slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bos

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

casibom giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

jojobet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

marsbahis

pusulabet giriş

jojobet giriş

grandpashabet

film izle

1xbet giriş

1xbet

gameofbet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

noktabet, noktabet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

jojobet

jojobet

deneme bonusu

casibom

holiganbet

jojobet

casinolevant

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

celtabet

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

taksimbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

meritking

jojobet

trust score weak 3

jojobet

bets10 giriş

slot siteleri

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

meritbet giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betingo, betingo giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

timebet

matbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

holiganbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

radissonbet

sekabet

grandpashabet

matbet

jetbahis

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Featured Kitaifa

RC HOMERA AZITAKA TAASISI KULIPA MADENI WANAYODAIWA NA KUTENGENEZA MAGARI YAO TEMESA

Written by Alex Sonna

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Homera aliyevaa miwani akionyeshwa namna mashine ya kisasa ya kupimia uwiano wa matairi ya gari (Wheel Balance) inavyofanya kazi wakati akikagua vitendea kazi vilivyopo katika karakana ya TEMESA mara baada ya kufungua rasmi kikao cha wadau wanaotumia huduma za karakana hiyo Tarehe 10 Machi 2023. Kikao hicho kimefanyika katika eneo la karakana hiyo iliyopo Sabasaba Mbalizi Mkoani Mbeya.

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Homera katikati akikagua vifaa vinavyotumika kufanyia matengenezo kinga (Service) ya magari katika karakana ya TEMESA Mbeya mwishoni mwa wiki iliyopita mara baada ya kufungua rasmi kikao cha wadau wanaotumia huduma za karakana hiyo. Kulia ni Mkurugenzi wa Matengenezo na Huduma za Ufundi TEMESA Mhandisi Hassan Karonda na kushoto ni Meneja wa TEMESA Mbeya Mhandisi Said Mawazo.

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Homera akiwa katika picha ya pamoja na mafundi wa karakana ya TEMESA Mbeya mara baada ya kufungua rasmi kikao cha wadau wanaotumia huduma za karakana hiyo Tarehe 10 Machi 2023. Kikao hicho kimefanyika katika eneo la karakana hiyo iliyopo Sabasaba Mbalizi Mkoani Mbeya.

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Homera akikabidhiwa cheti cha shukrani na Mkurugenzi wa Matengenezo na Huduma za Ufundi TEMESA Mhandisi Hassan Karonda kwa mchango ambao ofisi ya Mkoa wa Mbeya inatoa kwa TEMESA ikiwemo kulipa madeni ya huduma wanazopatiwa kwa wakati wakati. Zoezi hilo limefanyika Tarehe 10 Machi 2023 wakati wa kikao cha wadau wanaotumia huduma za TEMESA kilichofanyika katika eneo la karakana hiyo iliyopo Sabasaba Mbalizi mjini Mbeya.

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Homera (aliyevaa miwani na Kaunda suti mbele) akionyeshwa vifaa vinavyotumika kufanyia matengenezo ya magari katika karakana ya TEMESA Mbeya mwishoni mwa wiki iliyopita mara baada ya kufungua rasmi kikao cha wadau wanaotumia huduma za karakana hiyo. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Matengenezo na Huduma za Ufundi TEMESA Mhandisi Hassan Karonda na Meneja wa TEMESA Mbeya Mhandisi Said Mawazo. Anayempatia maelezo ni Mhandisi Zephrine Bahyona.

Meneja wa Kikosi cha Umeme TEMESA Mhandisi Pongeza Semakuwa aitoa mada wakati wa kikao cha wadau wanaotumia huduma za TEMESA Mbeya kilichofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika eneo la karakana hiyo iliyopo Mtaa wa Sabasaba Mbalizi mjini Mbeya. Kikao hicho kimehudhuriwa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Homera kikiwa na lengo la kupata mrejesho wa huduma zinazotolewa na karakana hiyo.

 PICHA ZOTE NA SAMSON MRUTU (TEMESA)

Na. Alfred Mgweno (TEMESA Mbeya)

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Homera amezitaka Taasisi za Serikali zilizoko Mkoani Mbeya kuanza kutengeneza magari ya Taasisi zao na mitambo katika karakana za Wakala huo kwakua Wakala huo kwa sasa umejizatiti na uko tayari kusimamia huduma hizo kwa weledi na ufanisi mkubwa. Mhe. Homera ameyasema hayo Tarehe 10 Machi, 2023 wakati wa kikao cha wadau wanaotumia huduma za karakana ya TEMESA Mbeya kilichofanyika Karakana ya Wakala huo iliyoko eneo la Sabasaba kata ya Mbalizi mjini Mbeya.

