slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

galabet

betasus

sekabet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

marsbahis

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

rinabet, rinabet giriş

aresbet, aresbet giriş

alobet, alobet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

jojobet

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet güncel giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

betpark giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

mislibet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

artemisbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

jojobet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

bets10

bets10

trust score weak 3

jojobet giriş

ikimisli giriş

slot siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

casibom

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

grandpashabet

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

casibom

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

royalbet

tarafbet

güvenilir slot siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

lunabet

betgar, betgar giriş

grandpashabet

lunabet

lunabet

casibom

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

meritking

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

grandpashabet

pusulabet

matbet

vdcasino giriş

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

meritking

meritking giriş

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

marsbahis

Hacklink panel

Casibom

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

pusulabet

Featured Kitaifa

WAZIRI MAKAMBA AWATAKA WARATIBU WAPYA MIRADI YA UMEME VIJIJINI KUTOIANGUSHA SERIKALI

Written by Alex Sonna

Waziri wa Nishati, January Makamba akizungumza na Waratibu wapya wa Miradi ya Umeme Vijijini wakati wa kuhitimisha mafunzo yao mafupi kuhusu namna bora ya kutekeleza kazi zao. Mafunzo hayo yamehitimishwa Februari 28, 2023 Dodoma yakihusisha vijana 136 waliofaulu usaili hivi karibuni.

Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Mhandisi Hassan Saidy akizungumza wakati wa kuhitimisha mafunzo mafupi kwa waratibu wapya wa Miradi ya Umeme Vijijini, Februari 28, 2023 jijini Dodoma. Kushoto ni Waziri wa Nishati, Januari Makamba na kulia ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu kutoka REA, Grace Sengula.

Baadhi ya Wafanyakazi wa Wakala wa Nishati Vijijini (mbele), wakimsikiliza Waziri wa Nishati, January Makamba (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza na Waratibu wapya wa Miradi ya Umeme Vijijini wakati wa kuhitimisha mafunzo yao mafupi kuhusu namna bora ya kutekeleza kazi zao. Mafunzo hayo yamehitimishwa Februari 28, 2023 Dodoma yakihusisha vijana 136 waliofaulu usaili hivi karibuni.

Baadhi ya Waratibu wapya wa Miradi ya Umeme Vijijini wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Nishati, Januari Makamba (Meza Kuu-katikati) baada ya kuhitimisha mafunzo yao mafupi kuhusu namna bora ya kutekeleza kazi zao. Mafunzo hayo yamehitimishwa Februari 28, 2023 Dodoma yakihusisha vijana 136 waliofaulu usaili hivi karibuni.

Veronica Simba na Issa Sabuni  – REA

Waziri wa Nishati, Januari Makamba amewaasa vijana walioajiriwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa nafasi ya Waratibu Miradi ya Umeme Vijijini kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi na weledi ili kulinda imani iliyooneshwa na Serikali kwao.

Akizungumza leo Februari 28, 2023 jijini Dodoma, Makamba amewataka vijana hao 136 waliofaulu usaili wa nafasi husika, kwenda kuwatendea haki wananchi walengwa ambao ni wa maeneo ya vijijini nchi nzima, kwa kuhakikisha kiu yao ya kufikiwa na umeme inatimizwa na azma ya Serikali kufikisha nishati hiyo vijijini kwa wakati na ubora inatekelezwa kikamilifu.

Aidha, Waziri amewaasa waajiriwa hao wa Mkataba, kutojiona kuwa wao ni bora zaidi kwa vile tu wamepata nafasi hizo kati ya vijana takribani 3,000 waliotuma maombi bali waichukulie kama bahati ya kipekee na kuitumia fursa hiyo kudhihirisha kuwa kuchaguliwa kwao hakukufanyika kwa makosa.

“Wale wenzenu ambao hawakubahatika siyo kwamba hawakuwa na vigezo. Takribani wote waliotuma maombi walikuwa na vigezo lakini kutokana na nafasi zilizohitajika kuwa ni 136 tu, ndiyo maana wachache wenu kutoka kundi hilo mkabahatika. Ichukulieni fursa hii adhimu kuchapa kazi na kudhihirisha hatukufanya makosa kuwachagua,” amesisitiza.

Akizungumzia sababu za Serikali kuajiri vijana hao kwa wakati huu, Waziri amebainisha kuwa ni kwa ajili ya kuwezesha uharakishaji wa kutekeleza miradi ya umeme vijijini kwa uzuri, ubora na viwango vinavyotarajiwa, na kubainisha kuwa lengo ni kuhakikisha vijiji vyote Tanzania Bara viwe vimefikiwa na umeme ifikapo Desemba mwaka huu wa 2023.

