marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

lordbahis

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

pusulabet

imajbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

pusulabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

jojobet

marsbahis

imajbet giriş

imajbet

ngsbahis

piabellacasino

mislibet

ngsbahis

goldenbahis

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

madridbet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

sahabet

Madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

istanbulbahis

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

imajbet

imajbet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

goldenbahis

imajbet

perabet giriş

perabet

ngsbahis

kralbet giriş

bahsegel

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

gonebet, gonebet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

superbetin

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

romabet

jojobet

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

Featured Kitaifa

CCM Z’BAR YAPANIA KUFANYA KAZI NA WADAU WAKE.

Written by Alex Sonna

KATIBU wa Idara ya Itikadi na Uenezi CCM Zanzibar  Ndg. Khamis Mbeto Khamis, akizungumza kwa mara ya kwanza na watumishi   toka ateuliwe kuongoza idara hiyo huko Afisini kwake Kisiwandui Zanzibar.(PICHA NA IS-HAKA OMAR).

**************************

NA IS-HAKA OMAR,ZANZIBAR.

WATUMISHI wa idara ya Itikadi na Uenezi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)Zanzibar wametakiwa kuacha kufanya kazi kwa mazoea na badala yake wabadilike kiutendaji ili watekeleze kwa ufanisi majukumu ya idara hiyo.

Rai hiyo imetolewa na Katibu wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Itikadi na Uenezi CCM Zanzibar Ndg. Khamis Mbeto Khamis, alipozungumza na watumishi hao kwa mara ya kwanza toka ateuliwe kuhudumu katika nafasi hiyo.

Kupitia mazungumzo hayo yaliyofanyika Afisini kwake huko Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar, Mbeto aliwasihi watumishi hao kuonyesha uwezo wao wa kiutendaji kwa lengo la kuhakikisha wanatimiza malengo ya kulinda,kutetea,kutangaza,kujibu hoja na kueneza sera na muelekeo wa Chama na Serikali zake.

Alisema kuwa anafahamu changamoto  zinazowakabili watumishi hao na kuahidi kuzitafutia ufumbuzi wa kudumu kwa lengo la kuondoa vikwazo vinavyosababisha utendaji usioridhisha.

Alisema Chama Cha Mapinduzi ni lazima kiwaeleze na kuwambia wananchi mafanikio yanayoendelea kupatikana katika utekelezaji na usimamizi wa Ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020/2025.

“ Kwanza nakishukru sana Chama Cha Mapinduzi kwa kuniamini  na kikaniteua kutumikia nafasi hii nzito ya kuongoza idara hii ambayo ni mdomo kukisemea Chama na Serikali.

– Advertisement –

Nasaha zangu watumishi wenzangu tufanye kazi kwa bidii ili Chama kiendelee kuimarika zaidi katika masuala ya kisiasa,kijamii,kiuchumi na kimaendeleo.”,  Alisema Mbeto na kusisitiza ushirikiano kutoka kwa watumishi hao.

Akizungumzia vipaumbele vyake alieleza wazi kwamba hatokuwa kiongozi wa kukaa ofisini bali atatembelea na kujenga mahuano na wadau wa Chama hicho ambao ni Vyombo vya Habari,wasanii,wadau katika sekta zote za michezo na wananchi kwa ujumla.

Katika maelezo yake mkuu huyo wa Idara ya uenezi Zanzibar Mbeto, alisema wananchi ndio waoipa CCM ridhaa ya kuongoza dola hivyo wana haki ya kujua taasisi hiyo imesimamia utekelezaji wa ahadi   zilizotolewa katika uchaguzi mkuu uliopita kwa kiwango gani.

– Advertisement –

Aidha alitoa wito kwa viongozi na watendaji wa CCM wa ngazi zote, kuitumia idara hiyo kama kiunganishi cha kutangaza na kueneza masuala ya kisera na kisiasa yanayositahiki kuwambia wananchi kwa mujibu wa Katiba ya CCM.

“Niseme tu kwamba CCM tumejipanga na tupo vizuri kuhakikisha kila mwanachama na wananchi kwa ujumla wananufaika na matunda ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, hivyo kupitia nyenzo zetu rasimi za mitandao ya kijamii tutumieni maoni,ushauri na taarifa za changamoto ili Serikali izitatue.”, alisema Mbeto.

Kipaumbele kingine alisema CCM imejipanga kuimarisha Vyombo vyake vya Habari na kuanzisha vyombo vya habari vingine vitakavyotoa na kueneza kwa wakati taarifa,Itikadi,Sera na miongozo ya Chama.  

Katibu huyo Mbeto, aliweka wazi kwamba atasimamia kikamilifu majukumu ya idara kama yalivyoainishwa katika ibara ya 107 cha (2) (a)-(f) ya Katiba ya CCM toleo la mwaka 2022 ya mwaka 1977.

Pamoja na hayo aliwapongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi kwa kazi kubwa ya utekelezaji wa Ilani ya CCM pamoja na kuimarisha masuala ya kiuchumi,kisiasa,kijamii na diplomasia za kimataifa.

Awali Mkuu wa idara hiyo alikuwa ni Ndg. Catherine Peter Nao aliyemaliza muda wake wa kuhudumu nafasi hiyo baada ya kuongoza kwa miaka mitano (5), ambapo CCM mnamo Januari 28, mwaka 2023 kupitia Kikao cha Kamati Maalum ya CCM Taifa Zanzibar kimemteua Ndg. Khamis Mbeto Khamis kuwa Mkuu mpya wa Idara hiyo.

About the author

Alex Sonna