Featured Kitaifa

MHANDISI KUNDO AKAGUA MABANDA MBALIMBALI KATIKA MAONESHO YA WIKI YA UBUNIFU 2023 JIJINI DODOMA

Written by mzalendoeditor

Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Mha. Kundo Mathew,akiuliza swali katika  banda la Tume  ya nguvu za Atomiki nchini (TAEC) wakati akikagua  Maonesho ya wiki ya ubunifu 2023 yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia yanayoendelea katika  uwanja wa Jamhuri Dodoma leo Aprili 27,2023.

Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Mha. Kundo Mathew,akisaini Kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika banda la Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia kukagaua na kujionea maendeleo ya Maonesho ya wiki ya ubunifu 2023 yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia yanayoendelea katika  uwanja wa Jamhuri Dodoma leo Aprili 27,2023 .Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini cha Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia Bi.Sylvia Lupembe.

Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Mha. Kundo Mathew,akielekea kwenye mabanda kwa ajili ya kukagua  Maonesho ya wiki ya ubunifu 2023 yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia yanayoendelea katika  uwanja wa Jamhuri Dodoma leo Aprili 27,2023.

Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Mha. Kundo Mathew,akipata maelezo katika  banda la Tume  ya nguvu za Atomiki nchini (TAEC) wakati akikagua  Maonesho ya wiki ya ubunifu 2023 yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia yanayoendelea katika  uwanja wa Jamhuri Dodoma leo Aprili 27,2023.

Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Mha. Kundo Mathew,akiuliza swali katika  banda la Tume  ya nguvu za Atomiki nchini (TAEC) wakati akikagua  Maonesho ya wiki ya ubunifu 2023 yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia yanayoendelea katika  uwanja wa Jamhuri Dodoma leo Aprili 27,2023.

Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Mha. Kundo Mathew,akipata maelezo  katika  banda la Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) wakati akikagua  Maonesho ya wiki ya ubunifu 2023 yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia yanayoendelea katika  uwanja wa Jamhuri Dodoma leo Aprili 27,2023.

Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Mha. Kundo Mathew,akizungumza  katika  banda la Benki ya CRDB wakati akikagua  Maonesho ya wiki ya ubunifu 2023 yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia yanayoendelea katika  uwanja wa Jamhuri Dodoma leo Aprili 27,2023.

      

Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Mha. Kundo Mathew,akipata maelezo  katika  Mabanda mbalimbali  wakati akikagua  Maonesho ya wiki ya ubunifu 2023 yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia yanayoendelea katika  uwanja wa Jamhuri Dodoma leo Aprili 27,2023.

About the author

mzalendoeditor