Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

aresbet

betcool

avrupabet

vipslot

betcool

realbahis

betmarino

casibom

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

luxbet

betmarino giriş

kareasbet

gobahis giriş

betcool giriş

betnis giriş

elitbahis giriş

luxbet

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

coinbar

grandpashabet

grandpashabet

betpark giriş

betpark

betpark

uyuşturucu satın al

betpark giriş

runtobet

runtobet giriş

1xbet

matbet, matbet giriş

gameofbet

jojobet

hepbet giriş

betmarino

parmabet

avrupabet giriş

hepbet

hazbet giriş

gobahis

betnis

parmabet

realbahis

luxbet giriş

hazbet

aresbet giriş

betlivo

betface

betlivo giriş

betra giriş

gallerbahis

vaycasino giriş

parmabet giriş

kareasbet

casival giriş

celtabet

celtabet giriş

vipslot giriş

lordcasino

realbahis giriş

betface giriş

millibahis

lordcasino giriş

aresbet

vipslot

elitbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

palacebet

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

Madridbet

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

meritbet giriş

slot siteleri

meritbet

jojobet güncel giriş

jojobet

grandpashabet

bets10 sorunsuz giriş

jojobet

pusulabet

holiganbet

mavibet

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

celtabet

millibahis

lordcasino

casival

mavibet giriş

betlike giriş

coinbar

coinbar

artemisbet

mavibet

artemisbet giriş

mavibet

artemisbet giriş

betlike

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat

marsbahis, marsbahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

jojobet

dinamobet

casibom

casibom

ultrabet

casibom

casibom

casibom

grandpashabet

ultrabet

grandpashabet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

meritking

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

imajbet

İmajbet

Featured Kitaifa

TANESCO YAZINDUA MPANGO WA MIAKA MINNE WENYE LENGO LA KUTATUA CHANGAMOTO ZA KIJINSIA

Written by Alex Sonna

NAIBU Waziri wa Nishati Mhe.Stephen Byabato,akikata utepe kuashiria  uzinduzi wa Programu ya Mpango wa miaka minne wa jinsia kuanzia mwaka 2023-2027, wenye lengo la kuboresha mfumo wa upatikanaji wa takwimu za kijinsia hafla iliyofanyika leo Machi 30,2023 jijini Dodoma.

NAIBU Waziri wa Nishati Mhe.Stephen Byabato ,akizungumza wakati wa uzinduzi wa Programu ya Mpango wa miaka minne wa jinsia kuanzia mwaka 2023-2027, wenye lengo la kuboresha mfumo wa upatikanaji wa takwimu za kijinsia hafla iliyofanyika leo Machi 30,2023 jijini Dodoma.

NAIBU Waziri wa Nishati Mhe.Stephen Byabato,akisisitiza jambo kwa washiriki wakati wa uzinduzi wa Programu ya Mpango wa miaka minne wa jinsia wenye lengo la kuboresha mfumo wa upatikanaji wa takwimu za kijinsia hafla iliyofanyika leo Machi 30,2023 jijini Dodoma.

NAIBU  Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Bw. Athuman Selemani Mbuttuka,akizungumza wakati wa uzinduzi wa Programu ya Mpango wa miaka minne wa jinsia wenye lengo la kuboresha mfumo wa upatikanaji wa takwimu za kijinsia hafla iliyofanyika leo Machi 30,2023 jijini Dodoma.

MAKAMU  Mwenyekiti wa Bodi ya TANESCO Balozi Mwanaidi Maajar,akizungumza wakati wa uzinduzi wa Programu ya Mpango wa miaka minne wa jinsia wenye lengo la kuboresha mfumo wa upatikanaji wa takwimu za kijinsia hafla iliyofanyika leo Machi 30,2023 jijini Dodoma.

MKURUGENZI Mtendaji wa TANESCO,Bw.Maharage Chande ,akielezea malengo yaprogramu hiyo wakati wa uzinduzi wa Programu ya Mpango wa miaka minne wa jinsia wenye lengo la kuboresha mfumo wa upatikanaji wa takwimu za kijinsia hafla iliyofanyika leo Machi 30,2023 jijini Dodoma.

 

SEHEMU ya Washiriki wakimsikiliza Naibu Waziri wa Nishati Mhe.Stephen Byabato (hayupo pichani)  wakati wa uzinduzi wa Programu ya Mpango wa miaka minne wa jinsia kuanzia mwaka 2023-2027, wenye lengo la kuboresha mfumo wa upatikanaji wa takwimu za kijinsia hafla iliyofanyika leo Machi 30,2023 jijini Dodoma.

NAIBU Waziri wa Nishati Mhe.Stephen Byabato,akikata utepe kuashiria  uzinduzi wa Programu ya Mpango wa miaka minne wa jinsia kuanzia mwaka 2023-2027, wenye lengo la kuboresha mfumo wa upatikanaji wa takwimu za kijinsia hafla iliyofanyika leo Machi 30,2023 jijini Dodoma.

NAIBU Waziri wa Nishati Mhe.Stephen Byabato,akizindua logo itakayotumiaka katika  Programu ya Mpango wa miaka minne wa jinsia kuanzia mwaka 2023-2027, wenye lengo la kuboresha mfumo wa upatikanaji wa takwimu za kijinsia iliyozinduliwa  leo Machi 30,2023 jijini Dodoma.

