Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

deneme bonusu

casinomaxi

casinomaxi giriş

betturkey giriş

betturkey

1xbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

betgar, betgar giriş

monobahis, monobahis giriş

korsan taksi istanbul, istanbul korsan taksi

betsat

jojobet

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

superbetin

jojobet

betgar giriş

bets10 güncel giriş adresi

grandpashabet

jojobet

jojobet giriş

ilbet

hilbet

jojobet giriş

sweet bonanza oyna

Ankara escort

kingroyal

güvenilir bahis siteleri

film izle

vdcasino giriş

betasus

kulisbet, kulisbet giriş

Google

bahiscasino

ultrabet

marsbahis giriş

sweet bonanza siteleri

Canada Fentanyl Buy

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

jojobet

jojobet

sweet bonanza

jojobet giriş

betflix

betflix

deneme bonusu

grandpashabet

matbet

marsbahis

imajbet

teosbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

marsbahis

jojobet

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis giriş

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

mavibet giriş

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking

meritking

marsbahis güncel giriş

meritking

jojobet

jojobet güncel

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

pusulabet

Hacklink panel

betpas

jojobet

Google

jojobet

jojobet

jojobet adres

jojobet giris

jojobet giris

jojobet para çekme

jojobet güncel

jojobet giris

jojobet giris

jojobet

primebahis

otobet

otobet giriş

betturkey

betturkey giriş

sahabet

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

Bet365 Giriş

casinomaxi

casinomaxi giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

mavibet giriş

tarafbet

robinbet

tipobet

holiganbet

porno izle

bets10

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

caddebet, caddebet giriş

meritbet

holiganbet

jojobet erişim

jojobet adres

jojobet para yatırma

jojobet giris

marsbahis

jojobet adres

jojobet oyunlar

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet son giriş

jojobet canlı bahis

jojobet aninda

jojobet bonuslar

jojobet bahis

jojobet casino

jojobet adres

jojobet telegram

giriş jojobet

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

jojobet vip giriş

jojobet tik giriş

jojobet adres

jojobet gir

marsbahis giriş

güncel giriş burada jojobet

jojobet telegram

jojobet heyecan

jojobet telegram

marsbahis

jojobet güncel

jojobet güncel

nerobet

meritking

marsbahis, marsbahis giriş

monobahis, monobahis giriş

deneme bonusu

jojobet giriş

Deneme Bonusu

ligobet

jojobet

https://sjconsultors.com/

lunabet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

pusulabet

Pusulabet

betbox

casibom

meritking giriş

meritking

dedektör

vdcasino

marsbahis

jojobet

Deneme Bonusu VDS Kiralama

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

bets10

bets10 giriş

extrabet giriş

grandpashabet

dental implants turkey

mavibet

artemisbet

setrabet

jojobet

jojobet giriş

maritbet

holiganbet

grandpashabet

mavibet

lunabet

lunabet giriş

izmit escort

kingroyal

Featured Kitaifa

JUMUIYA YA WAZAZI CCM SHINYANGA MJINI YAFANYA ZIARA KITANGILI

Written by Alex Sonna
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga, Fue Mrindoko na viongozi wa Jumuiya ya Wazazi CCM wilaya ya Shinyanga Mjini na kamati ya utekelezaji wakitembelea na kukagua ujenzi wa daraja la Kitangili. 
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga Mjini imefanya ziara katika kata ya Kitangili na kukagua ujenzi wa mradi wa Daraja, kutoa msaada Chakula kwa watoto wenye ulemavu wa viungo na akili wanaolelewa katika Kituo cha Brothers of Charity na kuzungumza na wanachama na viongozi wa CCM kata ya Kitangili.

 
 
Ziara hiyo ya Viongozi wa Jumuiya ya Wazazi CCM wilaya ya Shinyanga walioambatana na Kamati ya Utekelezaji ya Jumuiya hiyo imefanyika leo Ijumaa Mei 12,2023.
 
 
Akizungumza wakati wa ziara hiyo, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga, Fue Mrindoko amesema ziara hiyo pia imelenga kutoa shukrani kwa wanachama wa CCM kufuatia uchaguzi wa ndani ya CCM uliofanyika mwaka jana.
 
