marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

lordbahis

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

imajbet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

pusulabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

sonbahis

marsbahis

perabet giriş

imajbet

ngsbahis

bahiscasino

goldenbahis

savoybetting

ngsbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

madridbet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

sahabet

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

jojobet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

jojobet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

milanobet

imajbet

perabet giriş

perabet

ngsbahis

kralbet giriş

safirbet

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

jojobet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu veren siteler

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

gonebet, gonebet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

superbetin

superbetin

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

onwin

romabet

betsilin

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

queenbet

Featured Kitaifa

WASABATO WAFUTURISHA WAUMINI WA DINI YA KIISLAMU SHINYANGA

Written by Alex Sonna

 

Askofu Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu Enoch Marwa Sando akimkabidhi Sheikh wa Mkoa wa Shinyanga Ismail Makusanya (kulia) Vitabu vya ‘Jipatie Amani ya Moyo’ 

 

Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu (Nyanza Gold Belt) limewafuturisha Waumini wa Dini ya Kiislamu Mkoa wa Shinyanga ikiwa ni Mwendelezo wa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ambapo viongozi wote wa dini wametumia fursa hiyo kuiombea nchi ya Tanzania amani, utulivu na mshikamano pamoja na kuombea viongozi wa taifa wakiongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
 
 
Hafla hiyo ya Futari iliyoandaliwa na Askofu Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu Enoch Marwa Sando imefanyika leo Jumanne Aprili 18, 2023 katika Hoteli ya Karena Mjini Shinyanga ambapo mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme.
 
Askofu Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu Enoch Marwa Sando ametumia fursa hiyo pia kukabidhi zawadi ya Mbuzi na Mchele kwa ajili ya Eid kwa Sheikh wa Mkoa wa Shinyanga Ismail Makusanya pamoja na Vitabu vya ‘Jipatie Amani ya Moyo’ kwa Sheikh Makusanya na Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi.
 
 
Akizungumza wakati wa Iftar hiyo, Askofu Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu Enoch Marwa Sando amesema Kanisa la Waadventista Wasabato linaamini juu ya mahusiano baina yao na wenzao walio katika dini mbalimbali, madhehebu mbalimbali ya Kikristo lakini pia linaamini katika mahusiano na hata wale wasiomjua Mungu kwa sababu ni binadamu wenzao.
 
 “Kwa hiyo kwa muktadha huo kwa kutambua kwamba wenzetu, ndugu zetu Waislamu wamekuwa katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani na sisi tunafurahishwa sana kwa kuona kujitoa kwao katika kumtafuta Mwenyezi Mungu ndani ya Mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani ikizingatiwa kuwa wamekuwa wakikisisitiza umoja nasi tunafurahishwa na hilo”,amesema Askofu Sando.
Askofu Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu Enoch Marwa Sando akizungumza wakati wa Hafla ya Futari.
 
“Mwezi huu Waislamu wanaamini kuwa mioyo yao katika Mwezi huu inachipuka upya na baada ya hapa wanaenda kuendeleza maisha ya uadilifu katika jamii na kwa sababu hiyo kwa sababu kanisa la Waadventista Wasabato tunaamini katika hayo ambayo Waislamu wanayaamini tukaona basi ni vyema katika kipindi hiki tuandae Iftar hii iwe ni sehemu ya kusema nyinyi ni ndugu zetu lakini iwe sehemu ya kuungana nanyi kumuomba Mwenyezi Mungu ili aweze kutupa amani katika maisha yetu, jamii zetu, taifa letu la Tanzania na kuomba Mwenyezi Mungu amjaalie Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan na viongozi mbalimbali wa nchi hii amani ya bwana itawale. Tutakiane heri, Baraka za bwana ziwe juu yetu”,amesema Askofu Sando.
 
 
Askofu huyo amesema Kanisa la Waadventista Wasabato linaungana na Waislamu na ameomba wawe kitu kimoja kulaani kabisa vitendo viovu vinavyoendelea katika ulimwengu hasa vitendo vya Ushoga na Usagaji na vitendo vingine ya ukatili yakiwemo mauaji ili kuwa na jamii na taifa lenye amani.
 
Kwa Upande wake Sheikh wa Mkoa wa Shinyanga Ismail Makusanya amelipongeza na kulishukuru Kanisa la Waadventisa Wasabato kwa kuandaa Futari hiyo akisisitiza kuwa hilo ni jambo la heri na wasisite kuandaa tena.
Sheikh wa Mkoa wa Shinyanga Ismail Makusanya akichukua Futari wakati wa Hafla ya Futari iliyoandaliwa na Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu.
 
“Sisi ni ndugu wa damu moja, hivyo leo ndugu wamefuturishana. Jambo hili la sisi Waislamu kukaribishwa na ndugu zetu kwa ajili ya chakula ni jambo adhimu sana. Naomba jambo hili ambalo limehudhuriwa pia na viongozi wa Serikali liendelee kwani lina manufaa makubwa. Umoja huu ni mzuri na unapendeza kwani hapa tunatengeza umoja, mshikamano, upendo na ushirikiano”,amesema Sheikh Makusanya.
 
