marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

betbey

imajbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

romabet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

kıbrıs escort

taksimbet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

meritking

vdcasino

Featured Kitaifa

MAKAMU WA RAIS AKAGUA SHAMBA LA MIFUGO MABUKI NA KITUO ATAMIZI

Written by Alex Sonna
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akizungumza na viongozi wa sekta mifugo pamoja na vijana wanaoshiriki mpango wa mafunzo ya ujasirimali kupitia sekta ya mifugo katika Kituo Atamizi cha Mabuki kinachotumika kunenepesha ng’ombe wa nyama kilichopo Misungwi mkoani Mwanza leo tarehe 11 Aprili 2023.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega mara baada ya kuwasili katika Kituo Atamizi cha Mabuki kinachotumika kunenepesha ng’ombe wa nyama kilichopo Misungwi mkoani Mwanza leo tarehe 11 Aprili 2023.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akikagua maendeleo ya Kituo Atamizi cha Mabuki kinachotumika kunenepesha ng’ombe wa nyama pamoja na mpango wa mafunzo ya ujasiriamali kupitia sekta ya mifugo kilichopo Misungwi mkoani Mwanza leo tarehe 11 Aprili 2023.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akisikiliza maelezo kutoka kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega wakati akikagua maendeleo ya Shamba la Mifugo Mabuki mara baada ya Serikali ya Awamu ya Sita kupeleka Ng’ombe aina ya Mitamba 500 katika Shamba hilo. Tarehe 11 Aprili 2023.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango ameiagiza Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuhakikisha wanaweka utaratibu maalumu wa maafisa mifugo kuanzia ngazi ya kata kuwatambua wafugaji na idadi ya mifugo yao ili kuboresha huduma za ugani na kuongeza tija ya mifugo katika Taifa.

Makamu wa Rais amesema hayo leo tarehe 11 Aprili 2023 alipotembelea shamba la mifugo la mabuki na Kituo Atamizi cha Mabuki kinachotumika kunenepesha ng’ombe wa nyama pamoja na mpango wa mafunzo ya ujasiriamali kupitia sekta ya mifugo kilichopo Misungwi mkoani Mwanza.

Amesema ni wakati sasa wa kuhakikisha mifugo mingi iliopo nchini inapata thamani kwa kukuzwa katika ubora unaohitajika na hivyo kuweza kupata masoko nje ya nchi. Ameongeza kwamba sekta ya mifugo ni fursa kwa vijana na taifa kwa ujumla hivyo ameagiza kudhibitiwa uvamizi katika eneo la Shamba la Mifugo la Mabuki ambalo ni la kimkakati linalotumika kubadilisha sekta ya mifugo nchini.

Akizungumza katika kituo atamizi cha mabuki ambacho kinatumika kunenepesha ng’ombe wa nyama pamoja na mpango wa mafunzo ya ujasiriamali kupitia sekta ya mifugo, Makamu wa Rais ametoa rai kwa wanafunzi na walimu katika vyuo vya kilimo na mifugo hapa nchini kuongeza jitihada katika kutekeleza kwa vitendo kile wanachojifunza na kufundisha. Amesema wahitimu na wakufunzi katika sekta ya mifugo wanapswa kuwa mstari wa mbele ili kuongeza tija ya haraka katika sekta hiyo.

Ameongeza kwamba kituo hicho atamizi ni chachu ya mabadiliko katika sekta ya mifugo kitakachosaidia kuondokana na changamoto ya mauzo hafifu ya nyama nje ya nchi licha ya uwepo wa wingi wa mifugo hapa nchini.

Kwa upande wake Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega amesema wizara hiyo imejiwekea malengo ya kuhakikisha inatekeleza mazoezi ya kitaifa kama vile chanjo kwa mifugo pamoja na kuwatumia vema maafisa mifugo na vitendea kazi walivyopewa ili viweze kutumika kwa malengo yaliokusudiwa.

Waziri Ulega ameongeza kwamba Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeanza kutekeleza afua ambazo zinatoa mwelekeo mpya wa sekta ya mifugo ili kukabiliana na changamoto zilizopo ikiwemo kuimarisha shughuli za utafiti na mafunzo,kuimarisha biashara na masoko ya mifugo na mazao yake pamoja na upatikanaji wa malisho na maji kwaajili ya mifugo.

Jumla ya ng’ombe 500 aina ya mitamba wamenunuliwa na Serikali ya Awamu ya Sita na kukabidhiwa katika shamba hilo. Shamba la kuzalisha mifugo la Mabuki linamilikiwa na Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi lilianzishwa mwaka 1967 kwa dhumuni la kuzalisha na kusambaza mitamba bora ya ng’ombe wa maziwa kwa wafugaji kwa bei nafuu ili kuwaongezea kipato na kupunguza umasikini kwa jamii

About the author

Alex Sonna