Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet

robinbet

robinbet

porno izle

porno izle

türk ifşa izle

evcil hayvan satış

uyuşturucu satın al

runtobet

runtobet giriş

1xbet

avrupabet, avrupabet giriş

gameofbet

jojobet

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

matbet

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

betwoon

betpas

betcup

casinofast giris

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

jojobet

jojobet giriş

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

avrupabet giriş

kingroyal

avrupabet

jojobet güncel giriş

marsbahis

bets10

betsat

jojobet

marsbahis

padişahbet giriş

mavibet

kavbet

setrabet

betpas

perabet

ibizabet

deneme bonusu veren siteler

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

cratosroyalbet giriş

betlike giriş

kavbet giriş

cratosroyalbet

mavibet

mavibet

artemisbet giriş

imajbet

mavibet giriş

betlike

mavibet giriş

mavibet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betsat

pokerklas, pokerklas giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark

betsat giriş

dinamobet giriş

betpas

grandpashabet

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

jojobet

betpas

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

imajbet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

betpas

royalbet

imajbet

betface

betface

imajbet giriş

casibom

Featured Kitaifa

WANANCHI WA TABORA WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWASOGEZEA HUDUMA ZA KIBINGWA

Written by Alex Sonna
Daktari wa Masikio,Pua na Koo Dkt. Proscovia Mugyabuso kutoka Muhimbili-Mloganzila akimfanyia uchunguzi wa masikio mmoka wa watoto waliofika kupatiwa huduma za kibingwa katika kambi hiyo.
Mkazi wa Tabora Bw. Daud Thelathini akiwa ni mmoja wa wagonjwa waliopata matibabu siku ya kwanza ya kuanza kwa huduma za kibingwa na bobezi katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Tabora-Kitete na ameishukuru Serikali  kwa huduma hiyo
Baadhi ya wananchi wa Tabora wakisubiri matibabu kutoka kwa madaktari bingwa ambao wameweka kambi ya siku tano katika hospitali ya rufaa ya Kitete.
Wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya Tabora na viunga vyake wakisubiri huduma za kibingwa na bobezi.
Mkazi wa Igunga Bw. John Witson  ameishukuru Serikali kwa kuwasogezea huduma za kibingwa na kuiomba huduma kama hizo zisogezwe nchi nzima
**************************
-Wagonjwa 3000 kufikiwa na huduma za kibingwa 
Na. Catherine Sungura, WAF-Tabora
Wakazi wa Tabora na viunga vyake wameishukuru Serikali kupitia Wizara ya afya kwa kuwasogezea huduma za Kibingwa na Ubingwa Bobezi  kwenye hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Tabora-Kitete na hivyo kuwapunguzia gharama za matibabu endapo wangepata rufaa ya kuzifuata huduma hizo nje ya mkoa huo na ukizingatia wengine ni wazee na hali zao za maisha ni ngumu.
Wakiongea kwa wakati tofauti, Wakazi hao ambao wamefika kupatiwa matibabu ya kibingwa ambazo zimeanza kutolewa  jana kwa muda wa siku tano(5) na Madaktari Bingwa wapatao 21 kutoka hospitali za rufaa za mikoa ya Dare es Salaam, Pwani na Dodoma  kwa fani mbalimbali.
Bw. Daud Thelathini ambaye ni Mkazi wa  kata ya Kitete ambaye alifika jana na kuonana na madaktari hao na kufanya baadhi ya vipimo na hivyo anasubiri upasuaji amesema, anashukuru kwa ujio wa madaktari hao bingwa na ameridhika na huduma zao na ushauri wao. 