Naye Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme amelipongeza na kulishukuru Kanisa hilo kuandaa futari huku akitumia fursa hiyo kuwakumbusha viongozi wa dini kukemea vitendo vya ukatili wa aina zote akieleza kuwa inaleta taswira mbaya mkoa wa Shinyanga kuwa na sifa ya matukio ya ukatili.
 
TAZAMA PICHA HAPA CHINI
Askofu Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu Enoch Marwa Sando akizungumza wakati wa Hafla ya Futari iliyoandaliwa na Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu kwa Waumini wa Dini ya Kiislamu wanaoshiriki Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani leo Jumanne Aprili 18,2023 katika ukumbi wa Karena Hotel Mjini Shinyanga. Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Askofu Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu Enoch Marwa Sando akizungumza wakati wa Hafla ya Futari iliyoandaliwa na Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu kwa Waumini wa Dini ya Kiislamu wanaoshiriki Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
Askofu Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu Enoch Marwa Sando akizungumza wakati wa Hafla ya Futari iliyoandaliwa na Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu kwa Waumini wa Dini ya Kiislamu wanaoshiriki Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
Askofu Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu Enoch Marwa Sando akizungumza wakati wa Hafla ya Futari iliyoandaliwa na Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu kwa Waumini wa Dini ya Kiislamu wanaoshiriki Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
Sheikh wa Mkoa wa Shinyanga Ismail Makusanya akizungumza wakati wa Hafla ya Futari iliyoandaliwa na Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu kwa Waumini wa Dini ya Kiislamu wanaoshiriki Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
Sheikh wa Mkoa wa Shinyanga Ismail Makusanya akizungumza wakati wa Hafla ya Futari iliyoandaliwa na Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu kwa Waumini wa Dini ya Kiislamu wanaoshiriki Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
Sheikh wa Mkoa wa Shinyanga Ismail Makusanya akizungumza wakati wa Hafla ya Futari iliyoandaliwa na Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu kwa Waumini wa Dini ya Kiislamu wanaoshiriki Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme wakati wa Hafla ya Futari iliyoandaliwa na Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu kwa Waumini wa Dini ya Kiislamu wanaoshiriki Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme wakati wa Hafla ya Futari iliyoandaliwa na Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu kwa Waumini wa Dini ya Kiislamu wanaoshiriki Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
Msaidizi wa Askofu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu upande wa Mahusiano na Dini zingine, Khalid Sadiki Juma akizungumza wakati wa Hafla ya Futari iliyoandaliwa na Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu kwa Waumini wa Dini ya Kiislamu wanaoshiriki Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
Sheikh wa Mkoa wa Shinyanga Ismail Makusanya akichukua Futari wakati wa Hafla ya Futari iliyoandaliwa na Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu kwa Waumini wa Dini ya Kiislamu wanaoshiriki Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
Sheikh wa Mkoa wa Shinyanga Ismail Makusanya akichukua Futari wakati wa Hafla ya Futari iliyoandaliwa na Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu kwa Waumini wa Dini ya Kiislamu wanaoshiriki Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
Viongozi wa Dini ya Kiislamu wakichukua Futari wakati wa Hafla ya Futari iliyoandaliwa na Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu kwa Waumini wa Dini ya Kiislamu wanaoshiriki Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Kulia ni Askofu Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu Enoch Marwa Sando
Viongozi wa Dini ya Kiislamu wakichukua Futari wakati wa Hafla ya Futari iliyoandaliwa na Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu kwa Waumini wa Dini ya Kiislamu wanaoshiriki Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. 
Viongozi wa Dini ya Kiislamu wakichukua Futari wakati wa Hafla ya Futari iliyoandaliwa na Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu kwa Waumini wa Dini ya Kiislamu wanaoshiriki Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. 
Askofu Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu Enoch Marwa Sando (kushoto), Sheikh wa Mkoa wa Shinyanga Ismail Makusanya na Mwenyekiti wa Kamati ya Amani Mkoa wa Shinyanga Sheikh Balilusa Hamis (kulia) wakipata futari

heikh wa Mkoa wa Shinyanga Ismail Makusanya akiomba dua wakati wa Hafla ya Futari iliyoandaliwa na Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu kwa Waumini wa Dini ya Kiislamu wanaoshiriki Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
Askofu Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu Enoch Marwa Sando akiomba wakati wa Hafla ya Futari iliyoandaliwa na Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu kwa Waumini wa Dini ya Kiislamu wanaoshiriki Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani

Askofu Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu Enoch Marwa Sando akimkabidhi Sheikh wa Mkoa wa Shinyanga Ismail Makusanya (kulia) Vitabu vya ‘Jipatie Amani ya Moyo’ 
Askofu Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu Enoch Marwa Sando akizungumza wakati akimkabidhi Sheikh wa Mkoa wa Shinyanga Ismail Makusanya  zawadi ya Mbuzi na Mchele kwa ajili ya Eid
Askofu Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu Enoch Marwa Sando akishikana mkono na Sheikh wa Mkoa wa Shinyanga Ismail Makusanya ishara ya kukabidhi zawadi ya Mbuzi na Mchele kwa ajili ya Eid
Askofu Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu Enoch Marwa Sando akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi (kushoto) Vitabu vya ‘Jipatie Amani ya Moyo’.
 
Picha zote na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 
 

About the author

Alex Sonna