slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

marsbahis

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

matbet

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

jojobet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betasus

pusulabet giriş

matbet

grandpashabet

film izle

1xbet giriş

1xbet

holiganbet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

gobahis, gobahis giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

goldenbahis

trimology review

jojobet

jojobet

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

casinolevant

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

matbet giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

parobet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

imajbet

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

jojobet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

goldenbahis giriş

madridbet

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

celtabet

bets10 giriş

tempobet

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

holiganbet

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

matbet, matbet giriş

matbet, matbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

goldenbahis

Goldenbahis

tempobet giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

holiganbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler 2026

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

deneme bonusu

sekabet

pusulabet

grandpashabet

marsbahis

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Featured Kitaifa

WAZIRI MKUU AKABIDHI SH.MILIONI 600 KUSAIDIA WANAWAKE WENYE TATIZO LA FISTULA

Written by Alex Sonna

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimkabidhi hundi ya Shilingi milioni 600 Afisa Mtendaji Mkuu wa CCRBT, Brenda Msangi kwa ajili ya kuchangia matibabu ya wanawake wenye tatizo la Fistula, baada ya kumaliza mbio za hisani za Benki ya NMB (NMB Marathon) zilizoanzia katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es salaam, na kuishia katika viwanja hivyo, Oktoba 01, 2022. Kulia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Ruth Zaipuna na Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB, Dkt. Edwin Mhende. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)

…………………….

 

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Afya iendelee kuhamasisha taasisi, na wadau kuchangia maeneo muhimu kama ya afya hasa yanayogusa jamii ikiwemo fistula, na saratani ambayo yanasumbua jamii.

“Suala la kuchangia maendeleo na utatuzi wa changamoto za jamii ni la Watanzania wote. Kwa umoja wetu tukishirikiana, tutaifanya Tanzania yetu kuwa salama zaidi. Hivyo, nitoe rai kwa makampuni mengine yanayofanya biashara hapa nchini kushirikiana na Serikali ili kwa pamoja tutatue changamoto hizo,” amesema.

Akizungumza na mamia ya washiriki wa mbio za hisani za NMB leo (Jumamosi, Oktoba Mosi, 2022) kwenye viwanja vya Leaders’ Club jijini Dar es Salaam, Waziri Mkuu amesema Serikali pamoja na jitihada zake za kutoa huduma, bado inahitaji kuungwa mkono na Watanzania na yeyote ambaye ameguswa na jambo hilo ili kunusuru maisha ya mama zetu.

“Taarifa za Wizara ya Afya zinaonesha kuwa akinamama wengi, wanasumbuliwa na tatizo la fistula lakini wengi wao wamepoteza matumaini kwa sababu hawawezi kumudu gharama za matibabu. Hivyo, wanapotokea watu wa kuwasaidia, hatutasita kushirikiana nao ili kuhakikisha mama zetu, dada zetu na hata watoto wetu wanapata msaada,” amesema.

Ameipongeza benki ya NMB kwa kufanikiwa kuchangisha sh. bilioni moja ndani ya miaka miwili badala ya miaka minne kama iliyopangwa awali. “Utaratibu kama huu wa benki ya NMB kusaidia jamii ambao umeonesha mafanikio makubwa ya kuchangia shilingi bilioni moja kwa miaka miwili tu, ni wa kuigwa na taasisi nyingine. Mwaka jana tulipata shilingi milioni 400 badala ya sh. milioni 250 zilizokusudiwa. Mwaka huu tumepata sh. milioni 600 badala ya milioni 250.”

Amezipongeza kampuni za bima za Sanlam kwa kuchangia sh. milioni 150 na kampuni ya bima ya UAP kwa kuchangia sh. milioni 100. Mbio hizo zilianzia kwenye viwanja vya Leaders’ jijini Dar na kuzunguka viunga vya jiji la Dar na kuishia kwenye viwanja hivyo.

Wakati huohuo, Waziri Mkuu amelitaka Baraza la Michezo Nchini (BMT) lisimamie mashirikisho ya michezo yote kuandaa mipango itakayojumuisha watu wengi kushiriki michezo kwenye maeneo mbalimbali nchini.

Pia amekiagiza Chama cha Riadha Tanzania (RT) kiendelee kuhakikisha mbio nyingi zinazofanyika nchini zinaratibiwa vizuri na kuhamasisha jamii kushiriki. Pia amezitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa ziendelee kusajili vikundi mbalimbali vya riadha, jogging na aina nyingine ya mazoezi.

