Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet

robinbet

robinbet

porno izle

porno izle

türk ifşa izle

evcil hayvan satış

uyuşturucu satın al

runtobet

runtobet giriş

1xbet

avrupabet, avrupabet giriş

gameofbet

jojobet

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

matbet

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

betwoon

betpas

betcup

casinofast giris

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

jojobet

jojobet giriş

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

avrupabet giriş

kingroyal

avrupabet

jojobet güncel giriş

marsbahis

bets10

betsat

jojobet

marsbahis

padişahbet giriş

mavibet

kavbet

setrabet

betpas

perabet

ibizabet

deneme bonusu veren siteler

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

cratosroyalbet giriş

betlike giriş

kavbet giriş

cratosroyalbet

mavibet

mavibet

artemisbet giriş

imajbet

mavibet giriş

betlike

mavibet giriş

mavibet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betsat

pokerklas, pokerklas giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark

betsat giriş

dinamobet

betpas

grandpashabet

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

jojobet

betpas

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

imajbet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

betpas

royalbet

imajbet

betface

betface

imajbet giriş

casibom

Featured Kitaifa

KAMATI YA BUNGE HESABU ZA SERIKALI YARIDHISHWA NA MIRADI YA UMEME VIJIJINI IRINGA

Written by Alex Sonna

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Japhet Hasunga (kulia) akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Janet Mbene wakati Wajumbe wa Kamati hiyo walipowasili mkoani Iringa Machi 14, 2023 kukagua utekelezaji wa miradi ya nishati vijijini. Wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi Hassan Saidy.

Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Janet Mbene (aliyesimama) akizungumza mbele ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC). Kamati hiyo ilikuwa katika ziara ya kazi mkoani Iringa, Machi 14, 2023 kukagua utekelezaji wa miradi ya nishati vijijini.

Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Mhandisi Hassan Saidy (aliyesimama), akizungumza mbele ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC). Kamati hiyo ilikuwa katika ziara ya kazi mkoani Iringa, Machi 14, 2023 kukagua utekelezaji wa miradi ya nishati vijijini.

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), wakisikiliza uwasilishaji taarifa wa miradi ya nishati vijijini mkoani Iringa kabla ya kutembelea na kukagua miradi hiyo Machi 14, 2023.

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Japhet Hasunga (kulia) akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy wakati Wajumbe wa Kamati hiyo walipowasili mkoani Iringa Machi 14, 2023 kukagua utekelezaji wa miradi ya nishati vijijini.

Wajumbe wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) wakiwapokea Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), wakati Kamati hiyo ilipowasili mkoani Iringa, Machi 14, 2023 kukagua utekelezaji wa miradi ya nishati vijijini.

Veronica Simba – REA

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imeridhishwa na hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini mkoani Iringa.

Akizungumza na waandishi wa habari mkoani humo, Machi 14, 2023 baada ya ziara ya Kamati hiyo kukagua Mradi wa Umeme Vijijini Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili, Makamu Mwenyekiti, Japhet Hasunga alisema kuwa wamejionea kwa macho na kujiridhisha kuwa maendeleo ya utekelezaji wake ni mazuri.

“Tumetembelea maeneo haya kukagua na kujiridhisha ikiwa yale tuliyoambiwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika taarifa yao kwa Kamati ni ya kweli au la. Tunashukuru tumejionea kwa macho na kuthibitisha kuwa kweli Mradi unatekelezwa na uko katika hatua nzuri. Tunawapongeza sana REA,” alisema Makamu Mwenyekiti.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Janet Mbene alitumia nafasi hiyo kuwahamasisha wananchi wote waliofikiwa na umeme katika maeneo yao kuunganisha na kuutumia umeme huo majumbani na katika shughuli za maendeleo ili kujiinua kiuchumi.

Alisema kuwa pamoja na jitihada za Serikali kupeleka umeme vijijini, mojawapo ya changamoto kubwa ni kwa wananchi katika baadhi ya maeneo kutokuunganisha na kutumia nishati hiyo ilhali ipo tayari katika maeneo yao.

“Nitumie nafasi hii kuwasihi wananchi ambao wamefikiwa na umeme katika maeneo yao, kuunganisha na kuutumia kwa shughuli za kujiletea maendeleo kwani ndiyo lengo la Serikali. Ifahamike kwamba Serikali inatumia fedha nyingi kutekeleza miradi hii hivyo kutokuutumia umeme wakati upo ni kuitia hasara Serikali na kurudisha nyuma jitihada za kuwaletea wananchi wake maendeleo,” alisisitiza Mwenyekiti.

Awali, akiwasilisha kwa Kamati hiyo, taarifa ya utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini katika Mkoa wa Iringa, Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi Hassan Saidy alisema kuwa kati ya vijiji 39 ambavyo vilikuwa havijafikiwa na umeme mkoani humo, tayari vijiji 17 vimekwishafikiwa na vilivyobaki vitakuwa vimepelekewa umeme kabla ya Juni mwaka huu wa 2023 kupitia Mradi wa REA Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili.

Aidha, Mkurugenzi Mkuu alieleza kuwa, Mradi wa REA Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili mkoani Iringa unatekelezwa na Mkandarasi M/s OK Electrical & Electronics Services Ltd kwa gharama ya shilingi bilioni 15.6

Kuhusu miradi mingine inayotekelezwa na REA mkoani humo, Mhandisi Saidy alisema kuwa ni pamoja na Mradi wa kusambaza umeme katika vituo vya afya na visima vya maji ili kupambana na magonjwa ya mlipuko ikiwemo UVIKO – 19 pamoja na Mradi wa kusambaza umeme katika migodi midogo ya madini na maeneo ya kilimo.

Pia, alisema kuna Mradi mpya wa Ujazilizi Fungu la Pili C ambao unatarajiwa kuanza hivi karibuni kwani Wakala upo katika hatua za mwisho za manunuzi kupata Mkandarasi atakayetekeleza mradi huo.

Wengine walioshiriki katika ziara hiyo ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) ni Wajumbe wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) pamoja na Menejimenti ya REA.

About the author

Alex Sonna