“Tunaendelea na ziara ya kuzitembelea kata zote zilizopo katika wilaya ya Shinyanga Mjini tukihamasisha wanachama na viongozi wa CCM kuipenda CCM na kupinga makundi katika chama ili kuwe na mshikamano kwani mshikamano ndiyo unajenga chama”,amesema Mrindoko.
 
 
Mwenyekiti huyo pia amekemea matukio ya ukatili wa kijinsia pamoja na mmonyoko wa maadili unaochangia kuwepo kwa matukio ya ubakaji na ulawiti ambapo amewataka wazazi na walezi kupiga vita vitendo viovu ukiwemo ushoga.
 
 
Aidha ametaka hatua kali za kisheria zichukuliwe kwa watu wanaobainika kufanya vitendo viovu katika jamii.
Viongozi wa Jumuiya ya Wazazi CCM wilaya ya Shinyanga Mjini na kamati ya utekelezaji wakiwasili katika kata ya Kitangili kwa ajili ya kikao na viongozi wa CCM kata ya Kitangili.
 
Katika hatua nyingine ameishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuleta fedha nyingi kwa ajili ya maendeleo.
 
 
“Katika ziara hii tumeshuhudia miradi ya maendeleo inaendelea kutekelezwa mfano hata hili daraja linalounganisha kata ya Ibinzamata na Kitangiri ujenzi wake unaendelea vizuri na tunatarajia hadi ifikapo Juni 1,2023 daraja hili ambalo limekuwa kero kwa muda mrefu litaanza kutumika”,amesema Mrindoko.
 
 
“Ujenzi wa daraja la Kitangili unaridhisha na mwezi Juni wananchi wataanza kupita pale. Mradi huu unaendelea vizuri”,amesema.
Muonekano ujenzi wa daraja la Kitangili Ijumaa Mei 12,2023.
 
Akizungumza wakati wa kukabidhi chakula kwa watoto wenye ulemavu wa akili wanaolelewa katika Kituo cha Brothers of Charity, Mrindoko amesema ni jukumu la kila mmoja kuhakikisha anawasaidia watoto hao wenye uhitaji.
 
 
“Tunawashukuru walezi wa watoto hawa. Hii kazi mnayofanya kulea na kuwafundisha watoto hawa mambo mbalimbali kwakweli kazi hii mnayofanya ni kazi ya kitume. Tunawashukuru na tunawapongeza sana. Nimeambiwa watoto hawa wenye usonji walikuwa hawajui chochote lakini mmewafundisha jinsi ya kujitambua na sasa wanafanya wao wenyewe. Asanteni sana nasi tunaendelea kukitangaza kituo hiki lakini pia tutaendelea kufika hapa ili tushirikiane kutatua changamoto zinazojitokeza”,amesema.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga, Fue Mrindoko (aliyevaa kofia kushoto) na viongozi mbalimbali wakikabidhi chakula katika kituo cha kulelea watoto cha Brother of Charity kilichopo Kata ya Kitangili Manispaa ya Shinyanga
 
Kwa upande Katibu wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Bi. Doris Yotham Kibabi amewataka wanaCCM kuacha viongozi waliopo madarakani kuanzia ngazi ya serikali za mitaa, madiwani na mbunge waachwe wafanye kazi na wapewe ushirikiano wa kutosha.
 
“Viongozi waliopo madarakani waachwe wafanye kazi kwa sababu muda wa kugombea bado haujafika. Tuwape amani viongozi waliopo madarakani na tunaendelea kukemea makundi ndani ya chama yanayotokana na chaguzi zilizopita”,amesema Kibabi.
 
 
Kibabi ametumia fursa hiyo kuwakumbusha wanachama wa CCM kuendelea kulipa ada za uanachama, kujisajili kwenye mfumo wa kielektroniki, kuongeza wanachama wapya pamoja na kubuni na kuanzisha miradi ili kujiimarisha kiuchumi.
Katibu wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Bi. Doris Yotham Kibabi akizungumza kwenye kikao na viongozi wa CCM kata ya Kitangili
 
Naye Mjumbe wa Halmashauri Kuu CCM wilaya ya Shinyanga Mjini kutoka Jumuiya ya Wazazi CCM wilaya ya Shinyanga Mjini Mhandisi James Jumbe Wiswa mbali na kuhamasisha amewataka wazazi na walezi kuepuka mazingira yanayochangia vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa watoto ikiwemo kuwalaza chumba kimoja na wageni.
 
