Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

perabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Featured Kitaifa

MAAMUZI MAGUMU YA RAIS SAMIA YALIVYOOKOA WATANZANIA 200 SUDAN

Written by Alex Sonna

 

 
* Aagiza operesheni maalumu iliyofanikisha kuwarejesha Watanzania nyumbani
 
* Tanzania pia ilisaidia kuokoa raia wa mataifa mengine, ikiwemo Marekani, Uingereza, Kenya, Uganda, Sierra Leone, Malawi, Zambia na Msumbiji
 
 
 
UJASIRI, maamuzi magumu na ya haraka ya Rais Samia Suluhu Hassan yamefanikisha kuokolewa kwa maisha ya Watanzania 200 na raia wa nchi nyingine kadhaa kutoka kwenye vita nchini Sudan.

 
Zaidi ya watu 400 wamekufa na maelfu wamekimbia maafa kutokana na vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea Sudan, ambayo ililipuka kuanzia Aprili 15, 2023.
 
Kufuatia vita hiyo, Rais Samia alifanya maamuzi ya haraka kuagiza ifanyike operesheni maalumu kuwaokoa Watanzania waliokwama Sudan.
 
Maamuzi hayo ya Rais Samia yamesaidia Watanzania 200 kuwasili salama Jijini Dar es Salaam leo asubuhi kwa ndege maalumu ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) namba TC3301.
 
Ndege hiyo ya Boeing Dreamliner iliwabeba Watanzania hao kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bole jijini Addis Ababa, Ethiopia, hadi Dar es Salaam.
 
Miongoni mwa abiria waliobebwa kwenye ndege hiyo ni wanafunzi 150, watumishi 28 wa ubalozi wa Tanzania Jijini Khartoum na Watanzania wanaoishi Sudan kama Diaspora.
 
Zoezi la uokoaji lilianza kwa Ubalozi wa Tanzania nchini Sudan kukodisha msafara wa mabasi mbao ulisafiri umbali wa kilomita 900 kutoka Khartoum hadi mji wa Gondar, Kaskazini mwa nchi ya Ethiopia.
 
Mabasi hayo yalibeba Watanzania na raia wa nchi kadhaa za kigeni ambao waliomba msaada kwa Tanzania.
 
Miongoni mwa raia wa kigeni walio okolewa na Tanzania wamo raia wa nchi za Marekani, Uingereza, Kenya, Uganda, Sierra Leone, Malawi, Zambia na Msumbiji.
 
Wote kwa pamoja walisafirishwa na Serikali ya Tanzania kwa mabasi kwa siku mbili kutoka Khartoum, Al Qadarif, Metema hadi Gondar (Ethiopia), umbali wa zaidi ya kilometa 900.
 
Baada ya kufika Gondar, raia wa Tanzania walisafirishwa kwa ndege ndogo hadi Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bole, Addis Ababa, ambako walichukuliwa na ndege maalumu ya ATCL hadi Dar es Salaam.
 
Uwanja wa ndege wa Gondar ni mdogo, hivyo ilibidi serikali ya Tanzania itafute ndege ndogo mbili ziwachukue abiria hao hadi Addis ili waweze kupanda ndege kubwa ya Dreamliner ya ATCL.
 
Zoezi la uokoaji wa maisha ya Watanzania 200 halikuwa jepesi, kwani viwanja vya ndege nchini Sudan, hususan Khartoum, ambako ndiko kwenye mapigano makali vimefungwa. 
 
Kufuatia siku tatu zilizotolewa za kusitisha mapigano, Aprili 21 hadi 23, serikali ya Tanzania ilitumia mwanya huo kuwasafirisha Watanzania 200 (wanafunzi, watumishi wa Ubalozi, na raia wengine) kupitia Ethiopia kwa magari.
 
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ya Tanzania umemshukuru Rais Samia “kwa kuongoza zoezi hili kwa ujasiri na bila kuchoka, hadi tumeweza kufikia hatua hii.”
 
Pia wizara hiyo imetoa shukurani kwa wote walioshiriki kwenye zoezi la uokoaji, ikiwemo maafisa kutoka Ofisi ya Rais, balozi zote husika za Tanzania, serikali ya Ethiopia na Shirika letu la ndege la ATCL kwa kujituma na kufanya kazi masaa 24.
 
“Tukio hili limetuonyesha umuhimu wa taifa kujitegemea, ikiwa ni pamoja na kuwa na ndege zake.  Hivyo tuunge mkono juhudi za Serikali za kuimarisha amani na usalama na kuleta maendeleo,” ilisema wizara hiyo.

About the author

Alex Sonna