TANZANIA imefanikiwa kumaliza nafasi ya tatu kwenye michuano ya CECAFA U17 baada ya ushindi wa penalti 4-1 dhidi ya Uganda katika Uwanja wa Abebe Bikila Jijini Addis Ababa nchini Ethiopia.
TANZANIA imefanikiwa kumaliza nafasi ya tatu kwenye michuano ya CECAFA U17 baada ya ushindi wa penalti 4-1 dhidi ya Uganda katika Uwanja wa Abebe Bikila Jijini Addis Ababa nchini Ethiopia.