Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

jojobet

matbet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

casibom

casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10 giriş

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

jojobet

ultrabet

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

starzbet

Featured Kitaifa

MWEKEZAJI AMPIGIA MAGOTI RAIS SAMIA KAMPUNI KUPORWA HATI

Written by Alex Sonna

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya uchukuzi na biashara Iringa LTD, Caroline Mwakabungu akizungumza na waandishi wa habari juzi ofisini kwake kumuomba Rais Samia Suluhu Hassan kuwasaidi kupata hati ya kampuni hiyo ilichukuliwa mwaka 2019 na Tume ya uchunguzi wa mali za serikali wakati wa serikali ya awamu ya tano.PICHA PAUL MABEJA

Na Paul Mabeja,IRINGA

MKURUGENZI mtendaji wa kampuni ya uchukuzi na biashara Iringa LTD, Caroline Mwakabungu amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kuwasaidi kupata hati ya kampuni hiyo ilichukuliwa mwaka 2019 na Tume ya uchunguzi wa mali za serikali wakati wa serikali ya awamu ya tano.

Mwakabunge, alitoa ombi jana alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu usumbufu pamoja na manyanayaso ambayo wamekuwa wakiyapata kutoka kwa wanasiasa na mamlaka mbalimbali za kiserikali.

Alisema anamuomba Rais Samia kumsadia kupata hati hiyo ambayo ilichukuliwa mikono mwa marehemu baba yake Dk. Lucas Mwakabungu, aliyekuwa mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi kwa madai kuwa wanakwenda kuikagua.

“Mwaka 2019 walikuja watu kutoka Tume ya uchunguzi mali za serikali iliyoundwa wakati wa utawala wa hayati Rais Magufuli na kampuni hii kabla ilikuwa mali ya serikali ikijulikana kama RETCO,lakini mzee wangu na wenzake walinunua wakati ule wa sera ya ubinafsishaji chini ya uongozi wa Rais Mkapa.

“Walipokuja wakadai kuwa wao ni tume ya serikali ambayo inakagua mali za serikali kama ziliuzwa kihali baba alijaribu kugoma kutoa hati ile lakini walimwambia kama anakataa watampa kesi ya uhujumu uchumi ikabidi aitoe lakini hadi leo hatujui ipo wapi kwani tumeenda hadi Hazina wanadai hawajui ilipo”alisema Mwakabungu

Vilevile, alisema kutokana na hali hiyo hawajui nini hatima yao kwakua kuchukuliwa kwa hati kumekuwa ndiyo chanzo cha wao kupata usumbufu na vitisho kutoka kwa baadhi ya viongoi wa serikali kutaka waondoke katika kampuni hiyo kinyume cha utaratibu.

“Mimi ni mtoto wa marehemu nilichaguliwa kama mkurugenzi mtendaji na mwanahisa ninae wakilisha hisa nyingi na ninae wakilisha kundi la watu wenye hisa nyingi kwenye kampuni nimekuwa nipipata misukosuko mingi kutoka kwa watu mbalimbali  kinyume na sheria ya makampuni binafsi.

“Hata hivi ninavyozungumza na nyinyi hapa ninayo barua ya mkuu wa mkoa ambayo inanitaka nikabidhi ofisi ndani ya saa 48 kwa kamati ambayo sijui hata imeundwa na nani na jambo la ajabu ni kwamba hii ni kampuni binafsi inakuaje mamlaka za serikali zinaingilia kinyume na sheria ya kampuni binafsi kuna siri gani nyuma ya pazia”alihoji

Kadhalika, alisema anamuomba Rais Samia kuingilia kati mgogoro huo kwakua unakatisha tamaa kwa wawekezaji wazawa kinyume na jitihada zake ambazo amekuwa akizifanya kuweka mazingira wezeshi hasa kwa wanawake.

Pia, alisema kuchukuliwa kwa hati hiyo kumesababisha mambo mengi kukwama ikiwemo kushindwa kupata mikopo kwenye taasisi za fedha ili kufanya uwekezaji.

“Tunafanya kazi tukiwa hatujui nini hatma ya kampuni hii kwani toka kupokonywa hati imekuwa domant (haiendelei) kwakuwa tunashindwa hata kuingia ubia na wawekezaji wengine,kukopa fedha hivyo kukosesha mtaji wa kujiendesha na kuikosesha mapato serikali”alisema

Naye, Mwanasheria wa kampuni hiyo Mpeli Mwabungu alisema wanaiomba serikali kuingilia kati sakata hilo kutokana na uwepo wa tabia ya baadhi ya viongozi kuingilia maamuzi kwa kutoa matamuko ya kisiasa ambayo yanasababisha baadhi ya wapangaji wao kugoma kulipa kodi kwa madai kuwa hilo ni eneo la serikali.

About the author

Alex Sonna