Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

palacebet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

grandpashabet giriş

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

portobet

dinamobet giriş

casibom

casibom

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

starzbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

Featured Kitaifa

WAZIRI NDAKI AAGIZA KUSITISHWA KWA MKATABA WA UJENZI WA MNADA WA MALAMPAKA

Written by Alex Sonna

Mkurugenzi wa idara ya Uzalishaji na Masoko, Bw. Stephen Michael (kulia) akifafanua jambo kuhusu mradi wa ujenzi wa mnada wa Malampaka uliopo Wilayani Maswa Mkoani Simiyu kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashimba Ndaki mara baada ya Waziri Ndaki kukagua mradi huo ambapo aliagiza kusitishwa kwa mkataba wa ujenzi kutokana na kutoridhishwa na kazi iliyofanyika kulingana na mkataba.

……………………………

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashimba Ndaki amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo anayesimamia Sekta ya Mifugo kusitisha mkataba wa ujenzi wa Mnada wa Malampaka unaojengwa na Kampuni ya Kumuli Engineering and Liveline Technology.

Waziri Ndaki ametoa agizo hilo leo (01.10.2022) baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa mnada huo uliopo katika Kata ya Malampaka Wilayani ya Maswa Mkoani Simiyu ambapo hakuridhishwa na kazi iliyofanywa na mkandarasi huyo.

Mkandarasi huyo alipewa kazi ya ujenzi wa mnada huo Januari 25, 2022 na alitakiwa kumaliza ujenzi Mei 23, 2022. Kutokana na kushindwa kumaliza kazi kwa muda aliongezewa muda mpaka Agosti 8, 2022. Lakini mpaka Waziri Ndaki alipofika kukagua kazi iliyofanyika ilikuwa ni asilimia 9.2.

Kutokana na hali hiyo, Waziri Ndaki amemuagiza Katibu Mkuu anayesimamia Sekta ya Mifugo kusitisha mkataba wa ujenzi wa mnada na Kampuni ya Kumuli Engineering and Liveline Technology. Pili alimuagiza Kamanda wa Polisi Wilaya ya Maswa kumtafuta mmiliki wa kampuni hiyo ili arudi kulipa madeni ya wafanyakazi wake pamoja na kuchukuliwa hatua za kisheria.

Aidha, amemuagiza Katibu Mkuu anayesimamia Sekta ya Mifugo kuhakikisha anamtafuta mkandarasi mwingine haraka ili ujenzi wa mnada huo uweze kukamilishwa na kuanza kutumika. Lakini pia alisema kuwa kama hatua za kumpata mkandarasi mwingine zitachukua mud ani vema ujenzi huo ukafanyika kwa kutumia wataalam wa ndani ili mnada uanze kufanya kazi.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Maswa, Mhe. Aswege Kaminyoge amesema kuwa mkandarasi huyu ameshapewa muda wa kutosha lakini bado kazi halakamilisha, lakini pia ameondoka bila kuwalipa wafanyakazi pamoja na watoa huduma hivyo ni vyema akawalipa wafanyakazi wake.

Akizungumza kwa niaba ya wafanyakazi, Wambura Richard amesema kuwa jumla ya deni wanalodai ni shilingi 9,544,300 hivyo ameiomba serikali kuwasaidia ili waweze kulipwa fedha hizo.

Ujenzi wa Mradi huo wa Mnada wa Malampaka unagharimu shilingi milioni 261 na mkandarasi alikuwa ameshalipwa shilingi milioni 44 ambayo kazi yake ilitakiwa ifikie asilimia 17 lakini licha ya kuchelewa bado kazi ipo asilimia 9.2.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashimba Ndaki (katikati) akikagua kazi ya ujenzi iliyofanyika kwenye mradi wa ujenzi wa mnada wa Malampaka uliopo Wilayani Maswa Mkoani Simiyu. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Maswa, Mhe. Aswege Kaminyoge na kulia ni Mkurugenzi wa idara ya Uzalishaji na Masoko, Bw. Stephen Michael.

Mkurugenzi wa idara ya Uzalishaji na Masoko, Bw. Stephen Michael (kulia) akifafanua jambo kuhusu mradi wa ujenzi wa mnada wa Malampaka uliopo Wilayani Maswa Mkoani Simiyu kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashimba Ndaki mara baada ya Waziri Ndaki kukagua mradi huo ambapo aliagiza kusitishwa kwa mkataba wa ujenzi kutokana na kutoridhishwa na kazi iliyofanyika kulingana na mkataba.

About the author

Alex Sonna