Akizungumza katika kikao hicho cha wadau, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Homera ametoa wito kwa Taasisi zote za Umma kuendelea kutumia huduma za Wakala huo kwani kwa sasa TEMESA iko vizuri na imejipanga vizuri. ‘’Kulikua na fikra huko nyuma, ukiangalia TEMESA ukipeleke gari unasema kwamba hali ni mbaya, lakini sasa TEMESA ya Awamu ya Sita ni TEMESA ya vitendo, hongera sana TEMESA kwa mabadiliko haya nimeshuhudia kwa macho yangu vifaa vya kisasa vimefungwa hapa, sasa naagiza Taasisi zote za Umma njoeni mtengeneze magari yenu hapa, watakadiria na watatengeneza kwa weledi wa hali ya juu sana, vinginevyo tutaendelea kupata hasara kwa kupeleka magari yetu mitaani  ambako wanatengeneza magari ndani ya siku mbili tatu yanaharibika, hapa wana mitambo mizuri, na wana vitendea kazi na vifaa vizuri na vya kisasa ambavyo wamewezeshwa na Serikali’’ Amesema Mkuu wa Mkoa.

Mhe. Homera pia amewashukuru wadau hao kwa kujitokeza kwenye kikao hicho ili kutoa mrejesho wa huduma wanazopatiwa na kusema kuwa  uwepo wake katika kikao hicho si wa bahati mbaya bali amefika hapo kwa ajili ya kuangalia ufanisi wa TEMESA kwenye Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.

‘’Hii inatuonyesha kwamba TEMESA ile ya Awamu zingine sio sawa na ya Awamu ya Sita, ni TEMESA tofauti kidogo ndio maana tumekuja kuangalia vifaa walivyonavyo na tumeshuhudia kwamba mabadiliko ni makubwa, kwahiyo kipekee kabisa tumshukuru sana Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuibadilisha TEMESA na kuwa TEMESA ambayo imebadilika sana kwa usimamizi mkubwa wa ndugu yetu Lazaro Kilahala, mimi niseme tu kwamba Mhe. Rais ameweka zaidi ya shilingi milioni 700 kwenye ununuzi wa vifaa nchi nzima, haya ni mafanikio makubwa sana na tumpongeze sana Mhe. Rais.’’ Alisisitiza Mhe. Homera

‘’Lakini pia nisisitize, wadau tulipe madeni, kama tulivyoambiwa kwenye hotuba, TEMESA anadai Taasisi za Umma Zaidi ya shilingi Bilioni 3.8, na wakati huo huo wanadaiwa na wazabuni Bilioni 3.7, hiki ni kiasi kikubwa sana kwa Taasisi ya Umma kudaiwa, hivyo niombe wale wote wanaodaiwa  andika barua uki waorodhesha na majina ya Taasisi zao, leta tuanze kuwaandikia barua ili walipe hayo madeni ili TEMESA  iweze kuwahudumia vizuri Watanzania.’’ Alimaliza Mhe. Homera.

Mhe. Homera alitoa pongezi pia kwa Meneja wa TEMESA Mkoa wa Mbeya Mhandisi Said Mawazo kwa kutekeleza maagizo yake ambayo aliyatoa mwaka jana akiagiza ifikapo Tarehe 15 mwezi Novemba mwaka 2022, zifungwe taa za kisasa eneo la Ijinda na agizo hilo lilitekelezwa.

‘’Hongera sana Mhandisi Mawazo, huo ndio utendaji tunaoutaka, utendaji wa mfano, utendaji ambao unajali muda wa Watanzania, na Watanzania hawa wanahitaji huduma hawahitaji maneno’’, Alisema Mkuu wa Mkoa.

Mkuu wa Mkoa pia aliwataka TEMESA kuwa na watumishi waadilifu, kuboresha huduma kwa kuweka gharama za uhalisia, kujenga mazingira ya uaminifu kwa wadau wake ili kurejesha Imani ambayo wadau hao walikua wameipoteza kwa muda mrefu na pia kuhakikisha wanatengeneza mazingira ya kuwavutia wadau hao kurudi kutumia huduma za Wakala huo.

About the author

Alex Sonna