Kwa upande wake Diwani wa kata ya Kitangili Mariam Nyangaka amesema utekelezaji wa ujenzi wa madaraja unaendelea vizuri na pindi yatakookamilika wananchi wataondokana na kero ya muda mrefu kwani madaraja yamekuwa kero kubwa kwa wananchi.
 
ANGALIA PICHA HAPA CHINI
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga, Fue Mrindoko (kulia) akizungumza wakati viongozi wa Jumuiya ya Wazazi CCM wilaya ya Shinyanga Mjini  na kamati ya utekelezaji wakitembelea na kukagua ujenzi wa daraja la Kitangili leo Ijumaa Mei 12,2023. Picha na Kadama Malunde 1 blog
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga, Fue Mrindoko na viongozi wa Jumuiya ya Wazazi CCM wilaya ya Shinyanga Mjini na kamati ya utekelezaji wakitembelea na kukagua ujenzi wa daraja la Kitangili leo Ijumaa Mei 12,2023. 
Muonekano ujenzi wa daraja la Kitangili leo Ijumaa Mei 12,2023. 
Katibu wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Bi. Doris Yotham Kibabi akizungumza katika daraja la Kitangili Mjini Shinyanga
Viongozi wa Jumuiya ya Wazazi CCM wilaya ya Shinyanga Mjini na kamati ya utekelezaji wakitembelea na kukagua ujenzi wa daraja la Kitangili leo Ijumaa Mei 12,2023. 
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga, Fue Mrindoko (aliyevaa kofia kushoto) na viongozi mbalimbali wakikabidhi chakula katika kituo cha kulelea watoto cha Brother of Charity kilichopo Kata ya Kitangili Manispaa ya Shinyanga
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga, Fue Mrindoko (aliyevaa kofia kushoto) na viongozi mbalimbali wakikabidhi chakula katika kituo cha kulelea watoto cha Brother of Charity kilichopo Kata ya Kitangili Manispaa ya Shinyanga
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga, Fue Mrindoko (aliyevaa kofia kushoto) na viongozi mbalimbali wakikabidhi chakula katika kituo cha kulelea watoto cha Brother of Charity kilichopo Kata ya Kitangili Manispaa ya Shinyanga
Sehemu ya chakula kilichotolewa na Jumuiya ya Wazazi CCM Shinyanga Mjini katika kituo cha kulelea watoto cha Brother of Charity kilichopo Kata ya Kitangili Manispaa ya Shinyanga
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga, Fue Mrindoko akizungumza kwenye kikao na viongozi wa CCM kata ya Kitangili
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga, Fue Mrindoko akizungumza kwenye kikao na viongozi wa CCM kata ya Kitangili
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga, Fue Mrindoko akizungumza kwenye kikao na viongozi wa CCM kata ya Kitangili
Katibu wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Bi. Doris Yotham Kibabi akizungumza kwenye kikao na viongozi wa CCM kata ya Kitangili
Katibu wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Bi. Doris Yotham Kibabi akizungumza kwenye kikao na viongozi wa CCM kata ya Kitangili
Katibu wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Bi. Doris Yotham Kibabi akizungumza kwenye kikao na viongozi wa CCM kata ya Kitangili
Katibu wa Mbunge Jimbo la Shinyanga Mjini Samwel Jackson akizungumza kwenye kikao na viongozi wa CCM kata ya Kitangili
Mjumbe wa Halmashauri Kuu CCM wilaya ya Shinyanga Mjini kutoka Jumuiya ya Wazazi CCM wilaya ya Shinyanga Mjini Mhandisi James Jumbe Wiswa akizungumza kwenye kikao na viongozi wa CCM kata ya Kitangili
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Kata ya Kitangili Zawia Hassan Mpanda akizungumza kwenye kikao na viongozi wa CCM kata ya Kitangili

 

Katibu wa Jumuiya ya Wazazi Kata ya Kitangili Gabriel Swila akisoma taarifa ya kazi za jumuiya ya wazazi kata ya Kitangili kwa mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Wilaya ya Shinyanga Mjini

 

Diwani wa kata ya Kitangili Mariam Nyangaka akizungumza kwenye kikao hicho.
Viongozi wa CCM wakipiga picha ya kumbukumbu.
 
Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 
 

About the author

Alex Sonna