slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

marsbahis

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

matbet

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

jojobet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betasus

pusulabet giriş

matbet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

holiganbet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

gobahis, gobahis giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

goldenbahis

trimology review

jojobet

jojobet

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

casinolevant

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

matbet giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

parobet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

imajbet

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

jojobet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

goldenbahis giriş

madridbet

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

celtabet

bets10 giriş

tempobet

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

holiganbet

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

matbet, matbet giriş

matbet, matbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

goldenbahis

Goldenbahis

tempobet giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

holiganbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler 2026

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

deneme bonusu

sekabet

pusulabet

grandpashabet

marsbahis

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

perabet

Featured Kitaifa

TANESCO YAZINDUA MPANGO WA MIAKA MINNE WENYE LENGO LA KUTATUA CHANGAMOTO ZA KIJINSIA

Written by Alex Sonna

NAIBU Waziri wa Nishati Mhe.Stephen Byabato,akikata utepe kuashiria  uzinduzi wa Programu ya Mpango wa miaka minne wa jinsia kuanzia mwaka 2023-2027, wenye lengo la kuboresha mfumo wa upatikanaji wa takwimu za kijinsia hafla iliyofanyika leo Machi 30,2023 jijini Dodoma.

NAIBU Waziri wa Nishati Mhe.Stephen Byabato ,akizungumza wakati wa uzinduzi wa Programu ya Mpango wa miaka minne wa jinsia kuanzia mwaka 2023-2027, wenye lengo la kuboresha mfumo wa upatikanaji wa takwimu za kijinsia hafla iliyofanyika leo Machi 30,2023 jijini Dodoma.

NAIBU Waziri wa Nishati Mhe.Stephen Byabato,akisisitiza jambo kwa washiriki wakati wa uzinduzi wa Programu ya Mpango wa miaka minne wa jinsia wenye lengo la kuboresha mfumo wa upatikanaji wa takwimu za kijinsia hafla iliyofanyika leo Machi 30,2023 jijini Dodoma.

NAIBU  Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Bw. Athuman Selemani Mbuttuka,akizungumza wakati wa uzinduzi wa Programu ya Mpango wa miaka minne wa jinsia wenye lengo la kuboresha mfumo wa upatikanaji wa takwimu za kijinsia hafla iliyofanyika leo Machi 30,2023 jijini Dodoma.

MAKAMU  Mwenyekiti wa Bodi ya TANESCO Balozi Mwanaidi Maajar,akizungumza wakati wa uzinduzi wa Programu ya Mpango wa miaka minne wa jinsia wenye lengo la kuboresha mfumo wa upatikanaji wa takwimu za kijinsia hafla iliyofanyika leo Machi 30,2023 jijini Dodoma.

MKURUGENZI Mtendaji wa TANESCO,Bw.Maharage Chande ,akielezea malengo yaprogramu hiyo wakati wa uzinduzi wa Programu ya Mpango wa miaka minne wa jinsia wenye lengo la kuboresha mfumo wa upatikanaji wa takwimu za kijinsia hafla iliyofanyika leo Machi 30,2023 jijini Dodoma.

 

SEHEMU ya Washiriki wakimsikiliza Naibu Waziri wa Nishati Mhe.Stephen Byabato (hayupo pichani)  wakati wa uzinduzi wa Programu ya Mpango wa miaka minne wa jinsia kuanzia mwaka 2023-2027, wenye lengo la kuboresha mfumo wa upatikanaji wa takwimu za kijinsia hafla iliyofanyika leo Machi 30,2023 jijini Dodoma.

NAIBU Waziri wa Nishati Mhe.Stephen Byabato,akikata utepe kuashiria  uzinduzi wa Programu ya Mpango wa miaka minne wa jinsia kuanzia mwaka 2023-2027, wenye lengo la kuboresha mfumo wa upatikanaji wa takwimu za kijinsia hafla iliyofanyika leo Machi 30,2023 jijini Dodoma.

NAIBU Waziri wa Nishati Mhe.Stephen Byabato,akizindua logo itakayotumiaka katika  Programu ya Mpango wa miaka minne wa jinsia kuanzia mwaka 2023-2027, wenye lengo la kuboresha mfumo wa upatikanaji wa takwimu za kijinsia iliyozinduliwa  leo Machi 30,2023 jijini Dodoma.

NAIBU Waziri wa Nishati Mhe.Stephen Byabato akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzindua Programu ya Mpango wa miaka minne wa jinsia kuanzia mwaka 2023-2027, wenye lengo la kuboresha mfumo wa upatikanaji wa takwimu za kijinsia hafla iliyofanyika leo Machi 30,2023 jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

SERIKALI kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), limezindua Programu ya Mpango wa miaka minne wa jinsia kuanzia mwaka 2023-2027, wenye lengo la kuboresha mfumo wa upatikanaji wa takwimu za kijinsia.

