slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

marsbahis

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

matbet

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

jojobet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betasus

pusulabet giriş

matbet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

holiganbet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

gobahis, gobahis giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

goldenbahis

trimology review

jojobet

jojobet

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

casinolevant

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

matbet giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

parobet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

imajbet

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

jojobet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

goldenbahis giriş

madridbet

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

celtabet

bets10 giriş

tempobet

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

holiganbet

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

matbet, matbet giriş

matbet, matbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

goldenbahis

Goldenbahis

tempobet giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

holiganbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler 2026

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

deneme bonusu

sekabet

pusulabet

grandpashabet

marsbahis

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

perabet

Featured Kitaifa

TPHA YAOKOA HEKARI HEKARI LAKI 318,396 DHIDI YA UVAMIZI WA PANYA,  KWELEAKWELEA NA NZIGE.

Written by Alex Sonna
NA NAMNYAK KIVUYO, ARUSHA
Mamlaka ya afya ya mimea na viuatilifu Tanzania (TPHPA)kwa kipindi 2022 Hadi Aprili 2023 wameweza kuokoa zaidi ya hekari 318,396 dhidi ya uvamizi wa Panya, ndege aina ya kweleakwelea  na Nzige  ikiwa ni sehemu ya kulinda afya ya mimea na kuliepusha taifa na upungufu wa chakula.
Hayo yalisema na kaimu mkurugenzi mkuu wa mamlaka hiyo Profesa Joseph Ndunguru wakati akiongea na waandishi wa habari katika kuadhimisha siku ya afya ya mimea Duniani ambapo alisema kuwa kati ya hekari hizo, hekari  laki 122,190 ni dhidi ya mlipuko wa uvamizi wa panya ambapo walithibiti makundi  milioni 227 ya ndege aina ya Kweleakwelea na kuweza kuokoa  hekari 1056 ambazo zingeharibiwa na ndege hao ikiwa ni pamoja kuthibiti Nzige na kuokoa jumla ya hekari laki 195150.
 Profesa Ndunguru alisema kuwa afya mimea inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo visumbufu kwa maana ya wadudu na magonjwa pamoja na mabadiliko ya tabia ya nchi yanayofanya kuwepo kwa ukame hali inayopelekea kupungua kwa chakula na kuharibika kwa hewa safi.
“Asilimia 80 ya chakula inatokana na mimea lakini pia asilimia 98 ya oxygen inatokana na mimea na katika kuadhimisha siku hii mwaka huu kauli mbiu yetu ni Afya ya mimea kwaajili ya kupunguza umasikini, njaa na kulinda mazingira ili kukuza uchumi wa nchi zetu, na ili kuweza kufikia malengo haya ni muhimu kutunza afya ya mimea kwa kuwa na uthibiti ulio mahiri utakaoleta tija,” Alisema profesa Ndunguru.
Profesa Ndunguru alieleza kuwa katika kuendelea kuimarisha afya ya mimea pia wameweza kukagua shehena za vipando 189 pamoja na kufanya chunguzi za sampuli 103 za shehena za mimea katika maabara na vitalu nyumba  ambapo zote zilikidhi viwango na kuruhusu biashara kufanyika.
Alisema kuwa kwa kipindi hicho  wamepokea maombi ya vibali 762 vya kuingiza vipando  nchini ambapo vibali 756 vilitolewa sawa na asilimia 99.2, ambapo pia alisema wameweza kutoa mafunzo kwa wakulima 3100 na maafisa ugani 900 katika udhibiti wa mdudu kantangaze na wadudu wengine pamoja na magonjwa.
Alifafanua kuwa katika kuthibiti viwavijeshi mamlaka hiyo ilitoa lita elfu 81563 ya viuatilifu na kusambazwa katika halmashauri 57 za mikoa ya Lindi, Pwani, Morogoro, Tanga, Geita, Mwanza, Kilimanjaro na Manyara lakini pia Lita 561 za aina mbili za viuatilifu zilisambazwa katika halmashauri ya wilaya ya Kilosa.
Aliendelea kusema kuwa kwa kipindi hicho pia wameweza kufanya ukaguzi wa mazao, nafaka na mizizi tani milioni 5, 343, 380 mipakani, bandarini na viwanja vya ndege ambapo kutokana na ukaguzi huo jumla ya vyeti  vya usafi 29,033  vilitolewa na kuruhusu biashara ya mazao kuendea kufanyika ikiwa ni pamoja na kuthibiti inzi wa matunda ambapo mamlaka hiyo ilitoa lita 585 za viuatilifu na kusambazwa katika wilaya mbalimbali ikiwemo wilaya ya Muweza, Handeni na kwingineko
Katika upatikanaji wa viuatilifu bora profesa Ndunguru alisema kuwa wamesajili viuatilifu vipya 409 na kampuni 198 zilisajiwa katika kipindi hicho ambapo pia wametoa vibali 1324 vya kuingiza shehena za viuatilifu na kati yake  lita milioni 5,837,998 ni viuatilifu vya maji na lita milioni 3, 800000 ni viuatilifu vigumu na jumla ya vibali 802 vilitolewa kwa wafanya biashara wa viuatilifu.
“Katika kuhakiki ubora wa viuatilifu TPHPA imefanya uchambuzi wa sampuli 1025 na sampuli 1005 ambazo zilikidhi viwango   sawa na asilimia 98, ambapo pia tulifanya uchunguzi wa kuwepo kwa viuatilifu katika mazao mbalimbali ikiwemo Parachichi na sampuli 40  zilichunguzwa na kukidhi viwango na kupeleka kuruhusu biashara ya kwenda nje baada ya kuona hazina matatizo,” Alisema.
“Pia tumefanya ukaguzi wa viuatilifu sokoni kwa mikoa 18 na wilaya 72, Machi na Aprili mwaka huu  ambapo tulikagua maduka 1016 na matokeo ya kaguzi hizo yalionyesha maduka 948 sawa na asilimia 93.1 walikuwa wanauza viuatilifu vilivyosajiliwa na kupitisha na mamlaka huku asilimia 6.9 yakionekana kutokuwa na viuatilifu visivyokidhi ubora vingi vikiwa ni vinavyothibiti visumbufu majumbani na asilimia 3 wakipatikana na viuatilifu vilivyotiliwa shaka kutokuwa na ubora na kuondolewa sokoni,” alisema .
Wakulima katika Kijiji Cha Likamba kata ya Musa wilaya ya Arumeru walipotembelewa na mwandishi wa habari hii, mmoja wa wakulima Rehema Obedi alisema mwaka huu wa 2023 wameweza kapanda mimea ikiwemo mahindi, maharage, viazi, shairi, dengu na mboga mboga lakini pamoja na kuwepo kwa mvua zinazoendelea baadhi ya mazao ikiwemo 
Mahindi yamevamiwa na wadudu lakini wamepiga dawa na kwasasa afya ya mimea hiyo inaendelea vizuri.

About the author

Alex Sonna