marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

matbet

teosbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

casinoroyal

kavbet

marsbahis

perabet giriş

kavbet

mavibet giriş

mavibet giriş

imajbet

mavibet

pashagaming

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betkolik, betkolik giriş

jojobet

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

bettilt

trimology review

celtabet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

ultrabet

starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

grandpashabet

galabet

İkimisli

onwin

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

casibom

lunabet

lunabet giriş

imajbet

bahiscasino

perabet

lunabet

kavbet

artemisbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

ifşa

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

bets10

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

grandpashabet

Hacklink Panel

nesinecasino

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

artemisbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

imajbet

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

bettilt giriş

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

hitbet

kavbet

kavbet

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

dinamobet

netbahis

1xbet giriş

vipslot

galabet giriş

interbahis

agb99

galabet

norabahis

Featured Kitaifa

MADEREVA WA MALORI WAIGOMEA TICTS BANDARINI

Written by Alex Sonna

 

 

 

Mohammed Abdallah, mmoja wa madereva walioshiriki kwenye mgomo wakiilalamikia huduma mbovu za TICTS

 

*

* Tanzania yanusurika kupata aibu kubwa mbele ya Rais wa Congo

* Ni kutokana na huduma mbovu za upakuaji wa makontena

Na Mwandishi Wetu – Dar es salaam

 

MADEREVA malori wameigomea kampuni ya kimataifa ya kuhudumia makontena Tanzania katika bandari ya Dar es Salaam (TICTS) kutokana ucheleweshaji mkubwa wa huduma ya kupakua makontena unaofanywa na kampuni hiyo.

 

Mgomo huo wa madereva wa malori ulianza usiku wa Ijumaa Oktoba 21, siku ambayo Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), Felix Tshisekedi, aliwasili nchini kwa ziara.

 

“TICTS ni wazembe sana. Utendaji kazi wao ni mbovu, kuanzia asubuhi hadi sasa hivi saa sita ya usiku tumekwama hapa bandarini kutokana na ucheleweshaji wa huduma ya upakiaji wa makontena,” alisema Mohammed Abdallah, dereva wa lori la makontena, usiku wa mgomo ulipoanza.

 

Madereva hao, ambao wamekuwa wakigoma mara kwa mara kutokana na huduma mbovu za TICTS, wamesema miundombinu ya eneo la Kitopeni bandarini lililo chini ya TICTS ni mibovu, ikiwemo uhaba wa vyoo.

 

“Licha ya kucheleweshewa huduma za makontena kwa visingizio vya kreni kuharibika mara kwa mara na msongamano wa malori, kuna matundu ya vyoo mawili tu ambayo yanahudumia mamia ya madereva,” alisema Abdallah.

 

Siku ambayo madereva malori wameanza mgomo wao mpya, Rais Tshisekedi, ambaye nchi yake ya DRC ndiyo mteja mkubwa kuliko wote wa bandari ya Dar es Salaam, aliwasili Zanzibar kwa mapumziko binafsi kabla ya kuanza ziara rasmi ya kikazi nchini Tanzania Oktoba 23.

 

Moja ya shughuli ambayo Rais wa Congo alipangiwa kufanya wakati wa ziara yake nchini ni kutembelea bandari ya Dar es Salaam.

 

“Tunashukuru kuwa Rais Tshisekedi alipata udhuru akalazimika kukatisha ziara yake nchini, hivyo hakwenda tena bandarini Dar es Salaam. Maana kama angeenda bandarini angekutana na mgomo wa madereva malori kutokana na huduma mbovu ya TICTS na hii ingekuwa ni fedheha kubwa kwa taifa,” alisema Juma Hafidh, mdau wa bandari ya Dar es Salaam.

 

Hivi karibuni, wafanyakazi wa TICTS walilaumiwa kwa kudondosha makontena kwenye bahari na kufanya meli zishindwe kupita kwenda kupakua mafuta eneo la Kurasini KOJ kwa siku kadhaa na kuisababishia taifa hasara.

 

Kumekuwa na mlolongo wa tuhuma za uzembe na ukosefu wa ufanisi wa TICTS ambayo imekuwa ikisimamia eneo la makontena la bandari ya Dar es Salaam kwa zaidi ya miaka 20 bila tija.

 

Serikali ya Tanzania kwa sasa iko kwenye majadiliano na TICTS kuhusu kuongeza au kutoongeza mkataba wake, huku kampuni hiyo ikilaumiwa na wadau wa biashara na usafirishaji kwa kukosa ufanisi.

 

Wadau wa sekta za biashara na usafirishaji wameitaka serikali kutoipa kampuni ya TICTS mkataba mpya wa kuendesha eneo la kontena la bandari ya Dar es Salaam kwa kushindwa kufikia lengo la kuongeza wingi wa mzigo kwa asilimia 37 kwa mwaka na kuwa na ufanisi mdogo.

About the author

Alex Sonna