Featured Kitaifa

RAIS DK.MWINYI ATETA NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI MHE.DKT. STERGOMENA TAX. IKULU ZANZIBAR

Written by mzalendoeditor

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Dkt.Stergomena .Tax, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha leo 25-10-2022, mazungumzo hayo  yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Dkt. Stergomena .Tax, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 25-10-2022, alipofika kujitambulisha.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Dkt. Stergomena .Tax, alipofika Ikulu kwa  mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 25-10-2022, kwa kujitambulishana na (kulia kwake) Mkurugenzi katika Ofisi ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki – Zanzibar, Bi. Mariam Haji Mrisho.(Picha na Ikulu)

About the author

mzalendoeditor