marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

lordbahis

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

pusulabet

imajbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

pusulabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

jojobet

marsbahis

imajbet giriş

imajbet

ngsbahis

piabellacasino

mislibet

ngsbahis

goldenbahis

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

madridbet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

sahabet

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

istanbulbahis

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

imajbet

imajbet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

goldenbahis

imajbet

perabet giriş

perabet

ngsbahis

kralbet giriş

bahsegel

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

gonebet, gonebet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

superbetin

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

romabet

jojobet

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

robinbet

meritking

meritking

grandpashabet

Featured Kitaifa

WORLD VISION TANZANIA YAZINDUA MRADI WA NOURISH KISHAPU SHINYANGA

Written by Alex Sonna
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi  akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme wakati Shirika la World Vision Tanzania likizindua Mradi wa NOURISH utakaotekelezwa katika kata ya Ngofila na Lagana wilaya ya Kishapu
 
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 
Shirika la World Vision Tanzania limezindua Mradi wa NOURISH wenye lengo la kupunguza umaskini na njaa katika kaya na jamii zilizo katika mazingira hatarishi utakaotekelezwa kwa kipindi cha miaka mitano katika kata za Ngofila na Lagana Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu Mkoa wa Shinyanga.
 
 
Mradi huo umezinduliwa leo Jumatano Aprili 12, 2023 na Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme katika ukumbi wa Vigirmark Mjini Shinyanga na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali.
 
 
Akizungumza wakati wa kikao cha Kutambulisha Mradi wa NOURISH kwa viongozi na maafisa wa serikali,  Mhe. Samizi amelipongeza Shirika la World Vision kwa kupeleka mradi huo katika wilaya ya Kishapu akibainisha kuwa Serikali itaendelea kushirikiana na Shirika la World Vision Tanzania na wadau mbalimbali kuhakikisha mradi huo unakuwa na tija kwa wananchi.
 
“Utambulisho wa Mradi huu ni takwa la Kisheria kwa mujibu wa Sheria Na. 24 ya Mashirika yasiyo ya Kiserikali ya Mwaka 2002 pamoja na Mwongozo wa uratibu wa mashirika yasiyo ya kiserikali ya mwaka 2020. Utambulisho wa mradi huu unatoa fursa ya uwazi wa uwajibikaji lakini pia kujadiliana kwa pamoja kuhusu muundo wa mradi (Project Design) na kufanya marekebisho ya afua ambazo zinaweza kuleta mkanganyiko dhidi ya kanuni, sheria, taratibu na maadili ya nchi zetu”,ameeleza Mhe. Samizi.
“Nipongeze Shirika la World Vision Tanzania kwa kuendelea kutekeleza miradi mbalimbali inayoendana na vipaumbele vya serikali hususani ujenzi wa miundombinu ya afya, elimu, maji, lishe na afua za uimarishaji wa kaya kwa wananchi wenye hali duni ya kipato”,amesema.
 
 
“Tunawashukuru sana World Vision Tanzania kwa mradi huu, matarajio yetu ni kuona mradi unaleta tija katika jamii. Mmekuwa wadau wazuri katika utekelezaji wa miradi inayogusa moja kwa moja wanajamii hasa wanaoishi katika mazingira magumu na kuwezesha ustawi wa mtoto katika mkoa wa Shinyanga”,amesema Samizi.
 
 
Aidha ametumia fursa hiyo kuyakumbusha mashirika na taasisi mbalimbali zinazotekeleza miradi katika jamii kuhakikisha wanatekeleza kwa kuzingatia mila na desturi ili kulinda maadili na utamaduni wa Mtanzania.
Mkurugenzi wa Miradi wa World Vision Tanzania Dkt. Gideon Cohen
 
Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Miradi wa World Vision Tanzania Dkt. Gideon Cohen amesema ili kutekeleza mradi wa NOURISH kikamilifu ni lazima wadau wote washirikiane.
 
 
“Mradi huu wa NOURISH siyo mradi wa World Vision pekee bali ni mradi wa Watanzania wote, naomba tushirikiane sote ili kupata matokeo chanya”,amesema Dkt. Cohen.
 
 
Meneja wa World Vision Tanzania Kanda ya Ziwa, Jackline Kaihira amesema mradi wa NOURISH unagusa maeneo mbalimbali yakiwemo ya Lishe na afya na usawa wa kijinsia na uchumi hivyo kuwaomba wadau wote kushirikiana ili kutimiza malengo ya mradi.
Meneja wa World Vision Tanzania Kanda ya Ziwa, Jackline Kaihira.
 
Amesema Mradi huo utafanya kazi katika Nyanja za afya, lishe, kilimo, kuimarisha uchumi wa kaya na masuala ya kijinsia na kwamba wameamua kukutana na wadau ili wajue shughuli za mradi kiundani,kupitia mpango kazi wa mwaka wa kwanza na kuhuisha mipango ya serikali na ile ya mradi ili kuweza kushirikiana kwa karibu katika utekelezaji.
 
Mratibu wa Mradi wa NOURISH Irene Abusheikh amesema lengo la mradi wa NOURISH (Nature – Based Opportunities Underpinning Resilient and Sustainable Households) ni kupunguza umaskini na njaa katika kaya na jamii zilizo katika mazingira hatarishi ambapo walengwa wakuu ni wanawake na watoto waliopo kwenye jamii.
 
 
Amesema mradi huo utatekelezwa na Shirika la World Vision Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la Kivulini na serikali.
 
