Featured Kitaifa

DK.MPANGO AMPOKEA MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI

Written by mzalendoeditor

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akimpokea Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo tarehe 29 Machi 2023 kuanza ziara nchini Tanzania

(Picha Ofisi ya Makamu wa Rais)

About the author

mzalendoeditor