NAIBU Waziri wa Nishati Mhe.Stephen Byabato akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzindua Programu ya Mpango wa miaka minne wa jinsia kuanzia mwaka 2023-2027, wenye lengo la kuboresha mfumo wa upatikanaji wa takwimu za kijinsia hafla iliyofanyika leo Machi 30,2023 jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

SERIKALI kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), limezindua Programu ya Mpango wa miaka minne wa jinsia kuanzia mwaka 2023-2027, wenye lengo la kuboresha mfumo wa upatikanaji wa takwimu za kijinsia.

Akizindua program hiyo  leo Machi 30,2023 jijini Dodoma Naibu Waziri wa Nishati Stephen Byabato amesema mradi huo unalenga kutengeneza sera za shirika na kujenga uwezo kuhusu masuala ya unyanyasaji wa kijinsia.

Mhe.Byabato amesema kuwa mradi huu utaenda kuleta usawa wa kijinsia  TANESCO  kwasababu kutakuwa na mafunzo yanayotolewa kwa ajili ya kujenga uelewa kuwa na uweledi katika masuala ya kinjisia.

“Mradi huu unatekelezwa na TANESCO lengo ni kuhakikisha watumishi wanaofanya kazi katika taasisi hiyo wanapata haki sawa,lengo ni kuhakikisha nafasi mbalimbali zinazojitokeza zinahusisha jinsia zote bila ubaguzi na kujenga usawa.”amesema Mhe.Byabato

Aidha amesema kuwa  mradi huo, utasaidia kuwepo kwa taarifa sahihi za unyanyasaji wa kijinsia katika shirika, kuruhusu fursa ya ukuzaji taaluma kwa wafanyakazi wanawake na kuongeza mafunzo kwa vitendo kwa wafanyakazi wanawake waliopo kazini.

”Katika mradi huo tumekubaliana kuunda kitengo maalumu ambacho kitakuwa na bajeti na kujengewa uwezo kuhusu masuala ya jinsia ili mtu anapopata changamoto awe na sehemu ya kwenda kusema na kupata msaada.”ameongeza 

Kwa upande wake Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya TANESCO Balozi Mwanaidi Maajar amesema kuwa  maendeleo hayawezi kuwepo kama hakutakuwa na usawa wa kijinsia.

“Tunataka wanawake wa TANESCO wawe na haki na wajibu sawa na wanaume kusiwepo na vitendo vya vitisho akashindwa kufanya maamuzi mbalimbali.pia katika meza ya maamuzi na wanawake nao washirikishwe ili kujenga usawa mahali pa kazi.”ameeleza Balozi Maajar

Awali  Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO,Bw.Maharage Chande amesema kuwa lengo la programu hiyo  ni kutatua changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wanawake katika maeneo yao ya kazi kwa lengo la kukuza ajira zao ili kuongeza idadi ya wanawake wanaoajiriwa.

Amesema maeneo ya kimkakati yatakayopewa kipaumbele kuwa ni kuiboresha sera ya Shirika na kujenga uwezo ili sera iende sambamba na masuala ya kijinsia,kuwepo na taarifa sahihi zinazohusu masuala ya unyanyasaji wa kijinsia kwenye Taasisi,kuruhusu fursa ya ukuzaji wa taaluma kwa wafanyakazi wanawake hasa wanaofanyakazi kwenye miradi na kuwepo kwa nafasi ya mafunzo kwa vitengo kwa wafanyakazi wanawake waliopo kazini ili kuwajengea uwezo kuelekea kwenye ajira kamili.

Amesema mradi wa kusafirisha umeme wa Tanzania hadi Zambia (TAZA),Chande ameeleza kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Nishati na TANESCO wanatekeleza ujenzi wa mradi wa upanuzi wa njia ya kusafirisha umeme mkubwa wa kilovoti 400 kutoka katika kituo cha kupokea,Kupoza na kusafirisha umeme mkubwa cha Tagamenda Iringa kwenda kwenye nchi zilizopo kusini mwa Tanzania(Southern African Power Pool)kupitia Kisada Iringa,Iganjo Mbeya na Nkangamo Tunduma Songwe.

“Mradi huu unafadhiliwa na Jumuiya ya Kimataifa ya Maendeleo (IDA) ya Benki ya Dunia kwa mkopo wa Dola za Kimarekani milioni 455,Mfuko wa Maendeleo wa Ufaransa (AfD) kwa mkopo wa Dola za Kimarekani milioni 115,umoja wa Nchi za Ulaya(EU)kwa Dola za Kimarekani milioni 30 pamoja na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Dola za Kimarekani milioni 10,”ameeleza

Aidha  amekitaja kituo hicho cha Tagamenda kuwa ni kitovu cha kusafirisha umeme mkubwa wa kilovoti 220 kwenda kwenye mikoa takribani 18 nchini.

“Na kwa upande mwingine kituo hiki kimeunganishwa na kituo cha umeme cha zuzu Dodoma ili kusafirisha umeme mkubwa kwenda kwenye nchi zilizopo Mashariki mwa Tanzania ambazo ni Kenya,Uganda na Ethiopia kupitia mradi wa kuunganisha umeme baina ya Kenya na Tanzania(Kenya-Tanzania Power Interconnection Project-KTPIP)

About the author

Alex Sonna