marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

imajbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

grandpashabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

klasbahis

savoybetting giriş

imajbet

savoybetting

klasbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

matbet, matbet giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

romabet

trimology review

celtabet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

sahabet

pusulabet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

parobet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

kralbet

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

trendbet giriş

bets10

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

trendbet

perabet

milanobet

pokerklas

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

milanobet giriş

สล็อตเว็บตรง

bets10

romabet giriş

jojobet

deneme bonusu

kingroyal

trust score weak 3

jojobet

slot siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

dinamobet

netbahis

1xbet giriş

kralbet giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

milanobet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

marsbahis, marsbahis giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

superbetin

madridbet

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

romabet

kralbet

deneme bonusu

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

casibom

casibom

casinoroyal giriş

marsbahis

matbet

sekabet

Featured Kitaifa

WAFANYAKAZI WANAWAKE ATC WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA KUHAMASISHA WASICHANA KUSOMA MASOMA YA SAYANSI.

Written by Alex Sonna

NA NAMNYAK KIVUYO, ARUSHA
Wafanyakazi wanawake wa chuo cha ufundi Arusha(ATC) wameadhimisha siku ya wanawake Duniani kwa kuwahamasisha wanafunzi wa kike katika shule ya sekondari Mateves iliyopo mkoani Arusha kusoma masomo ya sayansi ikiwa ni pamoja na kuwashauri juu ya mahusiano na kuwapelekea taulo za kike kwaaji ya kujisitiri wawapo katika siku hedhi.
Lucy Petro mmoja wa wafanyakazi wa chuo hicho alisema kuwa lengo kubwa la wao kutembelea shule hiyo ni kuwahamasisha wasichana kusoma masomo ya sayansi kwani wengi wana uwezo ila wanakosa msukumo kutokana na mazingira au jamii inayowazunguka yenye dhana potofu ya kuona kuwa waanawake kuna taaluma hawawezi kuwa nazo.
“Wamekuwa wakiona masomo ya sayansi kuwa ni masomo magumu na kufikiria kuwa hawawezi lakini uwezo wanao wanachokikosa ni ushauri na msukumo, lakini pia lengo lingine lililotuleta ni kuwajenga kiakili wajitambue wako wapi na wanakwenda wapi,” Alisema.
Rose Sadiki injinia wa umeme kutoka chuo hicho alisema yeye kama mwanamke amesoma masomo ya sayansi na anafanya kazi za kisayansi bila ugumu wowote hivyo aliwataka wasichana hao kutokuogopa kuchukua masomo ya sayansi kwani  kinachotakiwa ni kuyapenda pamoja na kusoma masomo kwa bidii.
“Mimi ningeogopa leo nisingekuwa hapa lakini nilithubutu na nikaweza sikujali dhana iyopo katika jamii kuwa ni masomo magumu  hivyo na nyie nataka msiogope, kunapokuwa na wanafunzi wa kwanza darasani wawili basi mmojawapo awe msichana, masomo haya sio magumu kama inavyosemekana ni kuongeza bidii tuu katika kusoma,” Alisema
Imelda Mdaba mfanyakazi wa ATC aliwataka wasichana hao kutojiingoza katika mahusiano ya kimapenzi wawapo shuleni badala yake wasome kwanza kwani katika umri wao hakuna kitu chochote ambacho mahusiano yatawasaidia zaidi ya kuharibu maisha yao.
“Hakikisha mtoto wa kike mwisho wa siku unafikia ndoto zako, jijue unataka kuwa nani na usome kwa bidii kwani ukiwa na elimu huwezi kukumbana na unyanyasaji wa kijinsi lakini pia niwasihi msiige mambo mabaya yasiyo na maadili yanayoendelea katika mitandao ya kijamii,” Aliwaeleza.
Alieleza kuwa mwanamke aliyesoma na kufanikiwa kufikia ndoto zake ana raha yake mojawapo ni kuvipata vile vitu vinavyoonekana vizuri ikiwa ni pamoja na kuwa na mahusiano salama, simu nzuri na vitu vyote hivyo wajitengenezee mazingira mazuri wenyewe kwasasa kwa kusoma kwa bidii kwani elimu ndio kila kitu.
Atu Masawa mhasibu wa chuo hicho aliwataka wanafunzi hao kutojiingoza kwenye makundi mabaya badala yake waangalie  mbele yao kuliko leo kwa kuitengeneza leo kwani wakiondoka wamedanganyika watakuwa ni mzigo kwao peke yao, kwa familia na jamii kwa ujumla.
“Angalieni mbele yenu kwa tahadhari, yasitokee makundi ya ajabu hapa shuleni na wewe ukawa mmoja wapo, soma kwa bidii kuwa na nidhamu kwani ili baadae uje kuwa mama mzuri kwa watoto wako ni lazima leo yako iwe bora,” Alisema.
Mmoja wa wanafunzi wa shule hiyo Hadra Mwaja  mwanafunzi wa kidato cha tatu alisema kuwa kama wasichana wamekuwa wakipitia siku za mzunguko wa hedhi ambapo baadhi yao kutokana na kukosa vifaa vya kujisitiri kutoka na hali duni za kifamilia wamekuwa wakishindwa kuhudhuria masomo kwa siku kadhaa hivyo wanawashukuru wafanyakazi wanawake wa ATC kwa kuwaletea taulo za kike ambazo zitatatua changamoto hiyo kwa miezi kadhaa.
Makamu mkuu wa shule ya sekondari Mateves Edith Shuma alisema kumekuwa na utoro kwa watoto wa kike kutokana na kukosa vifaa vya kujisitiri wawapo katika siku zao hivyo wanashuru kwa kuleta taulo hizo ambazo zingine zimebaki katika ofisi za shule kwaajili ya kutumia pale inapotokea mwanafunzi akapata dharura ya kuingia katika siku zake bila kujijua.
“Lakini pia tunawashukuru kwa kuwahamasisha wasichana kusoma masomo ya sayansi na kuwapa elimu ya kike na niwaombe daraja hili mlilolijenga msiweke mpaka bali endeleeni nalo kwani utoro kwa watoto wa kike umekuwa ni mwingi kiasi wakati wakiwa kwenye siku zao,” alisema.

About the author

Alex Sonna