Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

rekabet

matbet

maxwin, maxwin giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

redwin

holiganbet

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

Jojobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

lisanslı casino siteleri

jojobet

holiganbet

jojobet

betpark

maxwin

jojobet

marsbahis

ultrabet giriş

lunabet

jojobet

setrabet

jojobet güncel

holiganbet giriş

timebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

piabellacasino

ultrabet

piabellacasino

piabellacasino

kulisbet

mavibet giriş

artemisbet

piabellacasino

jojobet giriş

mavibet

mavibet giriş

artemisbet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

pusulabet

jojobet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

meritking giriş

pusulabet, pusulabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

maxwin giriş

matbet

dinamobet giriş

casibom

casibom

betkolik

goldenbahis

casibom

goldenbahis

casibom

kalebet

berlinbet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

luxbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

jojobet

royalbet

jojobet

betface

betface

ultrabet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

avrupabet giriş

betsat

betpark giriş

vdcasino

jojobet

casibom

betsat

Gorabet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

Featured Kitaifa

BAHI YAONGOZA KUKAMILISHA UJENZI WA MADARASA

Written by Alex Sonna

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule akikabidhiwa vyumba 14 vya madarasa na ofisi 9 za walimu zilizokamilika kwa fedha zilizotolewa na Serikali kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa katika Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Hafla hiyo imefanyika katika Shule ya Sekondari Bahi leo Desemba 12,2022. Wengine katika picha ni Mkuu wa Wilaya ya Bahi Mhe. Mwanahamisi Munkunda na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi Bwana Athumani Masasi

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amekabidhiwa vyumba 14 vya madarasa na ofisi 9 za walimu zilizokamilika kwa fedha zilizotolewa na Serikali kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa ili wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2023 waweze kupata madarasa ya kutosha ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Bahi.

Halmashauri ya Wilaya ya Bahi ikiwa ni miongoni mwa Halmashauri 8 za mkoa wa Dodoma zilizopewa fedha za ujenzi wa vyumba vya madarasa ilipokea shilingi Milioni 280 tarehe 8 Oktoba, 2022 na imeweza kuwa Halmashauri ya kwanza kukamilisha ujenzi wa vyumba hivyo na kukabidhi tarehe 12 Disemba, 2022 huku kila darasa likiwa na viti 40.

Akisoma taarifa ya ujenzi huo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi Bwana Athumani Masasi amesema kuwa ‘’Vyumba vya madarasa 14 na ofisi 9 vimejengwa katika shule zote 8 za Halmashauri ya Wilaya ya Bahi ikiwemo shule ya sekondari ya Bahi iliyo kabidhi vyumba 5 na ofisi 2, Idihwa darasa 1 na ofisi 1, Kigwe madarasa 2 na ofisi 1, Chikola darasa1 na ofisi 1, Chipanga darasa 1 na ofisi 1, Chibelela darasa 1 na ofisi 1, Msisi Juu madarasa 2 na ofisi 1 na Lamaiti darasa1 na ofisi 1’’.

Aidha Mhe. Senyamule ametoa pongezi kwa Halmashauri hiyo na kutaka iwe ya mfano kwa Halmashauri nyingine zilizopo ndani ya mkoa na kusema;

‘’Mhe Rais wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ana nia ya dhati ya kutaka kuondoa ujinga kwa kuimarisha sekta ya Elimu ambapo ametoa fedha za kuongeza vyumba vya madarasa 8,000 nchi nzima ambapo kwa mkoa wa Dodoma tumepata jumla ya vyumba vya madarasa 339” RC Senyamule

Sambamba na hilo Mhe. Senyamule ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Bahi kwa kuweza kufanya vizuri katika matokeo ya darasa la saba mwaka 2022 kwa kuweza kuwa katika orodha ya Shule 10 bora zilizo fanya vizuri kitaifa ambapo kwa mkoa wa Dodoma ni Halmashauri hiyo pekee ndiyo iliyoweza kuingia katika 10 bora.

Hata hivyo RC Senyamule ameongeza kuwa Mhe. Rais ametekeleza miradi ya maendeleo kwa zaidi ya asilimia 80 kwa Mkoa wa Dodoma huku vituo vya afya, zahanati, madarasa na huduma zingine zikizidi kuimarishwa.

 

About the author

Alex Sonna