“Nashukuru sana madaktari wanakusikiliza vizuri na wanakupa ushauri kama tunavyojua ugonjwa hauna hodi na unaweza kuupata wakati wowote, kwa matatizo yetu wengine tungepata rufaa kwenda nje ya mkoa ingekua tabu kwani lazima ungegharamika hivyo kwa ujio huu nimeweza kupata huduma hizo hapahapa” Amesema Bw. Thelathini
Hata hivyo amesema huduma ya kumuona daktari bingwa ni bure na vipimo unachangia kidogo tofauti na huduma zinazotolewa siku za kawaida kwahiyo hata kama mtu ana uwezo mdogo inamrahisishia kupata huduma za kibingwa bila shida. 
“Nampongeza Rais Dkt. Samia Suluhu kwa uongozi wake na usimamizi kwa huduma za afya kwani hivi sasa hospitali yetu ina majengo mazuri, tunaomba huduma hizi zingetolewa mara mbili kwa mwaka ili wnanchi wengi zaidi wasaidike”.Aliongeza
Naye, Mwalimu Thea  Temba  Mkazi wa Urambo amesema anaishukuru Serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu kwa juhudi zake za kusogeza huduma za afya karibu na wananchi  pamoja na  kuboresha huduma hizo katika hospitali ya rufaa ya Kitete.
“Tunashukuru Mungu kwani wengine tumeshatibiwa,nilikuwa nasumbuliwa na masikio nimeonana na madaktari bingwa hili ni jambo zuri nashukuru kwani kwa miaka minne sijaja kutibiwa hapa, unapopata  huduma za madaktari bingwa unashukuru , sasa hivi magonjwa ni mengi sana, tunaomba waendelee kuja mara kwa mara  ili kila mwananchi hasa wanaotoka vijijini wafike kupatiwa huduma hizi” Amesema Mwalimu Thea Temba.
Bw. John Witson, Mkazi wa Igunga ameipongeza Serikali kwa kuwasogezea huduma hizo na kuomba huduma kama hizo zisogezwe nchi nzima ili kila mwananchi aweze kutibiwa na madakatri bingwa.
“Serikali iendelee na mfumo huu wa kutusogelea ili kila mwananchi apate huduma hizo karibu na makazi yeke kwani kuzifuata huduma nje ya mkoa ilikua ikitugharimu sana, nampongeza kwakweli Rais wetu Dkt. Samia Suluhu kwa maboresho ya huduma za afya nchini.
Wakati huo huo Mratibu wa Huduma za hospitali ya Rufaa ya Mkoa-Kitete Dkt. Nassib Msuya amesema kambi hiyo ya madaktari bingwa na bobezi inaendela vizuri na toka jana takribani wagonjwa 600 wameonwa na madaktari hao na wanatarajia kuanza huduma za upasuaji wa wagonjwa wanaotakiwa huduma hiyo.
Dkt. Msuya amesema kutopatikana kwa baadhi ya huduma za kibingwa na bobezi kwa baadhi ya fani hivyo wamekuwa inawaradhimu kuwapatia rufaa wagonjwa wao kwenda kutibiwa nje ya mkoa hivyo ujio wa madaktari hao itawasaidia wananchi wengi ambao wengine walikuwa wanashindwa kusafiri kutokana na changamoto za kifedha.
“Tunamshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa maboresho ya huduma za afya kwani kwa ujio huu wagonjwa wetu wanapata huduma zote za vipimo hapa hapa”.
Amesema kuwa hata madakatari hao wakiondoka huduma nyingine zitaendelea kutolewa kwani madakari wapo pia wanajengewa uwezo wa kuweza kutoa huduma hizo kwenye hospitali hiyo. 
Huduma za matibabu ya kibingwa na ubingwa bobezi katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Tabora-Kitete inatarajia kuwaona wagonjwa zaidi ya elfu tatu na zimeanza kutolewa tarehe 13 hadi 17 mwezi huu kwa ufadhili wa kampuni ya Master Card na imewajumuisha madakarri bingwa na bobezi kutoka  hospitali za rufaa za Mkoa wa Dar es Salaam, Pwani na Dodoma.

About the author

Alex Sonna