Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

meritking

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

meritbet

grandpashabet

grandpashabet

betsat

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

Featured Kitaifa

SERIKALI KUZICHUKULIA HATUA SHULE ZINAZOFUNDISHA WANAFUNZI VITENDO VISIVYO NA MAADILI

Written by Alex Sonna

Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ,akizungumza na  waandishi wa habari leo Januari 17,2023 wakati akitoa taarifa  kuhusu wanafunzi kufundishwa vitendo visivyo na maadili katika baadhi ya shule kama ilivyoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari.

…………………………

Na Alex Sonna-DODOMA

SIKU moja baada ya kuripotiwa kwa uwepo wa vitendo vya watoto kufundishwa kulawitiana katika baadhi ya shule nchini, Serikali imemtuma Kamishna wa Elimu,Mkurugenzi wa Udhibiti ubora wa Elimu na Mwanasheria wa Wizara ya Elimu kufanya uchunguzi wa tukio hilo.

Kauli hiyo imetolewa leo Januari 17,2023 jijini Dodoma na Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda wakati akitoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusu  wanafunzi kufundishwa vitendo visivyo na maadili katika baadhi ya shule kama ilivyoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari.

Waziri Mkenda amesema kuwa Timu iliyoenda italeta taarifa kamili na  wapo  tayari kuchukua hatua stahiki kudhibiti mambo hayo.

“Tumeshitushwa sana na taarifa hizo,tumeamua kumpeleka Kamishna wa Elimu mwenyewe siyo mwakilishi wake,Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Elimu mwenyewe siyo mwakilishi wake pamoja na mwanasheria wa wizara waende haraka sasahivi wanapitia hizo shule zilizotajwa kujaribu kupata ‘Fact’ ukweli wote ”alisema Prof. Mkenda

Pia, amesema  wamemuomba mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu, kusaidiana na timu hiyo ili katika maeneo ambayo yananahusisha masuala ya jinai polisi wachukue hatua mara moja.

Aidha Waziri Mkenda ameongeza kuwa Wizara imekusudia kuchukua hatua mbalimbali ikiwa ni pamoja na kutoa namba maalumu kwa ajili ya kutoa taarifa ya vitendo hivyo katika shule za umma au binafsi nchini.

Prof,Mkenda amesema kuwa kesho Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kesho anatatoa  namba ambayo mtu yeyote ambaye akijua kuna kitu kama hicho katika shule yeyote iwe ya umma au binafsi au vyuo vyovyote hapa nchini anaweza akapiga simu akatupa taarifa .

“Tutafatilia nchi nzima na kuongeza umakini kwa kufatilia mambo haya kwa sababu tunajua yanaweza kuchafua taswira ya elimu pamoja na kuharibu vijana wetu na hata wazazi kukosa imani na shule na Katibu Mkuu lwangu kesho atatangaza namba”amesema Prof.Mkenda

 Prof.Mkenda ameeleza kuwa  walifanya Mkutano ambao ulikuwa chini ya Mwenyekiti Waziri Simbachawene,Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dk.Dorothy Gwajima,Waziri wa TAMISEMI Angela Kairuki pamoja na Makatibu Wakuu wa Wizara hizo  kwa ajili ya kuangalia namna ya kudhibiti mambo hayo.

“Tumeanza mkakati wa kitaifa wa kuangalia namna ya kudhibiti mambo hayo ambayo yanatokea Mashuleni,Majumbani, Njiani na maeneo mbalimbali hivyo  siyo  suala  la Wizara moja ni suala  mtambuka  kazi inaendea na Makatibu wakuu watarudisha taarifa yao halafu tutakuwa na mkakati mzuri zaidi kitaifa.”amesisitiza

About the author

Alex Sonna