marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

imajbet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

grandpashabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

sonbahis

marsbahis

perabet giriş

imajbet

klasbahis

savoybetting giriş

goldenbahis

savoybetting

klasbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

matbet, matbet giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

ligobet

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

milanobet

imajbet

perabet giriş

perabet

ngsbahis

kralbet giriş

milanobet giriş

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

kingroyal

trust score weak 3

jojobet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu veren siteler

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

marsbahis, marsbahis giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

madridbet

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

romabet

madritbet

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

bets10

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

marsbahis

matbet

sekabet

vdcasino

betsalvador

casinoroyal

casinoroyal

betist

betist

Featured Kitaifa

WATAALAMU TAASISI YA NELSON MANDELA NA UDOM WAKUTANA NA WATUNGA SERA KUJADILI MRADI WA MAABARA YA AKILI BANDIA

Written by Alex Sonna

 

Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Elimu,Ubunifu na Utafiti kutoka Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Profesa Antony Mshandete akifungua kongamano la siku moja lililowakutanisha Wataalam kutoka Taasisi hiyo na Chuo Kikuu cha Dodoma pamoja na watunga sera wa Wizara mbalimbali katika kujadili Mradi wa Maabara ya Akili Bandia (Artificial Intelligence) leo Machi 29,2023 jijini Arusha.

Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Elimu, Utafiti na Ubunifu kutoka Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Profesa Antony Mshandete (Katika) akifuatilia majadiliano wakati wa kongamano la siku moja lililowakutanisha wataalam kutoka Taasisi hiyo na Chuo kikuu Dodoma pamoja na watunga sera wa wizara mbalimbali kujadili maendeleo ya mradi wa Maabara Bandia leo Machi 29,2023 jijini Arusha. Kushoto ni Mhadhili kutoka UDOM Dkt. Ally Nyamawe na kulia ni Mkurugenzi wa Utafiti na Huduma Elekezi za Jamii UDOM Profesa Ambrose Kessy.

Wataalam kutoka Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela na Chuo kikuu cha Dodoma pamoja na watunga sera kutoka wizara mbalimbali wakifuatilia na kujadiliana kwa pamoja kuhusu mchango wa Mradi wa Maabara Bandia katika kutatua changamoto mbalimbali katika jamii wakato wa Kongamano la siku moja lililofanyika leo Machi 29,2023 jijini Arusha.

Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma ,Utafiti na Ubunifu Profesa Antony Mshandete akiwa katika Picha ya pamoja ( katikati waliokaa) na washiriki wa kongamano la siku moja la mradi wa Maabara ya Akili Bandia kwa Maendeleo ya Afrika leo Machi 29,2023 jijini Arusha

Na Mwandishi Wetu-Arusha

Wataalamu kutoka Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wamekutana na watunga Sera kutoka wizara mbalimbali katika kongamano la siku moja kujadiliana jinsi gani mradi wa maabara ya Akili Bandia kwa Maendeleo ya Afrika(Artificial Intelligence) utakavyoweza kutatua changamoto zinazoikabili jamii katika magonjwa na mifugo.

Akifungua kongamano hilo leo Machi 29 , 2023 Jijini ArushaNaibu Makamu Mkuu wa Chuo Elimu, Utafiti na Ubunifu kutoka Taasisi ya Afrika ya Sayamsi na Teknolojia ya Nelson Mandela Prof. Anthony Mshandete amesema lengo la kongamano hilo ni kukutanisha wataalam hao pamoja na watunga sera ili kubaini jinsi gani Kompyuta inavyoweza kufanya kazi katika tafiti, bunifu na kilimo ikiwemo kubaini aina za magonjwa kwa binadamu na mifugo.

Prof Mshandete ameeleza kuwa, mradi wa Akili Bandia ni mradi mkubwa wa kisayansi itakayotumika kwa ajili ya kubaini magonjwa mbalimbali ya wanyama na binadamu ili kuyadhibiti hivyo ni vyema watunga sera waujue, ili waweze kuuingiza katika miongozo mbalimbali itakayosaidia wizara mbalimbali kubaini magonjwa yanayoibuka kwa haraka kwa kutumia kompyuta.

“Teknolojia hii ni mpya ambayo hubaini kwa haraka magonjwa ya aina mbalimbali yanayoibuka kwa wanyama na binadamu pia itamsaidia mfugaji kubaini changamoto zinazowakabili na kudhibiti magonjwa kwa haraka zaidi” anasema Profesa Mshandete

Naye Mtafiti Mkuu wa Mradi huo wa Akili Bandia (AI4D Research Lab Project) Dkt. Ally Nyamawe amesema, mradi huo wa kisayansi unagharimu kiasi cha sh.Bilioni 1.8 utasaidia watafiti kubaini kwa haraka aina mbalimbali za magonjwa kwa binadamu na wanyama na namna ya kudhibiti.

Ameongeza kuwa, teknolojia hiyo ili iweze kushika kasi zaidi ni vyema watunga sera na watoa maamuzi kuelewa mradi huo katika tafiti, bunifu na mafunzo ili kuwezesha kubaini changamoto katia sekta ya kilimo, uchumi wa kidigitali, afya ikiwemo kubaini wabunifu katika kutatua matatizo tofauti katika jamii hususan kilimo, afya na mifugo.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Utafiti na Huduma Elekezi za Jamii, Profesa Ambrose Kessy kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma ameeleza kuwa mfumo huo hauchukui akili za biandamu bali ni msaidizi katika kubaini na kuleta matokeo ya haraka katika jambo lililoibuka hususan katika milipuko ya magonjwa kwa wanadamu na wanyama.

Mradi huo umefadhiliwa na Mashirika ya IDRC -Canada na Sida -Sweden kupitia mradi wa AI4D Afrika Program.

About the author

Alex Sonna