Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

spinco

meritbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Kitaifa

MEWATA YAFAYA KONGAMANO KUBWA LA KISAYANSI LA KUJADILI CHANGAMOTO MASUALA YA AFYA

Written by Alex Sonna

Chama cha Madaktari Wanawake Tanzania (Mewata) kimefanya kongamano kubwa la kisayansi la kujadili changamano za masuala ya afya hususani saratani ya kizazi na magonjwa yasiyo ya kuambukiza.

Kongamano hilo ambalo limekutanisha madaktari, wanasayansi na wadau mbalimbali wa masuala ya afya lilifanyika Dar es Salaam jana katika Ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere na kufunguliwa na Waziri wa Afya za Zanzibar, Nassoro Ahmed Mazrui.

Kongamano hilo litafuatiwa na Mkutano Mkuu wa 20 wa Mewata utakaofanyika kesho katika ukumbi huo ikiwa ni maadhimisho ya miaka 35 tangu kuanzishwa kwa chama hicho kisicho cha kiserikali, ambacho malengo yake makuu ni kusaidia, kuhamasisha na kutoa elimu mbali mbali zinahusiana na magonjwa na afya ya mama na mtoto.

Akizungumza wakati wa kongamano hilo, Rais wa Mewata,Zaituni Bokhary alísema Mewata imejikita katika kupambana na magonjwa ya saratani yanayoshambulia wanawake kwa asilimia kubwa, hususan saratani ya mlango wa kizazi, na saratani ya matiti.

Alisema pia kinahamasisha watoto wakike kujiunga na fani za udaktari ili baadae wawe madaktari kwani huko nyuma, fani ya udaktari ilikuwa ni kwa ajili ya wanaume tu, hatua ambayo imeleta mafanikio makubwa kwani sasa kuna idadi ya kutosha ya madaktari wanawake na inaendelea kukua.

Bokhary alisema chama hicho kimefanya mazoezi ya kupima afya za kina mama katika mikoa mbalimbali nchini ikiwamo, Dar es Salaam, Mbeya, Lindi, Mtwara, Kilimanjaro, Njombe, Iringa, Tabora, Dodoma, Songea na Mwanza.

“Katika mazoezi haya, tulifanikiwa kuwafanyia uchunguzi wa awali wa saratani ya matiti wakina mama takriban 73,744, na uchunguzi wa saratani ya shingo ya kizazi kina mama 9,307. Tuligundua kina mama wengi wana matatizo mengi ya kiafya hususan magonjwa ya saratani na uelewa mdogo wa maradhi haya.

Hii ilipelekea wamama wengi kuripoti hospitali wakiwa wamechelewa au wako katika hatua za mwisho za ugonjwa na kuchangia vifo vingi vitokanavyo na saratani kwa kina mama’ alisema.

Aisha, alisema pamoja na hilo, Mewata kwa kushirikiana na serikali imefanikiwa kuhamasisha wanafunzi wa kike wa sekondari kuchukua masomo ya sayansi na kuongeza idadi ya madaktari wanawake Tanzania na pia kimeweza kuwajengea uwezo madaktari na kupelekea kuteuliwa kushika nyadhifa mbalimbali katika serikali na taasisi binafsi.

Katika hatua nyingine, profesa Mwaikambo alisema Mewata ina mpango wa kujenga hospitali katika eneo la Mbweni, Dar es Salaam kwa msaada wa serikali ya Japan kupitia mama mlezi wa chama, mama Salma Kikwete.

“Kwa sasa tumehamasishana wanachama na tumeweza kukusanya kiasi cha shilingi milioni 31,530,000 za kitanzania fedha taslim na milioni 46,530,000 zikiwa ni ahadi” alisema.Rais huyo wa mewata alisema chama hecho kinatambua mchango mkubwa unaofanywa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kupambana na vifo vinavyotokea vya mama na mtoto, hivyo madaktari wanawake wanaunga mkono juhudi zinazofanywa na Raisi Dk Samia Suluhu
Hassan.

“Tunatambua Mheshimiwa Rais anapambanakatika kuhakikisha hakuna mama anayekufa kwa sababu ya uzazi, hivyo amepeleka huduma muhimu karibu kabisa na makazi ya watu.Aidha, Mewata inatambua mchango mkubwa unaofanywa na Mh Rais Dkt Hussein

Ali Mwinyi katika kuboresha huduma za afya Visiwani Zanzibar kama kujenga na kuongeza vituo vya afya na kuboresha maslahi ya
madaktari” alisema.



Waziri WA AFYA Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui akizindua kitabu kuhusu wasifu wa mwasisi WA Chama Cha Madaktari Wanawake Tanzania (MEWATA), Profesa Esther Mwaikambo (kulia) kwenye kongamano la 20 la Kisayansi la chama jicho jijini Dar es Salaam

About the author

Alex Sonna