marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

kocaeli escort

izmit escort

escort bayan

matbet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

betoffice

marsbahis

perabet giriş

interbahis

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betparibu, betparibu giriş

zirvebet, zirvebet giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

meritking güncel giriş

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betine

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

aaa

Starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

casibom giriş

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Milanobet

jojobet

grandpashabet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

pokerklas

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

betmarino giriş

perabet

betmarino

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

grandpashabet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

pokerklas

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

lordcasino

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

casibom

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

jasminbet

jasminbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu 2026

interbahis

agb99

betper

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

sekabet giriş

deneme bonusu

Featured Kitaifa

KITUO KIKUBWA CHA UMAHIRI KUANZA KUJENGWA NA ERB

Written by Alex Sonna

MSAJILI wa Bodi ya Usjali wa Wahandisi Nchini (ERB) Mhandisi Benard Kavishe ,akizungumza na waandishi wa habari leo Novemba 10,2022 jijini Dodoma wakati  akitoa taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya bodi hiyo na Mwelekeo wa utekelezaji kwa Mwaka 2022/2023.

MSEMAJI Mkuu wa Serikali na Mkurugenzi Mkuu wa idara ya Habari -MAELEZO Gerson Msigwa,akizungumzia na waandishi na habari (hawapo pichani) kuhusu mazuri yaliyofanywa na Serikali ya awamu ya sita mara baada ya Msajili wa Bodi ya Usjali wa Wahandisi Nchini (ERB) Mhandisi Benard Kavishe ,kutoa taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya bodi hiyo na Mwelekeo wa utekelezaji kwa Mwaka 2022/2023 leo Novemba 10,2022 jijini Dodoma.

……………………….

Na Alex Sonna-DODOMA

BODI ya usajili wa Wahandisi Nchini (ERB) inatarajia kujenga kituo Kikubwa Cha Umahiri eneo la kizota, Jijini Dodoma ambapo ni Moja ya Vipaumbele vyake ili vijana waweze kufanya shughuli zao kwa kuonyesha ubunifu wao.

Hayo yameelezwa leo Novemba 10,2022 jijini Dodoma na Msajili wa Bodi hiyo,Mhandisi Bernard Kavishe ,wakati akitoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusu utekelezaji wa majukumu ya  Bodi hiyo na Mwelekeo wa utekelezaji kwa Mwaka 2022/2023 .

Mhandisi Kavishe amesema kutokana na kuwepo kwa Vijana wengi wenye mawazo ya kibunifu ila wanakosa namna ya kuendeleza mpaka kufika sokoni ,hivyo kituo hicho kitakuwa eneo sahihi la kuendeleza mawazo hayo.

“Kuna vijana wengi wenye mawazo mazuri kabisa ila namna ya kuendeleza inawawia vigumu sana ila tumeona sisi kama bodi suluhisho lake ni kujenga kituo cha umahiri ambapo itatumika kuendeleza vijana na Itakuwa na maabara pia,” Amesema Mhandisi Kavishe

Aidha Mhandisi Kavishe, amesema kuwa rushwa bado ni kikwazo kikubwa katika sekta hiyo nchini hali inayosababisha watu wasio na uwezo kupatiwa kazi katika maeneo mbalimbali.

“Rushwa bado ni kansa ya taifa katika maeneo mbalimbali kweli bado wapo watu ambao wanajihusisha na vitendo vya rushwa lakini sisi tunapo wabaini tunawafikisha katika vyombo vyenye mamlaka na suala hilo kama vile TAKUKURU na wengine”amesema Mhandisi  Kavishe

Vilevile, Mhandisi Kavishe amesema kikwazo kingine wanachokabiliana nacho ni vishoka walipo katika sekta hiyo hivi sasa.

“Vishoka ni ‘crime’ kama ambavyo ilivyo katika tasnia nyingine mtu kujifanya Daktari wakati siyo taaluma yake anastahili kushitakiwa na kufungwa kama mharifu mwingine”amesema

 Mhandisi Kavishe amesema kuwa ,kwa sasa Tanzania inakadiriwa kuwa na jumla ya Wahandisi 33,773, kati yao 26,000 wapo katika soko la ajiri huku wenye leseni za Uhandisi wakiwa ni 10,000 na wengi wao wanashiriki kwa namna moja au nyingine katika utekelezaji wa miradi hiyo mikubwa inayoendelea.
“Tanzania tunakadiriwa kuwa na jumla ya Wahandisi 33,773 kati yao 26,000 wapo Sokoni na kati ya hao wenye leseni za Uhandisi wakiwa ni 10,0000 tu ,
Na kuongeza kuwa” Tuna Mafundi sanifu 1,979 na maabara za kihandisi 40 si mnajua mnapotaka kujenga ni lazima eneo lipimwa na iangaliwe pia kwa eneo unalotaka kujenga ni aina gani au ni muundo gani inayostahili kutoakana na mazingira kwa ujumla hapo ndio kazi ya maabara zetu zinaanzia,”Amesema Mhandisi Kavishe
Mhandisi Kavishe amesema kuwa Bodi hiyo imeshasajili Makampuni 398 inayojishuhulisha na masuala ya uhandisi huku makapuni 275 kati ya hayo ni ya ndani ya nchi wakati makampuni 123 yakiwa ni kutoka nje ya nchi.
Kwa upande wake Msemaji Mkuu wa Serikali na Mkurugenzi Mkuu wa idara ya Habari -MAELEZO Gerson Msigwa, ameipongeza bodi hiyo kwa namna ambavyo imendelea kutekeleza majukumu yake ya kusimamia wahandisi wakati huu ambao taifa likiwa linatekeleza miradi mikubwa ya kimkakati.
“Nafasi ya ERB ni kubwa  katika maendeleo ya Taifa letu kwani kila penye Mradi unaoendelea ERB wapo na wanathibiti ubora wa kazi na wa Mhandisi anayejenga ule mradi hivyo niwaambieni tu hii ni bodi kongwe na haya majengo mnayoyaona yote kuna Mkono wa ERB,”Amesema Msigwa
Bodi ya Wahandisi nchini (ERB), Imeanzishwa Mwaka 1968, ikiwa na majukumu ya Kusajili Wahandisi,kuendeleza wahandisi na kutoa hithibati kwa waandisi , hayo majukumu yote ERB inayatekeleza kwa ajili ya usalama wa nchi na kwa kutanguliza maslahi ya taifa mbele.

About the author

Alex Sonna