Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

luxbet

betmarino giriş

kareasbet

gobahis giriş

betcool giriş

betnis giriş

elitbahis giriş

luxbet

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

robinbet

timebet

porno izle

porno izle

türk ifşa izle

evcil hayvan satış

uyuşturucu satın al

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

gameofbet

jojobet

hepbet giriş

betmarino

parmabet

avrupabet giriş

hepbet

hazbet giriş

gobahis

betnis

parmabet

realbahis

luxbet giriş

hazbet

aresbet giriş

betlivo

betface

betlivo giriş

betra giriş

gallerbahis

matbet

parmabet giriş

kareasbet

casival giriş

celtabet

celtabet giriş

vipslot giriş

lordcasino

realbahis giriş

betface giriş

millibahis

lordcasino giriş

aresbet

vipslot

elitbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu

nerobet

betcup

casinofast giris

matbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

jojobet

jojobet giriş

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

meritbet giriş

tarafbet

meritbet

jojobet güncel giriş

marsbahis

bets10

betsat

jojobet

marsbahis

ultrabet

mavibet

mavibet

setrabet

betpas

perabet

ibizabet

deneme bonusu veren siteler

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

celtabet

millibahis

lordcasino

casival

matbet giriş

betlike giriş

mavibet giriş

matbet güncel giriş

mavibet

mavibet

matbet giriş

matbet

mavibet giriş

betlike

mavibet giriş

mavibet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betsat

matbet, matbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark

betsat giriş

dinamobet

betpas

grandpashabet

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

jojobet

betpas

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

Featured Kitaifa

MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI KUFANYIKA LINDI

Written by Alex Sonna
WAZIRI  wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, George Simbachawene,akizungumza na waandishi wa habari wakati akitoa taarifa ya 
Maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duniani kitaifa yatafanyika katika Uwanja wa Ilulu Mkoani Lindi kuanzia Novemba 24 na kilele chake ni Disemba Mosi 2022 mwaka huu.
WAZIRI  wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, George Simbachawene,akisisitiza jambo kwa na waandishi wa habari wakati akitoa taarifa ya 
Maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duniani kitaifa yatafanyika katika Uwanja wa Ilulu Mkoani Lindi kuanzia Novemba 24 na kilele chake ni Disemba Mosi 2022 mwaka huu.
 
MKURUGENZI  Mtendaji,Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS), Dk. Leonard Maboko,akizungumza  na wandishi wa habari kuelekea katika maadhimisho ya siku ya Ukimwi Dunia Desemba Mosi mwaka huu.
MKURUGENZI Mkazi wa UNAIDS Tanzania, Martin Odiit,,akizungumza  kuelekea katika maadhimisho ya siku ya Ukimwi Dunia Desemba Mosi mwaka huu.
 
WAZIRI  wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, George Simbachawene,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kutoa taarifa kuhusu 
Maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duniani kitaifa yatafanyika katika Uwanja wa Ilulu Mkoani Lindi kuanzia Novemba 24 na kilele chake ni Disemba Mosi 2022 mwaka huu.
…………………………………
Na Alex Sonna-DODOMA
TUME  ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) imeeleza kuwa maambukizi mapya ya Virusi vya Ukimwi (VVU) yamepungua kutoka watu 110,000 mwaka 2016/17 hadi kufikia 54,000 mwaka 2020/2021.
Hayo yameelezwa leo Novemba 14,2022 na Mkurugenzi Mtendaji,Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS), Dk. Leonard Maboko, wakati akizungumzia na wandishi wa habari kuelekea katika maadhimisho ya siku ya Ukimwi Dunia Desemba Mosi mwaka huu.
Dk Maboko amesema idadi ya vifo pia imepungua kutoka vifo vinavyotokana na ugonjwa wa Ukimwi 64,000 mwaka 2016/17 hadi kufikia vifo 29,000 mwaka 2020/21.
“Pamoja na mafanikio hayo lakini bado tunahitaji kuongeza nguvu ili kufikia malengo ya sifiri tatu ifikapo mwaka 2030,”amesema
Dk Maboko ametoa wito kwa jamii na wadau wote kushirikiana katika kupanga na kutekeleza shughuli za kuthibiti VVU na UKIMWI kwa kuzingatia vipaumbele.
Ameyataka maeneo ya vipaumbele ni kuimarisha afua za VVU na UKIMWI kwa vijana ambapo takwimu zinaonesha kuwa kundi la vijana wa umri wa miaka 15-24 linachangia maambukizi mapya ya VVU kwa asilimia 30.
“Hivyo kulifanya kundi hili kuwa kwenye hatari kubwa zaidi ya kupata maambukizi ya VVU.Kwa mukhtadha huo maadhimisho ya mwaka huu yanatoa vipaumbele pia kwa vijana kushiriki kikamilifu,”amesema Dk.Maboko.
Amesema matukio yatakayofanyika ni pamoja na maonesho ya shughuli za wadau wa kudhibiti VVU na UKIMWI yatakayoanza Novemba 24 mwaka huu hadi Disemba mosi mwaka huu katika uwanja wa Ilulu Lindi.
Dk.Maboko amesema kutakuwa na maonesho ya utoaji wa Huduma rafiki kwa vijana  kuanzia Novemba 24 Hadi 30.
Amesema vijana watatengewa eneo Maalum litakalojulikana kama Kijiji cha vijana  ndani ya uwanja wa Ilulu Lindi.
Vilevile,amesema kutakuwa na mdahalo wa viongozi wa dini pamoja na vijana unaotarajiwa kufanyika Novemba 25 mwaka huu ambapo Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu,Dk John Jingu.
“Kutakuwa na mdahalo wa vijana wa vyuo vikuu na kati vilivyopo mkoani Lindi kuzungumzia masuala mbalimbali yanayohusiana na afua za VVU na UKIMWI.
“Mbio za marathon kwa ajili ya kuhamasisha uchangiaji wa mfuko wa udhamini wa kuthibiti UKIMWI,”amesema
Amesema katika maadhimisho hayo kutakuwa na wageni waalikwa mbalimbali ikiwa ni pamoja na Mawaziri,Mabalozi,wawakilishi wa Umoja wa Mataifa na viongozi wa dini.

Kwa upande wake Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, George Simbachawene, amesema kuwa maadhimisho ya siku ya ukimwi Duniani kitaifa yatafanyika katika Uwanja wa Ilulu Mkoani Lindi kuanzia Novemba 24 na kilele chake ni Disemba mosi 2022 maadhimisho yatakayoambatana na shughuli mbalimbali kuhamasisha watu kutambua hali zao.

Simbachawene amesema maadhimisho hayo yamelenga kutoa fursa ya kuthathmini hali halisi na mwelekeo wa udhibiti wa virus vya ukimwi kitaifa na kimataifa.

 “Hapa nchini maadhimisho yatafanyika kitaifa mjini Lindi wadau wa kitaifa chini ya uratibu wa TACAIDS wanaendelea na maandalizi kwa ajili ya kutoa huduma muhimu wakati wa maadhimisho hayo ikiwamo utoaji wa taarifa na habari muhimu za kudhibiti VVU na Ukimwi” amesema 

Ameongeza kuwa “Katika maadhimisho tunatumia kuhamasisha viongozi na jamii kuendelea kutoa kipaumbele kwa agenda ya kudhibitiVVU na Ukimwi na kujumuishwa katika mpango wa maendeleo ya nchi” amesema Waziri Simbachawene

Aidha Simbachawene  ameitaka amewataka mikoa yote nchini kuandaa na kuadhimisha siku hiyo yenye kaulimbiu ya “imarisha usawa”

About the author

Alex Sonna