slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

galabet

betasus

sekabet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

marsbahis

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betgar, betgar giriş

betgar, betgar giriş

matbet, matbet giriş

holiganbet

restbet

jojobet

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet güncel giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

betpark giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

mislibet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

artemisbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

deneme bonusu 888

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

bets10

bets10

trust score weak 3

jojobet giriş

ikimisli giriş

slot siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

casibom

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

grandpashabet

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

casibom

bahiscasino, bahiscaasino giriş

marsbahis, marsbahis giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

royalbet

tarafbet

güvenilir slot siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

lunabet

galabet, galabet giriş

grandpashabet

lunabet

lunabet

casibom

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

meritking

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

grandpashabet

jojobet

matbet

marsbahis

pusulabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

meritking

meritking giriş

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Hacklink panel

Casibom

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Featured Kimataifa

MAMENEJA WA SACCOS WATAKIWA KUHAKIKISHA KWENYE VYAMA VYA USHIRIKA KUNAKUWA NA HATI SAFI

Written by Alex Sonna

 

NAIBU  Mrajis wa Vyama vya Ushirika – Udhibiti Bw. Collins Nyakunga,akizungumza wakati akifungua Mkutano wa Nne wa Meneja wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo Tanzania kilichofanyika leo Machi 14,2023 jijini Dodoma.

Mrajis Msaidizi wa Vyama vya kifedha kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika Josephat Kisamalala, akiwasilisha taarifa ya Usimamizi na Uendeshaji wa SACCOS wakati wa Mkutano wa Nne wa Meneja wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo Tanzania kilichofanyika leo Machi 14,2023 jijini Dodoma.

SEHEMU ya Washiriki wakifatilia hotuba ya Naibu  Mrajis wa Vyama vya Ushirika – Udhibiti Bw. Collins Nyakunga (hayupo pichani) ,wakati akifungua Mkutano wa Nne wa Meneja wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo Tanzania ulioanza  leo Machi 14,2023 jijini Dodoma.

MTENDAJI Mkuu Sccult (1992) Ltd Bw.Hassani Mnyone,akizungumza wakati wa Mkutano wa Nne wa Meneja wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo Tanzania ulioanza  leo Machi 14,2023 jijini Dodoma.

KAIMU Msaidizi Mkoa wa Dodoma Octavian Bidyanguze,akitoa salamu za Mkoa kwa washiriki wa Mkutano wa Nne wa Meneja wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo Tanzania ulioanza  leo Machi 14,2023 jijini Dodoma.

MWENYEKITI wa Jukwaa Bosco Simba,akitoa neno la shukrani kwa niaba ya washiriki mara baada ya Naibu Mrajis wa Vyama vya Ushirika – Udhibiti Bw. Collins Nyakunga,wakati akifungua Mkutano wa Nne wa Meneja wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo Tanzania kilichofanyika leo Machi 14,2023 jijini Dodoma.

Mrajis wa Vyama vya Ushirika – Udhibiti Bw. Collins Nyakunga,akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki mara baada ya kufungua Mkutano wa Nne wa Meneja wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo Tanzania uliofanyika leo Machi 14,2023 jijini Dodoma.

Mrajis wa Vyama vya Ushirika – Udhibiti Bw. Collins Nyakunga,akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufungua  Mkutano wa Nne wa Meneja wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo Tanzania uliofanyika leo Machi 14,2023 jijini Dodoma.

MENEJA Mkuu Bandarini Saccos Ltd Bw.Godfrey Rwehumbiza ,akizungumza na waandishi wa habari  wakati wa Mkutano wa Nne wa Meneja wa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo Tanzania kilichofanyika leo Machi 14,2023 jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

MAMENEJA 126  wa Vyama vya Ushirika wa akiba na mikopo (SACCOS) wamejifungia kwa siku nne Jijini Dodoma kujadiliana namna bora ya kuvisimamia  vyama vya ushirika na kuhakikisha wanaondoa hati chafu.

Akizungumza katika mkutano mkuu wa nne (4) wa Maneja hao  uliofanyika leo Machi 14,2023,Jijini hapa,Naibu Mrajis wa Vyama vya Ushirika, Udhibiti,Collins Nyakunga amesema nia ya jukwaa hilo ni kukumbushana,kubadilishana uzoefu, majukumu na  namna bora ya  kusimamia vyama vya ushirika.

“Tumeanza leo  tutakaa kwa siku nne na tutabadilisha uzoefu namna kusimamia vyama vya ushirika na jinsi ya kufanya  kwa kuzingatia weledi pamoja na  kuzingatia maelekezo.

“Tunawakumbusha wajibu wao wa kila siku kuhakikisha wanatekeleza malengo yaliyokusudiwa na wanachama pamoja na kuhakikisha wanapata hati safi pamoja na kuzishauri vizuri bodi,”amesema

Aidha,Bw.Nyakunga  amesema wapo mbioni kuanzisha benki ya ushirika  na hivi karibuni watakutana kujadiliana namna bora ya kuweza kupata fedha.

Amesema mara baada ya sheria ndogo ya fedha kupitishwa  hali ya vyama vya ushirika imezidi kuboreka huku akiishukuru  serikali ya awamu ya sita kwa  kuzidi kuwekeza   kwenye mifumo ya tehama.

“Tunaona mabadiliko ni makubwa mameneja  wanahamasika kusimamia hivi vyama lakini sasa hivi mambo yapo vizuri na tehema inasaidia ufanyaji kazi,kila kitu tunakiona na kila kinachofanyika tunakiona”amesema Nyakunga

Hata hivyo, ameiomba Serikali iendelee kuwaamini na wao wataendelea kusimamia mifumo kuhakikisha vyama vya ushirika vinaendelea kuiletea nchi maendeleo.

Kwa upande wake,Mrajis Msaidizi Vyama vya Ushirika wa kifedha kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TPDC) Joseph Kisamalala amewaomba mameneja kutumia mkutano huo kujadiliana changamoto mbalimbali ambazo zipo katika saccos. 

“Niwapongeza  tulivyoanza ilikuwa changamoto lakini sasa hivi sekta imekuwa tunaendelea  kuwa imara zaidi na kuwa bora zaidi,”amesema Kisamalala.

Naye,Meneja Mkuu wa  Bandarini Saccos Ltd,Godfrey Rwehumbiza amesema zaidi ya watu milioni 2 wameweza kupata huduma za kifedha kupitia Saccos mbalimbali.

“Niendelee kutoa wito Saccos nyingi kujitokeza na kuachana na changamoto kama zipo.Sisi kama Saccos tunashiriki kuhakikisha tunafikisha huduma na kutoa elimu wezeshi ili wananchi waweze kukopa,”amesema Rwehumbiza

Rwehumbiza amesema Mameneja wamebeba dira kuhakikisha mazuri yaliyopo katika saccos yanatajwa na kusemwa kuliko yale mabaya ambayo yamekuwa yakipaziwa sauti.

“Tunaona kwamba ni kitu kikubwa tunafanya katika jamii na sisi tutaendelea kuhamaisha ili waweze kupata manufaa, wito saccos nyingi zijitokeze ili kurahisha mchakato wa kujadili kuhusu maisha ya watanzania,”amesema 

About the author

Alex Sonna