Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

avrupabet

vipslot

betcool

betlivo

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

kareasbet

hazbet

betra

meritking giriş

marsbahis

meritking

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

meritking telegram

meritking giriş

betra

gobahis

casival

casival

betcool

avrupabet

celtabet

casibom

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

luxbet

hepbet

millibahis giriş

gobahis

vipslot

betface

elitbahis giriş

betcool

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

betlike

holiganbet

jojobet

betpark giriş

holiganbet

betpark

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

matbet, matbet giriş

betewin

jojobet

vipslot

betnis

betmarino giriş

aresbet

aresbet

avrupabet giriş

betface

luxbet

betmarino

casival giriş

betlivo giriş

realbahis

gallerbahis

gallerbahis

aresbet giriş

parmabet

betnis

elitbahis

vaycasino giriş

betra giriş

celtabet giriş

parmabet giriş

vipslot giriş

hazbet giriş

elitbahis

luxbet giriş

hepbet

lordcasino

parmabet

lordcasino

kareasbet

betcool giriş

realbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

slot siteleri

süratbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

parmabet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

jojobet giriş

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

jojobet

Meritking

holiganbet

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

bets10 sorunsuz giriş

jojobet

casibom

holiganbet

realko

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

sapanca bungalov kiralama

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

betlivo

millibahis

millibahis

celtabet

millibahis

parmabet giriş

mavibet giriş

coinbar

coinbar

mislibet giriş

mavibet

parmabet giriş

parmabet

bahiscasino

mavibet

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

romabet

meritking

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

marsbahis

betsat

marsbahis, marsbahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

betsat giriş

sekabet güncel giriş

casinoroyal

casibom

ultrabet

casibom

casibom

casibom

grandpashabet

ultrabet

grandpashabet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

pusulabet

marsbahis

deneme bonusu

holiganbet

Featured Kimataifa

MAMENEJA WA SACCOS WATAKIWA KUHAKIKISHA KWENYE VYAMA VYA USHIRIKA KUNAKUWA NA HATI SAFI

Written by Alex Sonna

 

NAIBU  Mrajis wa Vyama vya Ushirika – Udhibiti Bw. Collins Nyakunga,akizungumza wakati akifungua Mkutano wa Nne wa Meneja wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo Tanzania kilichofanyika leo Machi 14,2023 jijini Dodoma.

Mrajis Msaidizi wa Vyama vya kifedha kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika Josephat Kisamalala, akiwasilisha taarifa ya Usimamizi na Uendeshaji wa SACCOS wakati wa Mkutano wa Nne wa Meneja wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo Tanzania kilichofanyika leo Machi 14,2023 jijini Dodoma.

SEHEMU ya Washiriki wakifatilia hotuba ya Naibu  Mrajis wa Vyama vya Ushirika – Udhibiti Bw. Collins Nyakunga (hayupo pichani) ,wakati akifungua Mkutano wa Nne wa Meneja wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo Tanzania ulioanza  leo Machi 14,2023 jijini Dodoma.

MTENDAJI Mkuu Sccult (1992) Ltd Bw.Hassani Mnyone,akizungumza wakati wa Mkutano wa Nne wa Meneja wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo Tanzania ulioanza  leo Machi 14,2023 jijini Dodoma.

KAIMU Msaidizi Mkoa wa Dodoma Octavian Bidyanguze,akitoa salamu za Mkoa kwa washiriki wa Mkutano wa Nne wa Meneja wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo Tanzania ulioanza  leo Machi 14,2023 jijini Dodoma.

MWENYEKITI wa Jukwaa Bosco Simba,akitoa neno la shukrani kwa niaba ya washiriki mara baada ya Naibu Mrajis wa Vyama vya Ushirika – Udhibiti Bw. Collins Nyakunga,wakati akifungua Mkutano wa Nne wa Meneja wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo Tanzania kilichofanyika leo Machi 14,2023 jijini Dodoma.

Mrajis wa Vyama vya Ushirika – Udhibiti Bw. Collins Nyakunga,akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki mara baada ya kufungua Mkutano wa Nne wa Meneja wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo Tanzania uliofanyika leo Machi 14,2023 jijini Dodoma.

