

grandpashabet

grandpashabet

matadorbet

porno izle

türk ifşa izle

evcil hayvan satış

uyuşturucu satın al

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

gameofbet

jojobet

hepbet giriş

betmarino

parmabet

avrupabet giriş

hepbet

hazbet giriş

gobahis

betnis

parmabet

realbahis

luxbet giriş

hazbet

aresbet giriş

betlivo

betface

betlivo giriş

betra giriş

gallerbahis

marsbahis güncel giriş 2026

parmabet giriş

kareasbet

casival giriş

celtabet

celtabet giriş

vipslot giriş

lordcasino

realbahis giriş

betface giriş

millibahis

lordcasino giriş

aresbet

vipslot

elitbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

spinco

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Mariobet

Mariobet

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

meritbet giriş

betasus

meritbet

jojobet güncel giriş

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

grandpashabet güncel giriş

jojobet

mercurecasino

sweet bonanza

mavibet

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

ibizabet

jojobet giriş

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

celtabet

millibahis

lordcasino

casival

mavibet giriş

betlike giriş

coinbar

coinbar

artemisbet

mavibet

artemisbet giriş

mavibet

artemisbet giriş

betlike

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat

matbet, matbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark

betsat

dinamobet

betpas

grandpashabet

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

jojobet

betpas

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

ikimisli

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

holiganbet

İmajbet

İmajbet

banka hesabı kiralama

Featured Kitaifa

MIKOA 13 KUPATIWA MASHINE TIBA ZA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI

Written by Alex Sonna

Na. Catherine Sungura-Dodoma

Serikali kwa kushirikiana na wadau wa afya imeagiza mashine Tiba (thermocoagulators) 100 zaidi ambazo zinatarajiwa kusambazwa kwenye vituo vya kabla ya mwezi Disemba 2023. Upatikanaji wa vifaa tiba hivyo utaenda kuongeza wigo wa upatikanaji wa huduma ya matibabu ya Saratani ya mlango wa kizazi katika vituo 100 zaidi vya ngazi ya msingi ikiwemo hospitali ya wilaya, vituo vya afya na zahanati katika mikoa 13 inayoongoza kwa tatizo la saratani ya mlango wa kizazi. 

Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu wakati akiwasilisha hotuba ya bajeti ya Wizara ya Afya kwa mwaka 2023/2024 kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma.

Waziri Ummy alisema licha ya kuagiza mashine hizo pia Wizara kwa kushirikiana na Wadau imenunua mashine tiba (thermocoagulators) 50 zinazotibu mabadiliko ya awali ya Saratani ya mlango wa kizazi na kusambazwa katika vituo 50 vya kutolea huduma za afya nchini na watoa huduma wameshajengewa uwezo namna ya kuzitumia.

“Upatikanaji wa vifaa  vifaa tiba hivi utaenda kuongeza wigo wa upatikanaji wa huduma ya matibabu ya Saratani  ya mlango wa kizazi  katika  vituo vya afya na zahanati katika mikoa 13 inayoongoza kwa tatizo la saratani ya mlango wa kizazi”.

Katika huduma za kuzuia na kukinga Saratani za mfumo wa uzazi (Reproductive cancers) zikiwemo Saratani ya Mlango wa kizazi na Saratani ya matiti. Katika kipindi cha Julai 2022 hadi Machi 2023 wanawake wapatao 426,774 walifanyiwa uchunguzi wa Saratani ya mlango wa kizazi na kati yao wanawake 13,721 sawa na asilimia 3.2 waligundulika kuwa na mabadiliko ya awali ya Saratani ya mlango wa kizazi, ikilinganishwa na asilimia 3.1 mwaka 2021/22.

Aidha, katika kipindi cha Julai 2022 hadi Machi, 2023, Wizara imefanikiwa kuanzisha vituo vipya 122 vya kutoa huduma za uchunguzi wa Saratani ya Mlango wa Kizazi na hivyo kufikia jumla ya vituo 923 ikilinganishwa na vituo 801 mwaka 2021/22.

Kwa upande wa udhibiti wa Magonjwa yasiyo ya Kuambukiza (Non Comunicable desease-NCDs), Waziri huyo alibainisha kwamba kumekuwa na ongezeko la magonjwa yasiyo ya kuambukiza ulimwenguni kote ikiwemo Afrika na Tanzania kwa ujumla. Magonjwa haya ni pamoja na Magonjwa ya Moyo, Figo, Shinikizo la juu la damu, Saratani, Kisukari, matatizo sugu ya mfumo wa upumuaji, ajali (injuries), afya ya akili na madawa ya kulevya. 

“Magonjwa haya yanabakia kuwa ndio sababu kuu ya madhara na vifo. Miongoni mwa vyanzo vikuu vinavyohusishwa na ongezeko la magonjwa yasiyo ya kuambukiza ni pamoja na, ulaji usiofaa, matumizi ya tumbaku, kutoshughulisha mwili (kazi zinazotumia nguvu) na matumizi ya pombe kupita kiasi”.Aliongeza 

Vilevile  alisema katika kipindi cha Julai 2022 hadi Machi 2023, magonjwa yasiyoambukiza ambayo yamesababisha wagonjwa wengi kuhudhuria vituo vya kutolea huduma za afya ni pamoja na shinikizo la juu la damu wagonjwa 890,788 sawa na asilimia 3.8 ikilinganishwa na asilimia 3.6 kipindi kama hicho mwaka 2021/22 na kisukari wagonjwa 436,232 sawa na asilimia 1.8.

“Takwimu zinaonesha kuwa katika kipindi hicho, ugonjwa uliongoza katika kusababisha vifo vingi kati ya magonjwa yasiyoambukiza ulikuwa ni ugonjwa wa Moyo ambao ulisababisha vifo 1,388 sawa na asilimia 6.0 ya vifo vyote, ikilinganishwa na asilimia 5.4 ya vifo vilivyosababishwa na ugonjwa huo kipindi kama hicho mwaka 2021/22. Hali hii inaonesha magonjwa yasiyoambukiza yasipodhibitiwa yanaweza kusababisha ongezeko kubwa la vifo nchini”.

Hata hivyo, Wizara imeendelea kutoa elimu kwa jamii kuhusu namna bora ya kujikinga na Magonjwa yasiyoambukiza ambapo katika kipindi cha Julai 2022 hadi 72 Machi, 2023 jumla ya watumishi 1,690 katika vituo vya afya 497 vilivyopo katika halmashauri 120 wamepatiwa mafunzo kuhusu kugundua na kutibu magonjwa haya kwa ufanisi, lengo likiwa ni kuzifikia Halmashauri zote hapa nchini kufikia Desemba, 2023. 

Pia Wizara imenunua na kusambaza mashine maalum ikiwemo Mashine 700 za Kupima shinikizo la damu, vifaa 700 vya kupima mapigo ya Moyo, mashine 2,000 za kupima sukari, vifaa 700 vya uchunguzi wa saratani, mizani 700 za kupima uzito na urefu na vifaa vingine vya uchunguzi wa magonjwa yasiyoambukiza kwenye ngazi ya msingi.

About the author

Alex Sonna