Featured Kitaifa

MAJALIWA ATETA NA WAZIRI MKUU MSTAAFU PINDA KATIKA MKUTANO WA FARAGHA WA VIONGOZI

Written by mzalendoeditor

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda wakati wa Mkutano wa Faragha kwa Mawaziri, Naibu Mawaziri, Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) Machi 03, 2023. Mkutano huo ulifunguliwa jana Machi 02, 2023 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

About the author

mzalendoeditor