slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

galabet

betasus

sekabet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

marsbahis

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

rinabet, rinabet giriş

aresbet, aresbet giriş

alobet, alobet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

jojobet

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet güncel giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

betpark giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

mislibet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

artemisbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

jojobet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

bets10

bets10

trust score weak 3

jojobet giriş

ikimisli giriş

slot siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

casibom

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

grandpashabet

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

casibom

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

royalbet

tarafbet

güvenilir slot siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

lunabet

betgar, betgar giriş

grandpashabet

lunabet

lunabet

casibom

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

meritking

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

grandpashabet

pusulabet

matbet

vdcasino giriş

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

meritking

meritking giriş

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

marsbahis

Hacklink panel

Casibom

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

pusulabet

Featured Kitaifa

DC MWEMA AZINDUA ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA KWA WANAFUNZI SHULE ZA MSINGI CHAMWINO

Written by Alex Sonna

MKUU wa Wilaya ya  Kongwa ,Remidius Mwema,akiwakabidhi baadhi ya Wanafunzi Vyandarau  wakati wa hafla ya zoezi la upokeaji na ugawaji wa vyandarua kwa wanafunzi wa shule ya msingi za wilaya ya  Chamwino hafla  iliyofanyika leo Februari 28,2023 katika Shule ya Msingi Buigiri Misheni wakati akimwakilisha  Mkuu wa Wilaya ya Chamwino,Gift Msuya.Kulia ni Meneja wa Kanda Bohari ya Dawa (MSD) Dodoma,John Sipendi.

MKUU wa Wilaya ya  Kongwa ,Remidius Mwema,akizungumza  wakati wa hafla ya zoezi la upokeaji na ugawaji wa vyandarua kwa wanafunzi wa shule ya msingi za wilaya ya  Chamwino hafla  iliyofanyika leo Februari 28,2023 katika Shule ya Msingi Buigiri Misheni wakati akimwakilisha  Mkuu wa Wilaya ya Chamwino,Gift Msuya,

MENEJA wa Kanda Bohari ya Dawa (MSD) Dodoma,John Sipendi,akielezea mpango wa kusambaza Vyandaru katika Mkoa wa Dodoma wakati wa  zoezi la upokeaji na ugawaji wa vyandarua kwa wanafunzi wa shule ya msingi za wilaya ya  Chamwino  hafla iliyofanyika leo Februari 28,2023 katika Shule ya Msingi Buigiri Misheni.

WANAFUNZI wa Shule ya Msingi Buigiri Misheni wakifatilia hafla ya upokeaji na ugawaji wa Vyandarau.

AFISA Elimu Msingi Wilaya ya Chamwino Bi.Zaina Kishegwe,akizungumza wakati wa  zoezi la upokeaji na ugawaji wa vyandarua kwa wanafunzi wa shule ya msingi za wilaya ya  Chamwino  hafla iliyofanyika leo Februari 28,2023 katika Shule ya Msingi Buigiri Misheni.

KAIMU Mganga Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Dk.Venance Mgaiga,akizungumza wakati wa  zoezi la upokeaji na ugawaji wa vyandarua kwa wanafunzi wa shule ya msingi za wilaya ya  Chamwino  hafla iliyofanyika leo Februari 28,2023 katika Shule ya Msingi Buigiri Misheni.

MKUU wa Wilaya ya  Kongwa ,Remidius Mwema,akiwakabidhi baadhi ya Wanafunzi Vyandarau  wakati wa hafla ya zoezi la upokeaji na ugawaji wa vyandarua kwa wanafunzi wa shule ya msingi za wilaya ya  Chamwino hafla  iliyofanyika leo Februari 28,2023 katika Shule ya Msingi Buigiri Misheni wakati akimwakilisha  Mkuu wa Wilaya ya Chamwino,Gift Msuya.Kulia ni Meneja wa Kanda Bohari ya Dawa (MSD) Dodoma,John Sipendi,

MKUU wa Shule ya Msingi Buigiri Misheni Nassib Khatibu,akitoa neno la shukrani mara baada ya uzinduzi wa zoezi la upokeaji na ugawaji wa vyandarua kwa wanafunzi wa shule ya msingi za wilaya ya  Chamwino hafla  iliyofanyika leo Februari 28,2023 katika Shule ya Msingi Buigiri Misheni .

MKUU wa Wilaya ya  Kongwa ,Remidius Mwema,akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi mara baada ya kuzindua  zoezi la upokeaji na ugawaji wa vyandarua kwa wanafunzi wa shule ya msingi za wilaya ya  Chamwino hafla  iliyofanyika leo Februari 28,2023 katika Shule ya Msingi Buigiri Misheni wakati akimwakilisha  Mkuu wa Wilaya ya Chamwino,Gift Msuya.

