marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

palacebet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

setrabet

Madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

superbetin

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

casibom giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

porno izle

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino

bets10 giriş

interbahis

goldenbahis

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

primebahis

alobet, alobet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

royalbet

tarafbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

padişahbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

meritking

betoffice

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

Featured Kitaifa

VIONGOZI WA UMMA WAASWA KUWA MSTARI WA MBELE KWA KUFANYA KAZI KWA UADILIFU.

Written by Alex Sonna

Kamishna wa Maadili Mhe. Jaji Sivangilwa Mwangesi,akizungumza wakati akifungua mafunzo ya Maadili yaliyotolewa kwa Viongozi mbalimbali wa Umma yalifanyika leo Oktoba 13,2022 Jijini Dar es Salaam.

………………

Viongozi wa Umma wanategemewa kuwa mstari wa mbele katika kuzingatia na kutekeleza majukumu ya umma kwa uadilifu ikiwa ni pamoja na kusimamia na kuhakikisha kuwa rasilimali za nchi zinatumika kwa maslahi mapana ya nchi yetu.

Hayo yalisemwa na Kamishna wa Maadili Mhe. Jaji Sivangilwa Mwangesi wakati akifungua mafunzo  kuhusu ya Maadili yaliyotolewa kwa Viongozi mbalimbali wa Umma. Mafunzo hayo yalifanyika katika Ukumbi wa Ofisi ndogo ya Bunge Jijini Dar es Salaam.

Akifungua mafunzo hayo Mhe. Mwangesi alisema kuwa jitihada za Serikali kupitia Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kutoa mafunzo hayo kwa Viongozi ni kielelezo dhahiri kuwa Serikali ya awamu ya Sita imedhamiria kuhakikisha kuwa suala la maadili ya uongozi linaeleweka kwa wadau wote wa sekta ya Umma na sekta binafsi.

Mhe. Mwangesi alisema kuwa Tanzania inahitaji Viongozi ambao ni mfano mzuri wa uzingatiaji  wa maadili, Viongozi wanaozingatia Sheria, Kanuni na taratibu katika utendaji wao wa kazi, Viongozi wanaotumia nafasi zao za uongozi kwa kuwaletea wananchi maendeleo na si kwa maslahi yao binafsi jambo ambalo litawafanya wananchi kuwa na imani kwa viongozi wanaowaongoza na Serikali yao kwa ujumla. “Uongozi ni dhamana  hivyo kiongozi yeyote anatakiwa atumie wadhifa wake kwa manufaa ya wananchi na si kwa manufaa yake binafsi’’alisema.

Aidha, Mhe. Mwangesi alieleza kuwa ukuzaji wa maadili kwa viongozi wa umma nchini ni moja ya jitihada za kuhakikisha kuwa malengo ya Dira ya Taifa yanafikiwa kama yalivyopangwa “kwa mujibu wa Dira ya Maendeleo ya Taifa katika kipengele cha Utawala Bora inatarajiwa kwamba ifikapo mwaka 2025 uadilifu unapaswa kuwa sehemu ya utamaduni wa jamii ya Tanzania na hilo linawezekana ikiwa kila mmoja atatimiza wajibu wake’’alisema. 

Mhe.Mwangesi aliendelea kusema kuwa katika kutekeleza Dira ya Taifa ya Maendeleo, Serikali  imedhamiria kujenga utumishi wa umma ulio imara ambao utakuwa muhimili mkuu wa kujenga uchumi bora na kuondoa umaskini miongoni mwa wananchi “Nitoe rai kwenu Viongozi kuwa mafunzo haya yawe chachu ya kuongeza kasi ya kujenga na kukuza maadili kati yetu ili tuweze kutoa huduma bora kwa wananchi’’ alisema.

Pamoja na hayo Mhe. Mwangesi aliwakumbusha Viongozi wa Umma kuhusu misingi ya maadili ambayo ni pamoja na Kiongozi wa Umma kutoa matamko mbalimbali ikiwemo Tamko la Rasilimali, Maslah na Madeni, kutotumia vibaya rasilimali za umma, kutekeleza majukumu yao kwa uaminifu, uaminifu, uwazi, haki na kutopendelea pamoja na misingi minginemingi kama ilivyoainishwa kwenye Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma. “Kama kila kiongozi ataamua kufuata misingi hii basi rasilimali za nchi yetu zitakua salama na wanannchi watakua na imani kubwa kwa Serikali yao” alisema.

Mhe. Mwangesi alimaliza kwa kusema kuwa pamoja na jitihada zinazofanywa na Serikali ya kukuza maadili nchini ni muhimu jamii ikatambua kuwa vita dhidi ya ukiukwaji wa maadili siyo la Serikali pekee bali ni jukumu la jamii nzima, kuanzia mtu mmoja mmoja, katika ngazi ya familia, taasisi mbalimbali za kidini, sekta binafsi, asasi zisizo za kiraia pamoja na taasisi nyingine nyingi. 

Katika mafunzo hayo ya siku moja mada mbalimbali zitawasilishwa ikiwa ni pamoja na mada kuhusu Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma, mada kuhusu uwajibikaji wa pamoja, Kanuni za Mgongano wa Maslah, Kanuni za Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi wa Umma na mada kuhusu Tamko la Rasilimali na Madeni.

Mada hizo  zitawajengea Viongozi uwezo wa kuifahamu zaidi Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma na kanuni zake jambo litakalowasaidia kutekeleza majukumu yao ya kila siku kwa uadilifu mkubwa.

Kamishna wa Maadili Mhe. Jaji Sivangilwa Mwangesi,akizungumza wakati akifungua mafunzo ya Maadili yaliyotolewa kwa Viongozi mbalimbali wa Umma yalifanyika leo Oktoba 13,2022 Jijini Dar es Salaam.

Kamishna wa Maadili Mhe. Jaji Sivangilwa Mwangesi,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua  mafunzo ya Maadili yaliyotolewa kwa Viongozi mbalimbali wa Umma yalifanyika leo Oktoba 13,2022 Jijini Dar es Salaam.

About the author

Alex Sonna