Featured Kitaifa

RAIS SAMIA AWASILI BEIJING NCHINI CHINA KWA AJILI YA ZIARA YA KISERIKALI

Written by mzalendoeditor

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Peking, Beijing nchini China kwa ajili ya ziara ya Kiserikali tarehe 02 Novemba, 2022

About the author

mzalendoeditor