 

Na.Alex Sonna-CHAMWINO

SERIKALI imezindua zoezi la ugawaji vyandarua vilivyowekewa dawa kwa wanafunzi wa shule za msingi za Serikali na Binafsi lengo likiwa ni kuhakikisha wanakabiliana na changamoto ya maambukizi ya ugonjwa wa malaria.

Akizungumza wakati wa hafla hiyo Mkuu  wa Wilaya ya  Kongwa ,Remidius Mwema,akizungumza  wakati wa hafla ya zoezi la upokeaji na ugawaji wa vyandarua kwa wanafunzi wa shule ya msingi za wilaya ya  Chamwino hafla  iliyofanyika katika Shule ya Msingi Buigiri Misheni akimwakilisha  Mkuu wa Wilaya ya Chamwino,Gift Msuya.

DC Mwema amewataka viongozi wanaohusika na zoezi hilo kusimamia kikamilifu  ugawaji wa vyandarua hivyo ili viweze kuwafikia walengwa na si watu wengine.

“Nitoe wito viongozi kusimamia zoezi hili ili liweze kuleta tija katika Wilaya yetu ya Chamwino”amesema Mwema.

Amesema shule ya Buigiri Misheni ina bahati kubwa katika shule 127 zilizopo wilayani humo kwa kuchaguliwa kuwa sehemu ya uzinduzi huo.

Amesema zoezi hilo lengo lake ni kuwalinda wanafunzi dhidi ya ugonjwa wa malaria na kutimiza kwa vitendo dhamira ya Rais Samia Suluhu Hassan ya angalau kila mwanafunzi mmoja aweze kupata chandarua chake.

“Vyandarua hivi vinawalenga nyinyi wenyewe nataka nitume ujumbe kwenu usije ukachukua chandarua ukaenda nyumbani ukaenda kumpa mzazi kwamba  tumepewa tukuletee.

“Ninafahamu  yamekuwa  matumizi mengine mnaenda kutumia kulimia mchicha au bustani nataka niseme hapana,nasema hapana sio matumizi sahihi semeni hapana,”amesema Mwema

Amesema Serikali inawapenda na nia yake ni kuhakikisha wanakuwa na afya njema.

Hata hivyo amewataka wanafunzi hao kuvitumia kwa matumizi sahihi mara baada ya kumaliza kusoma.

“Tunahitaji watoto wetu muwe na afya njema,ukiwa na afya njema utaweza kutimiza ndoto zako.Serikali inawapenda ndio maana jitihada zimechukuliwa,”amesema 

Aidha amesema wanahitaji kila mwanafunzi aweze kutambua umuhimu wa kutunza afya.

“Nendani mkawaambie wazazi wenu,majirani kwamba vyandarua hivi haviuzi na yoyote atakaeuza atachukuliwa hatua kali za kisheria,imani yangu mnaenda kufanya matumizi sahihi.

Amesema mpaka sasa Wilaya hiyo imepokea vyandarua 17556 kwa wanafunzi zaidi ya 88,000.

Amesema wataendelea kuhimiza viongozi wa dini kuendelea kushirikiana na Serikali pamoja na viongozi wa kisiasa.

“Niwaombe mtusaidie pale ambapo mtabaini anapotosha lengo msisite kutoa taarifa ili muweze kutusaidia wengine watakuwa matumizi mengine kwenye kuvua samaki,hayo mambo hatutaki.

“Tutaendelea kufanya ufuatiliaji wa mara kwa mara,katikati ya Machi tutafanya ufuatiliaji wenu kwa kila mmoja,”amesema Mkuu huyo wa Wilaya.

Kwa upande wake Meneja Kanda Bohari ya Dawa (MSD) Dodoma,John Sipendi, amesema wamezindua usambazaji wa vyandarua katika shule za wilaya ya Chamwino.

Amesema zoezi hilo linaratibiwa na Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ( Tamisemi).

Amesema Kwa Mkoa wa Dodoma wanatarajia kusambaza zaidi ya vyandarua 560,000 ambavyo watazifikia shule 862.

“Niwatake wanafunzi waendelee kutumia kwa malengo yaliyokusudiwa lengo  ni kuzuia maambukizi yaweze kufikia asilimia 0 kwani kwa Wilaya ya Chamwino kuna maambukizi asilimia 0.7,”amesema Bw.Sipendi

Naye,Mkuu wa Shule ya Buigiri Misheni,Nassibu= Khatibu amesema watatoa elimu kwa wanafunzi ili watumie vizuri vyandarua hivyo.

“Tutawaelekeza Wazazi na walezi kwa kuwa tuna mikutano tutaelekeza jinsi ya kuvitumia vizuri,”amesema.

About the author

Alex Sonna