Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

holiganbet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

imajbet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

casibom

casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10 giriş

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

jojobet

ultrabet

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

starzbet

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

Featured Kitaifa

WIZARA YA ELIMU YATOA FURSA WATAHINIWA 337 WALIOFUTIWA MATOKEO KURUDIA MITIHANI

Written by Alex Sonna

WAZIRI wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Prof Adolf Mkenda,akizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 11,2023 jijini Dodoma kuhusu kutoa ruhusa ya wanafunzi 337 waliofutiwa matokeo kidato cha nne kurudia mitihani Mei 2,mwaka huu.

Na.Alex Sonna-DODOMA

WIZARA ya Elimu,Sayansi na Teknolojia imewaruhusu wanafunzi 337 waliofutiwa matokeo ya kidato cha nne kutokana na kufanya  udanganyifu na  kuandika matus kurudia tena mitihani hiyo Mei 2 mwaka huu.

Hayo yameelezwa leo Aprili 11,2023 jijini Dodoma na  Waziri wa Wizara hiyo,Prof Adolf Mkenda  wakati akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dodoma ambapo amesema  wamejadiliana na Baraza la Taifa la Mitihani (NECTA) ili kuona namna ya wanafunzi hao kufanya mtihani mapema kabla ya duru nyingine na suala hilo halitarudiwa tena.

“Nimeelekeza wanafunzi hao kama wakitaka wawasiliane na Baraza ili kufanya mtihani wa kidato cha nne na utatolewa wakati wa mtihani wa kidato cha sita ambao utaanza Mei 2 hadi 22, mwaka huu,”alisema.

Amesema matokeo yalivyotoka Baraza la Mitihani(NECTA)  liliwafutia   watahiniwa  337 wa kidato cha nne ambapo kati ya hao wanafunzi 333 walifutiwa kutokana na  sababu ya udanganyifu na wanawafunzi wanne  sababu ya kuandika matusi kwenye karatasi za majibu.

Amebainisha kuwa shule zilizofanya udanganyifu ambazo ni Twibhoki, Thaqaafa, shule ya Mnemonic Academy ya Zanzibar na Cornel zitaendelea kuwa chini ya uangalizi na serikali haiwezi kukubali kusajili shule kwenda kuwa kiwanda cha kuharibu mfumo wa elimu.

“Kati ya wanafunzi 333 ambao matokeo yao yalizuiliwa wanafunzi 206 wanatoka katika shule mbili tu ambazo ni Twibhoki mkoani Mara na Thaqaafa jijini Mwanza, takribani mbili ya tatu ya wanafunzi wote waliozuiliwa matokeo wanatoka katika shule hizi mbili,”alisema.

“Kwa kawaida matokeo yanapofungiwa watahiniwa sababu kama hizo  wanawez kuomba kufanya tena mtihani katika duru inayofuata kama watahiniwa binafsi,”amesema Prof. Mkenda.

Amesema kwa sababu hiyo wamefanya mazungumzo na Baraza la Mitihani ili kuona jinsi ambavyo wanafunzi hao wataweza kurudia kufanya mitihani kuanzia Mei 2 mwaka huu pamoja na wanafunzi wa kidato cha sita.

Aidha amesema kuwa  gharama za uendeshaji wa mtihani huo zitakuwa ndogo na kama ingeendeshwa nje ya utaratibu huo ingegharimu serikali zaidi ya Sh.Bilioni moja.

“Wasimamizi wa mitihani watakuwa wale wale wa kidato cha sita na watafanya kwa utaratibu utakaowekwa na utafungwa kwenda kusahihishwa.Hii ni mara ya mwisho kufanya hivi hatuwezi kuingiza nchi kwenye gharama hizi,”amesema Prof.Mkenda

“Naamini itakuwa mara ya mwisho nataka wazazi wajue wala hailipi kushinikiza udanganyifu na watu wapewe fedha waliohusika  kuwadanganya watoto wetu walaaniwe,”amesema Prof.Mkenda

Waziri Mkenda amesema wizi wa mihani una madhara makubwa  kwani hawawatendei haki watahiniwa ambao hawajaoneshwa mitihani.

“Nasema hivi ili wazazi walimu na watanzania tuwe imara kukemea jambo hili na tuwe  shupavu kupambana bila kulegalega.Ni suala la haki kuhakikisha watahiniwa wote wanafanya mitihani katika mazingira sawa hakuna ambaye anaruhusiwa kuona mtihani au kuingia na majibu,”amesema .

Amesema wizi wa mtihani unafundisha vijana wizi na utovu wa maadili kwani kwa sasa watu wengi wanazungumzia suala la malezi na maadili kushuka,

“Fikiria unaenda kutibiwa na Dakatari ambaye amepita kwa kuoneshwa mitihani una uhakika kweli utahudumiwa vizuri au rubani ambaye hakufaulu kwa haki, tutakapoanza kuruhusu tutakuwa tunaharibu  mfumo wa elimu,”amesema

Prof Mkenda amesema kufutiwa kwa matokeo  kwa vijana hao ni jambo  ambalo linatia  uchungu na hawafurahii watoto kukaa nyumbani hasa mabinti.

“Kinachoumia katika wanafunzi hao 2.3 wanatoka katika shule ambazo zilikuwa zimewekwa katika mfumo wa udanganyifu wapende wasipende,aliyekataa alichapwa na mwalimu

“Kuna shule mmiliki wa shule alilipa askari,kuna wanafunzi wengi wameingia katika mkumbo kunakuwa na tamaaa ya kufanya vizuri wanakuwa na uwezo lakini wameingia  katika mkumbo,”amesema wa

Amesema shule ambazo zinazoonekana kufanya udanganyifu wanaziweka chini ya uangalizi kwani hawawezi kukubali kusajili shule ambazo ni kiwanda cha udanganyifu na kuharibu mfumo wa elimu.

Amesema wapo tayari kufuta shule ambazo zitahusika katika udanganyifu na mtihani wa kidato cha sita unaotarajiwa kuanza  Mei 2 mwaka huu.

“Wale wanaopanga kufanya udanganyifu naomba niwaambie hatutaki udangayifu  ipo shule moja wanafunzi wamepewa wafanye mtihani wale wa juu ya darasa,Shule ambazo zimehusika natuma salama kwa wazazi mna taarifa shule zipo chini ya uangalizi kwanini umepeleke mwanao kwani shule ni hizo tu,”amesema

Amesema kesi zipo mahakamani za watu waliohusika na wizi wa mtihani ambapo amedai wanazifuatilia na mashtaka yanaendeshwa  vizuri ili stahiki zichukuliwe.

“Wale wote waliohusika wachukuliwe hatua kwa sabahu hawa wangefanya kazi zao vizuri sisi tusingekuwa na kazi tena ya kuokoa vijana wetu,”amesema

Hata hivyo Prof Mkenda ameziagiza kamati za mitihani za mikoa kuongeza umakini hasa Mwanza Mara na Shinyanga ijipange vizuri kuhakikisha makosa hayo hayajitokezi tena.

About the author

Alex Sonna