Akizindua program hiyo  leo Machi 30,2023 jijini Dodoma Naibu Waziri wa Nishati Stephen Byabato amesema mradi huo unalenga kutengeneza sera za shirika na kujenga uwezo kuhusu masuala ya unyanyasaji wa kijinsia.

Mhe.Byabato amesema kuwa mradi huu utaenda kuleta usawa wa kijinsia  TANESCO  kwasababu kutakuwa na mafunzo yanayotolewa kwa ajili ya kujenga uelewa kuwa na uweledi katika masuala ya kinjisia.

“Mradi huu unatekelezwa na TANESCO lengo ni kuhakikisha watumishi wanaofanya kazi katika taasisi hiyo wanapata haki sawa,lengo ni kuhakikisha nafasi mbalimbali zinazojitokeza zinahusisha jinsia zote bila ubaguzi na kujenga usawa.”amesema Mhe.Byabato

Aidha amesema kuwa  mradi huo, utasaidia kuwepo kwa taarifa sahihi za unyanyasaji wa kijinsia katika shirika, kuruhusu fursa ya ukuzaji taaluma kwa wafanyakazi wanawake na kuongeza mafunzo kwa vitendo kwa wafanyakazi wanawake waliopo kazini.

”Katika mradi huo tumekubaliana kuunda kitengo maalumu ambacho kitakuwa na bajeti na kujengewa uwezo kuhusu masuala ya jinsia ili mtu anapopata changamoto awe na sehemu ya kwenda kusema na kupata msaada.”ameongeza 

Kwa upande wake Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya TANESCO Balozi Mwanaidi Maajar amesema kuwa  maendeleo hayawezi kuwepo kama hakutakuwa na usawa wa kijinsia.

“Tunataka wanawake wa TANESCO wawe na haki na wajibu sawa na wanaume kusiwepo na vitendo vya vitisho akashindwa kufanya maamuzi mbalimbali.pia katika meza ya maamuzi na wanawake nao washirikishwe ili kujenga usawa mahali pa kazi.”ameeleza Balozi Maajar

Awali  Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO,Bw.Maharage Chande amesema kuwa lengo la programu hiyo  ni kutatua changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wanawake katika maeneo yao ya kazi kwa lengo la kukuza ajira zao ili kuongeza idadi ya wanawake wanaoajiriwa.

Amesema maeneo ya kimkakati yatakayopewa kipaumbele kuwa ni kuiboresha sera ya Shirika na kujenga uwezo ili sera iende sambamba na masuala ya kijinsia,kuwepo na taarifa sahihi zinazohusu masuala ya unyanyasaji wa kijinsia kwenye Taasisi,kuruhusu fursa ya ukuzaji wa taaluma kwa wafanyakazi wanawake hasa wanaofanyakazi kwenye miradi na kuwepo kwa nafasi ya mafunzo kwa vitengo kwa wafanyakazi wanawake waliopo kazini ili kuwajengea uwezo kuelekea kwenye ajira kamili.

Amesema mradi wa kusafirisha umeme wa Tanzania hadi Zambia (TAZA),Chande ameeleza kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Nishati na TANESCO wanatekeleza ujenzi wa mradi wa upanuzi wa njia ya kusafirisha umeme mkubwa wa kilovoti 400 kutoka katika kituo cha kupokea,Kupoza na kusafirisha umeme mkubwa cha Tagamenda Iringa kwenda kwenye nchi zilizopo kusini mwa Tanzania(Southern African Power Pool)kupitia Kisada Iringa,Iganjo Mbeya na Nkangamo Tunduma Songwe.

“Mradi huu unafadhiliwa na Jumuiya ya Kimataifa ya Maendeleo (IDA) ya Benki ya Dunia kwa mkopo wa Dola za Kimarekani milioni 455,Mfuko wa Maendeleo wa Ufaransa (AfD) kwa mkopo wa Dola za Kimarekani milioni 115,umoja wa Nchi za Ulaya(EU)kwa Dola za Kimarekani milioni 30 pamoja na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Dola za Kimarekani milioni 10,”ameeleza

Aidha  amekitaja kituo hicho cha Tagamenda kuwa ni kitovu cha kusafirisha umeme mkubwa wa kilovoti 220 kwenda kwenye mikoa takribani 18 nchini.

“Na kwa upande mwingine kituo hiki kimeunganishwa na kituo cha umeme cha zuzu Dodoma ili kusafirisha umeme mkubwa kwenda kwenye nchi zilizopo Mashariki mwa Tanzania ambazo ni Kenya,Uganda na Ethiopia kupitia mradi wa kuunganisha umeme baina ya Kenya na Tanzania(Kenya-Tanzania Power Interconnection Project-KTPIP)

About the author

Alex Sonna