“Manispaa za Temeke, Kinondoni, Ilala na nyinginezo, ziwatambue rasmi wanaoshiriki kwenye hivi vikundi na kuwasaidia kutambuliwa kwa shughuli zao kwa sababu vinasaidia kukuza hamasa ya michezo katika jamii,” amesisitiza.

Pia ameyataka mashirika, makampuni na majeshi nchini yarudishe utaratibu wa kuunda vikundi vya kuibua vipaji ili kurudisha hadhi ya nchi katika mashindano ya kimataifa.

Mapema, Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Bi. Ruth Zaipuna alisema benki yao imeandaa mbio hizo za hisani za marathon (Mwendo wa Upendo) ili kuchangia matibabu ya wanawake wenye tatizo la fistula. Alisema mwaka jana waliweka lengo la kukusanya sh. bilioni moja kwa kipindi cha miaka minne lakini wamelitimiza ndani ya miaka miwili.

“Takwimu zilizopo zinaonesha wanawake 10,000 wana fistula na kila mwaka wanaongezeka 3,000 lakini wanaopata matibabu ni 1,300. Na gharama ya kumtibu kila mmoja ni sh. milioni nne. Kwa hiyo, fedha zilizokusanywa zitatumika kulipia matibabu ya wanawake 250,” alisema.

 

Viongozi walioshiriki mbio hizo ni Spika wa Baraza la Wawakilishi, Zuberi Ali Maulid, Naibu Spika, Mussa Azzan Zungu, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi, Shaka Hamdu Shaka, Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Godwin Gondwe, Mameya wa Dar es Salaam na Zanzibar, Wabunge wa Ukonga na Kibamba, wakurugenzi wa taasisi na mashirika mbalimbali.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongoza mbio za hisani za Benki ya NMB (NMB Marathon) za kuchangia matibabu ya wanawake wenye tatizo la Fistula. Mbio hizo zilianzia katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es salaam, na kuishia katika viwanja hivyo, Oktoba 01, 2022. Kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Ukonga Jerry Slaa na kulia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Ruth Zaipuna.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiongoza mazoezi ya viungo baada ya kumaliza mbio za hisani za Benki ya NMB (NMB Marathon) za kuchangia matibabu ya wanawake wenye tatizo la Fistula. Mbio hizo zilianzia katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es salaam, na kuishia katika viwanja hivyo, Oktoba 01, 2022.  Kushoto  Afisa Mtendaji Mkuu wa CCRBT, Brenda Msangi, wa pili kushoto Mbunge wa Jimbo la Ukonga Jerry Slaa na kulia ni Spika wa Baraza la Wawakilishi Zubeir Ali Maulid 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimaliza kilomita 5 za mbio za hisani za Benki ya NMB (NMB Marathon) za kuchangia matibabu ya wanawake wenye tatizo la Fistula. Mbio hizo zilianzia katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es salaam, na kuishia katika viwanja hivyo, Oktoba 01, 2022. 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kumaliza kilomita 5 za mbio za hisani za Benki ya NMB (NMB Marathon) za kuchangia matibabu ya wanawake wenye tatizo la Fistula. Mbio hizo zilianzia katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es salaam, na kuishia katika viwanja hivyo, Oktoba 01, 2022.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akivishwa medali ya kumaliza mbio za  hisani za Benki ya NMB (NMB Marathon) na Mwenyekiti wa Benki hiyo, Dkt. Edwin Mhende baada ya kumaliza mbio hizo zilizoanzia Viwanja vya Leaders Club na jijijini Dar es salaam, Oktoba 01, 2022.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipokea hundi ya Shilingi milioni 600 kutoka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Ruth Zaipuna kwa ajili ya kuchangia matibabu ya wanawake wenye tatizo la Fistula, baada ya kumaliza mbio za hisani za Benki ya NMB (NMB Marathon) zilizoanzia katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es salaam, na kuishia katika viwanja hivyo, Oktoba 01, 2022. Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB, Dkt. Edwin Mhende.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimkabidhi hundi ya Shilingi milioni 600 Afisa Mtendaji Mkuu wa CCRBT, Brenda Msangi kwa ajili ya kuchangia matibabu ya wanawake wenye tatizo la Fistula, baada ya kumaliza mbio za hisani za Benki ya NMB (NMB Marathon) zilizoanzia katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es salaam, na kuishia katika viwanja hivyo, Oktoba 01, 2022. Kulia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Ruth Zaipuna na Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB, Dkt. Edwin Mhende. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)

About the author

Alex Sonna