Featured Kitaifa

RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA KILIMO NA CHAKULA PAMOJA NA WAKUU WA NCHI MBALIMBALI ZA AFRIKA, DAKAR NCHINI SENEGAL

Written by mzalendoeditor

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais wa Senegal Mhe. Macky Sally pamoja na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Adesina Akinumwi kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Masuala ya Kilimo na Chakula uliofanyika Dakar nchini Senegal tarehe 25 Januari, 2023. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Senegal Mhe. Macky Sally pamoja na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Adesina Akinumwi kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Masuala ya Kilimo na Chakula uliofanyika Dakar nchini Senegal tarehe 25 Januari, 2023. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya  Wakuu wa nchi za Afrika pamoja na Viongozi mbalimbali kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Masuala ya Kilimo na Chakula uliofanyika Dakar nchini Senegal tarehe 25 Januari, 2023.

About the author

mzalendoeditor