marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

imajbet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

teosbet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

piabellacasino

interbahis

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

superbetin

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

casibom giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

porno izle

Hacklink Panel

palacebet

vdcasino giriş

bets10 giriş

interbahis

goldenbahis

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

jojobet

jojobet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

alobet, alobet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

tarafbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

padişahbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

betoffice

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

marsbahis

matbet

sekabet giriş

imajbet

pusulabet

herabet

herabet

Featured Kitaifa

PROF.MDOE:’TUMEDHAMIRIA KUKITANGAZA KISWAHILI DUNIANI

Written by Alex Sonna

 

KAIMU Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.James Mdoe,akizungumza na waandishi wa habari leo Desemba 3,2022 jijini Dodoma kuhusu dhamira ya kukuza lugha ya Kiswahili  kwenye mataifa mengine kwa kupandisha bango Mlima Kilimanjaro lenye kauli mbiu isemayo ‘Kiswahili Kileleni’ kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 61 ya Uhuru.

KAIMU Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.James Mdoe,akimsikiliza Mwalimu wa Lugha ya Kiswahili na Mwandishi wa vitabu kwa lugha ya Kiswahili Menna Yasser raia wa Misri akielezea umuhimu wa Kiswahili katika mataifa mbalimbali ni muhimu kuendelea kukitangaza zaidi.

MTUNZI wa Mashairi kwa lugha ya Kiswahili Meja Mwinyikombo Ally,akiipongeza Wizara ya Elimu kwa kubuni njia hiyo kukitangaza Kiswahili katika Mataifa ya nje.

KAIMU Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.James Mdoe,akiwakabidhi vijana wawili shupavu bango lenye kauli mbiu “Kiswahili Kileleni” kwenye kilele Cha mlima Kilimanjaro siku ya maadhimisho ya miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania.

KAIMU Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.James Mdoe,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kutoa taarifa kuhusu dhamira ya kukuza lugha ya Kiswahili  kwenye mataifa mengine kwa kupandisha bango Mlima Kilimanjaro lenye kauli mbiu isemayo ‘Kiswahili Kileleni’ kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 61 ya Uhuru.

………………………………………

Na Alex Sonna-DODOMA

WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imedhamiria kukuza na kueneza Lugha ya Kiswahili kimataifa kwa kupandisha bango maalumu Mlima Kilimanjaro lenye  ujumbe wa kukitangaza Kiswahili kimataifa.

Hayo yamesemwa leo Desemba 3,2022 Jijini Dodoma na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Prof.James Mdoe, amesema watatumia maadhimisho ya miaka 61 ya uhuru kuhamasisha matumizi ya lugha ya Kiswahili Duniani ambapo kwa sasa mataifa mengi yanahamasika kutumia lugha ya Kiswahili.

“Lengo la kufanya hivyo ni kusherehekea Uhuru wa Taifa letu kwa kutangaza Lugha ya kiswahili Kwa mataifa mengine ndio maana bango hili litapandishwa na kusimikwa katika kilele cha Mlima Kilimanjaro kama ambavyo ulisimikwa Mwenge wa uhuru,”

 “Wameandaliwa vijana wawili shupavu ambao watakwenda kusimika Bango lenye kauli mbiu “Kiswahili Kileleni” kwenye kilele Cha mlima Kilimanjaro siku ya maadhimisho ya miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania,”Amesema Prof.Mdoe

Hat hivyo ameeleza  kuwa kwa sasa takribani watu milioni 250 ulimwenguni wanazungumza lugha ya Kiswahili na ukizingatia Shirika la umoja wa mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni UNESCO tayari imeitambua lugha ya Kiswahili na kuitengea siku maalumu ambayo ni July 7 kila mwaka.

“Ukizingatia Kiswahili ni Lugha ya kwanza kutambuliwa na UNESCO na kukitengea siku maalumu na sisi kama Wizara ya Elimu tunawajibu kwa kuendelea kukitangaza Kiswahili zaidi kimataifa” amesema.

Hata hivyo, amesema lugha ya Kiswahili kwa sasa inapendwa na watu wengi na kuzungumzwa ikiwamo nchini Misri ikiwa moja katika ya nchi inayofundisha lugha ya Kiswahili tangu mwaka 1964.

“Kuna vyuo 150 vinafundisha Kiswahili, pia  redio na runinga 300 ulimwenguni ambazo zinarusha vipindi kwa lugha hiyo hapo ni nje ya Vyuo vya hapa nchini pia  vyuo vya Tanzania vina makubaliano na vyuo vya nje kwa ajili ya kuendelea kufundisha lugha hii na tayari mikataba minne imeingiwa na Wizara.”

“Tunaendelea na mazungumzo na wizara hizo za nje ya nchi yakikamilika mikataba mingine mitano itasainiwa ili kuwezesha uanzishwaji wa madarasa ya kufundishia lugha hiyo nchini,” amesema.

Aidha amebainisha kuwa kwa sasa nchi jirani na Tanzania zinazungumza lugha ya Kiswahili  nchi hizo ni kama Uganda, Kenya, Sudani Kusini, Malawi na Mashariki ya Kongo.

“Na hivi juzi tu kwa kushirikiana na ubalazi wa Tanzania nchini Malawi  tumefungua darasa la kufundisha lugha ya Kiswahili  Malawi na tumekuwa tukisisitiza Mabalozi wetu wote kuzungumza na nchi husika” amesema.

Aidha ametoa wito kwa Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika Mataifa mbalimbali kuendelea kuchochoe matumizi ya Lugha ya kiswahili katika mataifa hayo ikiwemo kufungua madarasa ya awali ya kufundisha Lugha ya kiswahili.

Kwa upande wake Mwalimu wa Lugha ya Kiswahili na mwandishi wa vitabu kwa lugha ya Kiswahili Menna Yasser raia wa Misri amesema Kiswahili kinanafasi kubwa kwa mataifa mbalimbali ni muhimu kuendelea kukitangaza zaidi.

“Hii ni lugha ambayo mataifa mengi yanatumia, kuna umuhimu wa kukuza lugha ya Kiswahili, hii lugha imenipa fursa nyingi na nimeisomea,” amesema.

Naye, mtunzi  wa mashairi kwa lugha ya Kiswahili Meja Mwinyikombo Ally ameipongeza Wizara ya Elimu kwa kubuni njia hiyo kukitangaza Kiswahili na kuamini kuwa Kiswahili ni kama bidhaa inayouzika nchini na nje ya nchi.

About the author

Alex Sonna