marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

matbet

teosbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

gameofbet

kavbet

marsbahis

perabet giriş

kavbet

mavibet giriş

mavibet giriş

imajbet

mavibet

pashagaming

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betkolik, betkolik giriş

jojobet

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

bettilt

trimology review

celtabet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

ultrabet

starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

betixir giriş

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

meritking

galabet

İkimisli

onwin

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

casibom

lunabet

lunabet giriş

imajbet

bahiscasino

perabet

lunabet

kavbet

artemisbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Deneme Bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

sahabet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

grandpashabet

Hacklink Panel

nesinecasino

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

artemisbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

imajbet

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

bettilt giriş

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

ligobet

kavbet

kavbet

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

dinamobet

netbahis

1xbet giriş

vipslot

galabet giriş

interbahis

agb99

galabet

norabahis

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

Featured Kitaifa

RAIS SAMIA ASHUSHA NEEMA KWA WALIOONDOLEWA KWA VYETI FEKI

Written by Alex Sonna

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Watu Wenye Ulemavu, Prof.Joyce Ndalichako,akizungumza na waandishi wa habari wakati akitoa tamko la Serikali kuhusiana na watumishi  14,516 waliobainika kuwa na vyeti vya kughushi na waliondolewa kwenye utumishi wa umma leo Oktoba 26,2022 jijini Dodoma.

………………………

Na Alex Sonna-DODOMA

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameridhia kurejesha michango ya watumishi 14,516 waliobainika kuwa na vyeti vya kughushi na waliondolewa kwenye utumishi wa umma ambapo Sh.Bilioni 46.8 zitatumika  .

Hayo yamesemwa leo Oktoba 26,2022 jijini Dodoma na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na watu wenye ulemavu, Prof.Joyce Ndalichako,wakati akitoa tamko la Serikali kuhusiana na watumishi hao amesema hatua hiyo ya serikali imetokana na ombi la Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) kumuomba Rais Samia Suluhu Hassan kuangalia namna ya kuwafuta jasho watumishi hao.

Prof.Ndalichako amesema kuwa baada ya uchambuzi kufanyika Rais ameridhia kuwa watumishi wote walioondolewa kazini kwa kughushi vyeti warejeshewe michango yao tu waliyokatwa kwenye mishahara na kuwasilishwa kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.”

“Mifuko ya PSSSF na NSSF itarejesha michango ya wafanyakazi iliyowasilishwa kwenye mifuko hiyo bila kuhusisha michango ya mwajiri.Marejesho ya michango ya watumishi itaanza kufanyika Novemba mosi, mwaka huu, mtumishi husika atatakiwa kwenda kwa aliyekuwa mwajiri wake,”amesema Prof.Ndalichako

Aidha amefafanua kuwa mtumishi alikuwa akikatwa asilimia tano ya mshahara kuchangia mfuko wa PSSSF na kwa NSSF ni asilimia 10 bila kuhusisha malipo yeyote ya ziada.

“Kinachorejeshwa ni asilimia tano tu ambayo ilikatwa kwenye mshahara wa mtumishi na kuwasilishwa kwenye mfuko wa hifadhi ya jamii, mifuko itafanya marejeshi ya ile asilimia tano, hayatahusisha michango iliyokuwa inawasilishwa na mwajiri,”amesema.

Prof.Ndalichako amewaelekeza watumishi hao wanatakiwa kwenda na picha mbili, nakala ya taarifa za kibenki kwenye akaunti iliyo hai na nakala ya kitambulisho cha taifa au mpiga kura au leseni ya udereva.

“Mtumishi atatakiwa kujaza hati ya ridhaa kwa aliyekuwa mwajiri wake, aidha waajiri watawajibika kuwasilisha kwenye mifuko hati za ridhaa pamoja na nyaraka nyingine zinazohusu ulipaji wa mafao kwa kuzingatia taratibu na miongozo ya mifuko husika,”amesema

Hata hivyo ametoa wito kwa watumishi hao kuhakikisha wanakamilisha taratibu hizo ili kuwezesha mifuko kuwarejeshea michango yao.

Kwa upande wake, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora, Jenista Mhagama, ameawaagiza waajiri wote kuwajibika kwa kutoa ushirikiano kwa watumishi hao huku akitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kufuatilia suala hilo.

“Waajiri wahakikishe waandaa madawati ya msaada ili kufanikisha kwa urahisi zoezi hilo,pia naagiza TAKUKURU kuanzia sasa wahakikishe wanatumia kila mbinu kuzuia kitendo au kiashiria cha rushwa, na watumishi nao wawe waaminifu,”amesema.

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Watu Wenye Ulemavu, Prof.Joyce Ndalichako,akizungumza na waandishi wa habari wakati akitoa tamko la Serikali kuhusiana na watumishi  14,516 waliobainika kuwa na vyeti vya kughushi na waliondolewa kwenye utumishi wa umma leo Oktoba 26,2022 jijini Dodoma.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora, Jenista Mhagama,wakati akitoa tamko la Serikali kuhusiana na watumishi  14,516 waliobainika kuwa na vyeti vya kughushi na waliondolewa kwenye utumishi wa umma leo Oktoba 26,2022 jijini Dodoma.

About the author

Alex Sonna