Mrajis wa Vyama vya Ushirika – Udhibiti Bw. Collins Nyakunga,akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufungua  Mkutano wa Nne wa Meneja wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo Tanzania uliofanyika leo Machi 14,2023 jijini Dodoma.

MENEJA Mkuu Bandarini Saccos Ltd Bw.Godfrey Rwehumbiza ,akizungumza na waandishi wa habari  wakati wa Mkutano wa Nne wa Meneja wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo Tanzania kilichofanyika leo Machi 14,2023 jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

MAMENEJA 126  wa Vyama vya Ushirika wa akiba na mikopo (SACCOS) wamejifungia kwa siku nne Jijini Dodoma kujadiliana namna bora ya kuvisimamia  vyama vya ushirika na kuhakikisha wanaondoa hati chafu.

Akizungumza katika mkutano mkuu wa nne (4) wa Maneja hao  uliofanyika leo Machi 14,2023,Jijini hapa,Naibu Mrajis wa Vyama vya Ushirika, Udhibiti,Collins Nyakunga amesema nia ya jukwaa hilo ni kukumbushana,kubadilishana uzoefu, majukumu na  namna bora ya  kusimamia vyama vya ushirika.

“Tumeanza leo  tutakaa kwa siku nne na tutabadilisha uzoefu namna kusimamia vyama vya ushirika na jinsi ya kufanya  kwa kuzingatia weledi pamoja na  kuzingatia maelekezo.

“Tunawakumbusha wajibu wao wa kila siku kuhakikisha wanatekeleza malengo yaliyokusudiwa na wanachama pamoja na kuhakikisha wanapata hati safi pamoja na kuzishauri vizuri bodi,”amesema

Aidha,Bw.Nyakunga  amesema wapo mbioni kuanzisha benki ya ushirika  na hivi karibuni watakutana kujadiliana namna bora ya kuweza kupata fedha.

Amesema mara baada ya sheria ndogo ya fedha kupitishwa  hali ya vyama vya ushirika imezidi kuboreka huku akiishukuru  serikali ya awamu ya sita kwa  kuzidi kuwekeza   kwenye mifumo ya tehama.

“Tunaona mabadiliko ni makubwa mameneja  wanahamasika kusimamia hivi vyama lakini sasa hivi mambo yapo vizuri na tehema inasaidia ufanyaji kazi,kila kitu tunakiona na kila kinachofanyika tunakiona”amesema Nyakunga

Hata hivyo, ameiomba Serikali iendelee kuwaamini na wao wataendelea kusimamia mifumo kuhakikisha vyama vya ushirika vinaendelea kuiletea nchi maendeleo.

Kwa upande wake,Mrajis Msaidizi Vyama vya Ushirika wa kifedha kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TPDC) Joseph Kisamalala amewaomba mameneja kutumia mkutano huo kujadiliana changamoto mbalimbali ambazo zipo katika saccos. 

“Niwapongeza  tulivyoanza ilikuwa changamoto lakini sasa hivi sekta imekuwa tunaendelea  kuwa imara zaidi na kuwa bora zaidi,”amesema Kisamalala.

Naye,Meneja Mkuu wa  Bandarini Saccos Ltd,Godfrey Rwehumbiza amesema zaidi ya watu milioni 2 wameweza kupata huduma za kifedha kupitia Saccos mbalimbali.

“Niendelee kutoa wito Saccos nyingi kujitokeza na kuachana na changamoto kama zipo.Sisi kama Saccos tunashiriki kuhakikisha tunafikisha huduma na kutoa elimu wezeshi ili wananchi waweze kukopa,”amesema Rwehumbiza

Rwehumbiza amesema Mameneja wamebeba dira kuhakikisha mazuri yaliyopo katika saccos yanatajwa na kusemwa kuliko yale mabaya ambayo yamekuwa yakipaziwa sauti.

“Tunaona kwamba ni kitu kikubwa tunafanya katika jamii na sisi tutaendelea kuhamaisha ili waweze kupata manufaa, wito saccos nyingi zijitokeze ili kurahisha mchakato wa kujadili kuhusu maisha ya watanzania,”amesema 

About the author

Alex Sonna