 
Afisa Mwandamizi Kivulini, Eunice Mayengela amesema Kivulini inashiriki katika mradi wa NOURISH kwa kuwezesha wanawake kijamii na kiutamaduni hususani katika kuwajengea uwezo wa kushiriki katika nafasi mbalimbali za maamuzi kuanzia ngazi ya familia na jamii.

 

Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Kishapu, Emmanuel Johnson amesema wamepokea vizuri mradi huo na kuongeza kuwa utaongeza chachu katika masuala ya afya, lishe na kukuza uchumi wa wananchi.
 

 

ANGALIA PICHA HAPA CHINI
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi  akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme wakati Shirika la World Vision Tanzania likizindua Mradi wa NOURISH utakaotekelezwa katika kata ya Ngofila na Lagana wilaya ya Kishapu
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi  akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme wakati Shirika la World Vision Tanzania likizindua Mradi wa NOURISH utakaotekelezwa katika kata ya Ngofila na Lagana wilaya ya Kishapu
Mkurugenzi wa Miradi wa World Vision Tanzania Dkt. Gideon Cohen akizungumza wakati Shirika la World Vision Tanzania likizindua Mradi wa NOURISH utakaotekelezwa katika kata ya Ngofila na Lagana wilaya ya Kishapu
Mkurugenzi wa Miradi wa World Vision Tanzania Dkt. Gideon Cohen akizungumza wakati Shirika la World Vision Tanzania likizindua Mradi wa NOURISH utakaotekelezwa katika kata ya Ngofila na Lagana wilaya ya Kishapu
Mkurugenzi wa Miradi wa World Vision Tanzania Dkt. Gideon Cohen akizungumza wakati Shirika la World Vision Tanzania likizindua Mradi wa NOURISH utakaotekelezwa katika kata ya Ngofila na Lagana wilaya ya Kishapu
Mkurugenzi wa Miradi wa World Vision Tanzania Dkt. Gideon Cohen akizungumza wakati Shirika la World Vision Tanzania likizindua Mradi wa NOURISH utakaotekelezwa katika kata ya Ngofila na Lagana wilaya ya Kishapu
Meneja wa World Vision Tanzania Kanda ya Ziwa, Jackline Kaihira akizungumza wakati Shirika la World Vision Tanzania likizindua Mradi wa NOURISH utakaotekelezwa katika kata ya Ngofila na Lagana wilaya ya Kishapu
Meneja wa World Vision Tanzania Kanda ya Ziwa, Jackline Kaihira akizungumza wakati Shirika la World Vision Tanzania likizindua Mradi wa NOURISH utakaotekelezwa katika kata ya Ngofila na Lagana wilaya ya Kishapu
Meneja wa World Vision Tanzania Kanda ya Ziwa, Jackline Kaihira akizungumza wakati Shirika la World Vision Tanzania likizindua Mradi wa NOURISH utakaotekelezwa katika kata ya Ngofila na Lagana wilaya ya Kishapu
Mratibu wa Mradi wa NOURISH Irene Abusheikh akielezea kuhusu Mradi wa NOURISH utakaotekelezwa katika kata ya Ngofila na Lagana wilaya ya Kishapu
Mratibu wa Mradi wa NOURISH Irene Abusheikh akielezea kuhusu Mradi wa NOURISH utakaotekelezwa katika kata ya Ngofila na Lagana wilaya ya Kishapu
Mratibu wa Mradi wa NOURISH Irene Abusheikh akielezea kuhusu Mradi wa NOURISH utakaotekelezwa katika kata ya Ngofila na Lagana wilaya ya Kishapu
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Kishapu, Emmanuel Johnson akizungumza wakati Shirika la World Vision Tanzania likizindua Mradi wa NOURISH
 Afisa Mwandamizi Kivulini, Eunice Mayengela akielezea namna Kivulini itakavyoshiriki katika  utekelezaji wa mradi wa NOURISH wilayani Kishapu
Afisa Mwandamizi Kivulini, Eunice Mayengela akielezea namna Kivulini itakavyoshiriki katika  utekelezaji wa mradi wa NOURISH wilayani Kishapu
Wadau wakiwa ukumbini wakati Shirika la World Vision Tanzania likizindua Mradi wa NOURISH
Wadau wakiwa ukumbini wakati Shirika la World Vision Tanzania likizindua Mradi wa NOURISH
Wadau wakiwa ukumbini wakati Shirika la World Vision Tanzania likizindua Mradi wa NOURISH
Wadau wakiwa ukumbini wakati Shirika la World Vision Tanzania likizindua Mradi wa NOURISH
Wadau wakiwa ukumbini wakati Shirika la World Vision Tanzania likizindua Mradi wa NOURISH
Wadau wakiwa ukumbini wakati Shirika la World Vision Tanzania likizindua Mradi wa NOURISH
Wadau wakiwa ukumbini wakati Shirika la World Vision Tanzania likizindua Mradi wa NOURISH
Wadau wakiwa ukumbini wakati Shirika la World Vision Tanzania likizindua Mradi wa NOURISH
Wadau wakiwa ukumbini wakati Shirika la World Vision Tanzania likizindua Mradi wa NOURISH
Picha ya kumbukumbu wakati Shirika la World Vision Tanzania likizindua Mradi wa NOURISH
Picha ya kumbukumbu wakati Shirika la World Vision Tanzania likizindua Mradi wa NOURISH
Picha ya kumbukumbu wakati Shirika la World Vision Tanzania likizindua Mradi wa NOURISH.
 
Picha zote na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 
 

About the author

Alex Sonna