Akifafanua, amesema kazi ya kupeleka umeme vijijini inaendelea vizuri ambapo hadi sasa takribani asilimia 80 ya vijiji vyote Tanzania Bara vimeshafikiwa na umeme lakini pamoja na takwimu hizo nzuri, kumekuwepo na uzorotaji na uchelewaji wa kupeleka nishati hiyo kwa baadhi ya vijiji kutokana na usimamizi hafifu.

Ameongeza kuwa, kwa kuwa Wakala wa Nishati Vijijini ni Mfuko, ambapo watendaji wake wanahusika zaidi na kutafuta Wakandarasi na kuwapa kazi ya kupeleka umeme huku usimamizi wa kazi hiyo ukifanywa na watu wengine, hilo limekuwa tatizo lililoibua malalamiko kutoka kwa wananchi wengi vijijini kuwa miradi inachelewa huku ikigubikwa na changamoto kadhaa.

“Kwahiyo, ili kuharakisha utekelezaji wa miradi hii kwa uzuri, ubora na viwango vinavyotarajiwa, Wizara kupitia REA tukaomba kibali maalumu serikalini, kuajiri Waratibu wa Miradi ya Umeme Vijijini katika kila Wilaya ili watusaidie na tunashukuru Serikali ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ikaridhia.”

Akizungumza na Waandishi wa Habari muda mfupi baadaye, Waziri Makamba amesema vijana hao watasaidia kuzunguka vijijini kuhakikisha kwamba umeme unafika kwa wakati mahali kote ambako Serikali imelenga kupeleka nishati hiyo. Aidha, watahakikisha wakandarasi wako eneo la kazi, vifaa vipo na kazi inafanyika.

Amesema kazi nyingine watakayoifanya vijana hao ni kusaidia kutoa taarifa za haraka zaidi kwa wananchi, inapotokea changamoto ya uchelewaji mradi pamoja na kufanya mawasiliano na viongozi mbalimbali wa maeneo husika kuanzia ngazi ya Wenyeviti wa Vijiji, Madiwani, Wabunge, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Wenyeviti wa Halmashauri ili wawe wanajua wakati wote nini kinaendelea katika maeneo hayo.

“Nia yetu sisi ni kwamba tuharakishe utekelezaji wa kupeleka umeme vijijini ili kufikia Desemba 2023, vijiji vyote viwe vimefikiwa na umeme, kwa sababu tayari kila kijiji kina Mradi, bajeti ipo na wakandarasi wako eneo la kazi. Shida yetu ilikuwa ni utekelezaji wa kasi ambapo vijana hawa watatusaidia kuhakikisha kasi inakuwepo.”

Katika hatua nyingine Waziri Makamba amewataka Waratibu Miradi hao kuhakikisha wanalinda taswira njema ya Serikali kwa kuwa na tabia njema pamoja na kujenga mahusiano mema na jamii iliyopo maeneo yao ya kazi wakiwemo viongozi mbalimbali na wananchi.

Amewapa hamasa kuwa uchapakazi, tabia njema na mahusiano mema na jamii vinaweza kuchangia Serikali kuridhia uhuishwaji wa mikataba yao ya kazi kwa kipindi kingine.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi Hassan Saidy amemshukuru na kumpongeza Waziri Makamba kwa upatikanaji wa Waratibu hao wa Miradi akibainisha kuwa ndiye aliyetoa wazo husika na kulisimamia kuhakikisha linatekelezwa.

Amesema kupatikana kwa vijana hao kutawezesha Wakala kujiamini zaidi katika utendaji kazi wake kutokana na kuwa na uhakika kuwa miradi inayotekelezwa na Wakala inasimamiwa ipasavyo.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti kwa niaba ya wenzao, baadhi ya Waratibu Miradi wapya, Werema Mwita, Saada Ally na Saidi Mwijae wameishukuru Serikali kwa kuwapatia fursa hiyo na kuahidi kuwa watafanya kazi kwa bidii na weledi huku wakizingatia maelekezo yote waliyopewa na Waziri.

Kwa muda wa siku mbili kuanzia jana, Februari 27, 2023, Waratibu Miradi hao 136 walikuwa wakipatiwa mafunzo mafupi na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ambayo yalilenga kuwawezesha kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi. Vijana hao wameajiriwa kwa Mkataba wa miezi mitatu.

About the author

Alex Sonna