marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

palacebet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

setrabet

Madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

superbetin

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

casibom giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

porno izle

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino

bets10 giriş

interbahis

goldenbahis

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

primebahis

alobet, alobet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

royalbet

tarafbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

padişahbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

meritking

betoffice

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

Featured Kitaifa

PADRI MINGA AWAFUNDA VIJANA,AWATAKA KUONDOKANA NA ULEVI NA UTUMIAJI WA MADAWA YA KULEVYA

Written by Alex Sonna

Mratibu wa Utume wa Vijana Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Padri Aldolfu Bernard Minga,akitoa Semina  kwa Vijana katika Kongamano la Vijana Wakatoliki Wafanyakazi (VIWAWA) Ngazi ya Kanda,lililofanyika katika Viwanja vya Parokia ya Kanisa Kuu la Kiaskofu la Moyo Mtakatifu wa Yesu-Jimbo Katoliki la Singida

Vijana Wakatoliki Wafanyakazi (VIWAWA wakiwa kwenye Semina iliyofanyika katika Viwanja vya Parokia ya Kanisa Kuu la Kiaskofu la Moyo Mtakatifu wa Yesu-Jimbo Katoliki la Singida. .(Picha zote na Ndahani Lugunya).

………………………………………….

Na Ndahani Lugunya,Singida.

IMEELEZWA kwamba Kijana mzuri ni yule aliyetengenezwa vizuri katika utoto wake,kwani mtoto akilelewa katika mazingira na Malezi mabovu hata ujana wake utakuwa mbovu.

Hayo yameelezwa na Mratibu wa Utume wa Vijana Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Padri Aldolfu Bernard Minga, wakati akiwasilisha Mada yake inayohusu “Nafasi ya Kijana katika Kanisa”,katika Kongamano la Vijana Wakatoliki Wafanyakazi (VIWAWA) Ngazi ya Kanda,lililofanyika katika Viwanja vya Parokia ya Kanisa Kuu la Kiaskofu la Moyo Mtakatifu wa Yesu-Jimbo Katoliki la Singida.

Padri Minga amesema kwamba Kijana ni nguzo ya Kanisa katika imani,maadili,Sala,usomaji wa Neno la Mungu,Uchumi na Uongozi,huku akiongeza kuwa suala la umri lisimtafsiri Kijana kwani wapo baadhi yao wamejitumbukiza katika ulevi,lishe duni na utumiaji wa madawa ya kulevya na hivyo kuwafanya waonekane Wazee katika jamii tofauti na umri wao.

“Leo hii unakutana na Kijana mwenyewe umri wa miaka 18 lakini ukimuangalia mwonekano wake ni kama Mzee wa miaka 50,Kwa sababu anakuwa kachoka na hii ni kutokana na utumiaji wa madawa ya kulevya na unywaji wa pombe uliopitiliza” amesema Padri Minga.

Aidha Padri Minga amesema kwamba katika umri wa Kijana kuna mambo msingi yanayopaswa kuangaliwa kwa umakini na kwa ungalifu mkubwa,ambapo katika umri wa miaka 15-45 Kijana afundishwe na kutayarishwa namna ya kutoa maamuzi,namna ya kuacha umaskini na mila potofu na kuishi vizuri Ukristo wake.

“Wapo Vijana wengine wameshindwa kuwa na mamuzi sahahi katika maisha yao,yaani hata akigombana na mke au mume wake anakimbilia nyumbani kwa wazazi wake ndiyo wakatoe maamuzi.kuomba ushauri sio jambo baya lakini nawewe jifunze kuwa mtu wa maamuzi katika mambo yako na huo ndio ukomavu wa Kijana,” amesisitiza Padri Minga. 

Amesema Dunia ya leo na kesho inawategemea Vijana,ndiyo maana Kanisa Katoliki Ulimwenguni pia limewekeza Nguvu kubwa katika malezi adilifu  ya Kiroho na Kimwili kwao kwa sababu Vijana ni tunu,hazina na thamani katika Kanisa .

Katika hatua nyingine Padri Minga ametoa wito kwa Vijana kuwa faraja kwa wengine na si kuwakatisha tama.

Amewataka vijana kuwa makini na mawazo na ushauri wanaopewa na watu mbalimbali,kwa kuyachambua na kuona yanastahili kufanyiwa kazi au la kwani yapo baadhi ya mawazo huwa ni ya kukatisha tama katika kukua kiuchumi na kiroho.

Pamoja na hilo amesema kwamba Kijana Mkatoliki anapaswa kuweka kipaumbele mambo makuu manne katika maisha yake ya kila siku,ambapo mambo hayo ni Imani,Uchumi,Siasa na fani mbalimbali na kuongeza kuwa,Kijana ni lazima awe sehemu ya amani popote pale anapokuepo.

Aidha Padri Minga amesema kwamba Kijana anapaswa kuwa mtu mwenye majibu mengi na si kuwa mtu mwenye maswali mengi,kwani Kanisa na Taifa linahitaji vijana imara wenye umakini katika maamuzi.

Kongamano hilo la Siku 7 lililofunguliwa na Makamu wa Askofu wa Jimbo la Singida Padri Francis Limu,limewajumuisha jumla ya Vijana 464 ambapo miongoni mwao 447 ni kutoka Jimbo Katoliki Singida na 17 kutoka Jimbo Katoliki Kondoa,kama sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Vijana Ulimwenguni yaliyofikia kilele chake Dominika ya 34 mwaka C wa Kanisa Sherehe ya Yesu Kristo Mfalme.

About the author

Alex Sonna