marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

matbet

teosbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

casinoroyal

kavbet

marsbahis

perabet giriş

kavbet

casinowon giriş

mavibet giriş

imajbet

mavibet

pashagaming

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betkolik, betkolik giriş

jojobet

restbet

jojobet giriş

restbet

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

bettilt

trimology review

celtabet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

ultrabet

starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

grandpashabet

galabet

İkimisli

onwin

sahabet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

casibom

lunabet

lunabet giriş

imajbet

bahiscasino

perabet

lunabet

kavbet

artemisbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

ifşa

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

bets10

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

grandpashabet

Hacklink Panel

nesinecasino

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

artemisbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

imajbet

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

bettilt giriş

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

hitbet

kavbet

kavbet

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

dinamobet

netbahis

1xbet giriş

vipslot

galabet giriş

interbahis

Kitaifa

SH.BILIONI 111.8 KUTEKELEZA MIRADI 12 YA MSCL

Written by Alex Sonna

MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL) Erick Hamissi,akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Utekelezaji wa Shughuli mbalimbali za Kampuni hiyo na mwelekeo wa utekelezaji wa bajeti kwa mwaka wa fedha 2022/2023 leo Novemba 1,2022 jijini Dodoma.

……………………….

Na Alex Sonna-DODOMA

MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL) Erick Hamissi,ameeleza kuwa katika mwaka wa fedha wa 2022/2023 wametengewa na Serikali jumla ya shilingi Bilioni 111.8 kwa ajili ya ujenzi wa miradi 12.

Hayo ameyaeleza leo Novemba 1,2022 jijini Dodoma wakati akielezea Utekelezaji wa Shughuli mbalimbali za taasisi hiyo  na mwelekeo wa utekelezaji wa bajeti kwa mwaka wa fedha 2022/2023 leo Novemba 1,2022 jijini Dodoma.
Amesema kuwa Katika miradi hiyo 12 kuna miradi 4 ambayo ni mipya,miradi 5 ni ya ukarabati na miradi 3 inaendelea kutekelezwa tangu mwaka wa fedha uliopita.
Bw.Hamissi amesema kuwa kati ya hizo bilioni 111.8 Ziwa Tanganyika imetengewa kiasi cha Shilingi bilioni 53.9 itakayotumika kwa ajili ya kutekeleza miradi Mipya na kukarabati meli zinginine ikiwemo Meli Kongwe yenye miaka 105 ya MV Liemba.
“Katika ziwa Tanganyika kuna mradi mpya wa ujenzi wa Meli Mpya itakayokuwa na uwezo wa kubeba abiria 600 na tani 400 za mizigo ambapo kwa mwaka huu wa fedha imetengewa jumla ya Bilioni 12,na mradi mwingine mpya kwa upande wa ziwa Tanganyika ni ujenzi wa Cherezo ambao nao umetengewa bilioni 12,
Na kuongeza kuwa ” Mradi mwingine mpya ni ujenzi wa Meli Mpya ya Mizigo tu ambapo itakuwa na uwezo wa kubeba tani 3000 nayo imetengewa bilioni 12 kwa mwaka huu wa fedha,”Amesema Hamissi
Ameongeza kuwa katika ziwa Tanganyika wapo katika ukarabati wa Meli ya MT Sangara,MV Liemba ,MV Mwongozo ambayo inabeba idadi ya watu 800 na tani 80 ya mzigo pamoja na kukarabati Boti ya Kitalii ya Sea Warriors.
Kwa Upande wa Ziwa Victoria imetengewa kiasi cha Bilioni 59 ambapo kati ya hizo bilioni 24 zimetengwa kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa MV Mwanza Hapa kazi Tu ambapo mpaka sasa ujenzi wake umefikia asilimia 73.
Aidha amesema pia wataendelea na ukarabati wa Mv Umoja ambapo imetengewa Bilioni 1.7,Mv Ukerewe ambapo imetengewa bilioni 3.5 na ukarabati wa Meli ya Mafuta ya MT Nyangumi yenye uwezo wa kubeba lita 350 nayo imetengewa kiasi cha shilingi bilioni 6.8.
“Tutajenga pia Meli nyingine Mpya kabisa ya Mizigo ambayo itakuwa na uwezo wa kubeba tani 3000 ambapo katika mwaka huu imetengewa bilioni 12 na hii itasaidia sana kuunganisha na Uganda yenye soko kubwa sana la bidhaa ambayo inahitaji zaidi ya tani elfu sita hivyo kukamilika kwa meli hii itasaidia sana nchi kuingiza mapato makubwa,”amesisitiza Bw.Hamissi
Bw.Hamissi amesema kuwa huduma ya usafiri kwa njia ya maji ni moja ya njia rahisi sana ndio maana serikali imeona umuhimu wa kuwekeza fedha nyingi ili kuimarishwa kwa miundombinu hiyo.
Pia Kampuni hiyo kabla ya kutetereka ilikuwa inaajiri zaidi ya vijana 300 ila baada ya kufa ila baada ya kufufuliwa tena kwa sasa ina wafanyakazi 120 ila miradi yote hii ikikamilika itaongeza idadi ya ajira na mapato pia yataongezeka kwa taifa.
Naye  Msemaji Mkuu wa Serikali na Mkurugenzi Mkuu wa idara ya Habari MAELEZO Bw.Gerson Msigwa amesema kuwa serikali ya awamu ya sita mbali nakufanya juhudi za miradi ya ujenzi wa meli serikali pia inafanya uboreshaji wa bandari zote za maziwa makuu.

MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL) Erick Hamissi,akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Utekelezaji wa Shughuli mbalimbali za Kampuni hiyo na mwelekeo wa utekelezaji wa bajeti kwa mwaka wa fedha 2022/2023 leo Novemba 1,2022 jijini Dodoma.

MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL) Erick Hamissi,akijibu maswali mbalimbali yaliyoulizwa na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu Utekelezaji wa Shughuli mbalimbali za taasisi  hiyo na mwelekeo wa utekelezaji wa bajeti kwa mwaka wa fedha 2022/2023 leo Novemba 1,2022 jijini Dodoma.

Msemaji Mkuu wa Serikali na Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Habari maelezo Gerson Msigwa,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mara baada ya kuwasilishwa Utekelezaji wa Shughuli mbalimbali za taasisi hiyo na mwelekeo wa utekelezaji wa bajeti kwa mwaka wa fedha 2022/2023 leo Novemba 1,2022 jijini Dodoma

About the author

Alex Sonna