slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

casibom giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

jojobet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

marsbahis

pusulabet giriş

jojobet giriş

grandpashabet

film izle

1xbet giriş

1xbet

gameofbet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

noktabet, noktabet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

jojobet

jojobet

deneme bonusu

casibom

holiganbet

jojobet

casinolevant

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

celtabet

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

betixir

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

safirbet

artemisbet

kavbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

klasbahis

artemisbet giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

meritking

jojobet

trust score weak 3

jojobet

bets10 giriş

slot siteleri

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

meritbet giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betingo, betingo giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

timebet

matbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

radissonbet

sekabet

grandpashabet

matbet

jetbahis

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

queenbet

Featured Kitaifa

RAIS SAMIA ALETA MAPINDUZI YA UCHUMI

Written by Alex Sonna
 
 
* Tanzania kuchimba madini adimu ya kimkakati yanayosakwa dunia nzima kutengeneza vifaa nyeti vya jeshi, magari ya umeme 
 
* Serikali kuvuna mapato zaidi ya Shilingi trilioni 7.4 baada ya Rais Samia kuvutia wawekezaji wa nje kujenga migodi mikubwa mipya mitatu
 
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
 
SERA za kuvutia wawekezaji za Rais Samia Suluhu Hassan na usimamizi madhubuti wa sekta ya madini zinatarajiwa kuiingizia serikali mapato ya zaidi ya dola za Kimarekani Bilioni 3.15 (zaidi ya Shilingi trilioni 7.4) kwenye miaka ijayo kufuatia kusainiwa kwa mikataba ya ujenzi wa migodi mikubwa mitatu kati ya serikali na wawekezaji wa nje.
 
Mikataba hiyo ya ubia ilisainiwa Jumatatu wiki hii jijini Dodoma kati ya Serikali na kampuni za uwekezaji za Australia na kushuhudiwa na Rais Samia.
 
Mkataba wa kwanza ni kati ya Kampuni ya Peak Rare Earths Ltd na Serikali ambapo wamekubaliana kuunda kampuni mbili za ubia za Mamba Minerals Corporation na Mamba Refinery Corporation. Serikali ya Tanzania itakuwa na umiliki wa asilimia 16 ya hisa katika kampuni hizo za ubia, wakati mwekezaji atamiliki asilimia 84.
 
Mradi huu utahusisha ujenzi wa mgodi wa madini adimu (rare earth minerals) wa Ngualla katika Mkoa wa Songwe, ambapo ujenzi unatarajiwa kuanza Oktoba mwaka huu na uuzaji nje wa madini hayo ya kimkakati umepangwa kuanza Septemba 2025 ili kujibu kiu kubwa iliyopo kwenye soko la dunia kwa madini hayo.
 
Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara ya Madini, mwekezaji anatarajiwa kutumia Dola za Kimarekani milioni 439 kwenye uwekezaji wa awali katika ujenzi wa mgodi huo na kutumia Dola za Kimarekani nyingine milioni 215 kuendesha mgodi huo.
 
Maoteo ya Wizara ya Madini yanaonesha kuwa mgodi huo utadumu kwa miaka 23 na kutengeneza mapato yafikayo Dola za Kimarekani Bilioni 6.8 wakati wa uhai wake.
 
Kati ya mapato hayo, Dola za Kimarekani Bilioni 2.37 (sawa na Shilingi trilioni 5.5) zinatarajiwa kwenda kwa Serikali ya Tanzania, ikitokana na hisa zake za asilimia 16 kwenye mgodi huo, mrabaha, tozo na kodi za moja kwa moja.
 
Nchi ya China inauza zaidi ya asilimia 80 ya madini ya rare earths duniani na kufanya nchi ya Marekani na Ulaya kusaka machimbo mengine ya madini hayo Tanzania na kwingineko, ili kupunguza utegemezi kwa China.
 
Madini hayo nyeti yanatumika kwenye ndege za kijeshi, magari ya umeme, vifaa vya kuzalisha umeme wa upepo na vifaa vya kielectroniki.
 
Kwa upande mwingine, Serikali imeingia ubia na kampuni ya Evolution Energy Minerals Limited ya Australia kujenga mgodi wa uchimbaji madini ya kinywe (graphite) eneo la Chilalo, Wilayani Ruangwa, Mkoa wa Lindi.
 
Kwenye mradi huu, jumla ya mapato ya serikali yanatarajiwa kuwa Dola za Kimarekani milioni 437 (zaidi ya shilingi trilioni 1) ndani ya miaka 18 ya uhai wa mgodi huo.
 
Mradi wa tatu unahusu ubia kati ya Serikali na mwekezaji kutoka Australia, EcoGraf Limited, utakaohusisha uchimbaji madini ya kinywe (graphite) kwenye eneo la Epanko, lilipo Mahenge, Wilayani Ulanga, Mkoa wa Morogoro.
 
Wizara ya Madini imesema kuwa Serikali inatarajia kupata mapato ya Dola za Kimarekani milioni 344.2 (zaidi ya shilingi bilioni 800) ndani ya miaka 17 ya uhai wa mgodi huo.
 
Serikali iko kwenye hatua za mwisho za majadiliano na kampuni nyingine za wawekezaji wa nje ambao wako tayari kujenga migodi mipya mikubwa minne mingine, hivyo kuzidi kupaisha uchumi wa taifa.
 
Licha ya mapato hayo ya serikali, wawekezaji hao wataingiza mitaji na ujuzi kutoka nje na kutengeneza maelfu ya ajira mpya.
 
Tangu alipoingia madarakani Machi 2021, Rais Samia amechukua hatua za makusudi kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini na kurejesha imani ya wawekezaji wa nje kwa nchi.
 
Takwimu mpya za Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) zilizotoka wiki hii zinaonesha kuwa uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi tangu Rais Samia aingie madarakani, huku makusanyo ya kodi nayo yakivunja rekodi.
 
IMF imesema kuwa Pato la Taifa la Tanzania linatarajiwa kufikia Shilingi trilioni 200 mwaka huu kutoka Shilingi trilioni 163.5 wakati Rais Samia alipoingia madarakani mwaka 2021.
 
Takwimu hizo za IMF zinaonesha kuwa uchumi wa Tanzania utakua kwa kasi zaidi ya uchumi wa Kenya kwenye miaka mitano ijayo, hivyo kuipa uwezekano wa Tanzania kuipiku Kenya kwenye miaka ya karibuni na kuwa uchumi mkubwa zaidi kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
 

About the author

Alex Sonna