marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

imajbet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

gameofbet

Marsbahis

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

matbet, matbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

deneme bonusu

holiganbet

holiganbet

deneme bonus veren siteler

holiganbet

deneme bonusu

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

supertotobet

supertotobet giriş

ultrabet

pusulabet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

vaycasino

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

kralbet

imajbet

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

zirvebet

perabet

efesbet

pokerklas

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

madridbet

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

ligobet giriş

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

milanobet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

marsbahis, marsbahis giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet

casibom

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

romabet

kralbet

ligobet

bets10 güncel giriş adresi

bets10

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

casibom

Featured Kitaifa

ALIYEKATWA UENYEKITI AHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI KIKAMILIFU UCHAGUZI CCM SHINYANGA MJINI

Written by Alex Sonna
 
 
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Shinyanga Mjini, Abubakar GulamHafiz Mukadam akizungumza na waandishi wa habari Mjini Shinyanga leo
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Shinyanga Mjini, Abubakar GulamHafiz Mukadam amewataka Wanachama wa CCM kujitokeza kwa wingi  na kushiriki kikamilifu katika Mkutano Maalumu wa Uchaguzi wa Nafasi ya Uenyekiti wilaya huku akiwasihi wale waliokuwa na upendo na mategemeo ya kumchagua tena kuwa mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini wapokee maamuzi ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) ambayo imewateua Mokhe Warioba Nassor, Magile Anold Makombe na Pendo John Sawa kugombea nafasi hiyo.

 
 
Abubakar GulamHafiz Mukadam ni miongoni mwa Makada wa CCM waliokuwa wametia nia kugombea nafasi ya uenyekiti CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini akitetea nafasi yake aliyoitumikia tangu mwaka 2017 lakini jina lake halijarudi.
 
 
Akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamis Septemba 29,2022 Mjini Shinyanga, Abubakar GulamHafiz amesema amepokea  kwa moyo mweupe maamuzi ya kikao cha mwisho cha uteuzi cha Halmashauri kuu ya Taifa (NEC) ambacho kinaongozwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akieleza kuwa ni utaratibu wa kawaida katika kutoa uteuzi.
 
“Binafsi nimelipokea kwa moyo mweupe na kwa nafsi iliyofunguka kabisa kwamba ni jambo la msingi na ni maamuzi ya Mwenyezi kutokupata uteuzi, saa zingine inakuwa ni heri, unaweza kuliona jambo linalotolewa kwamba limetokea jambo baya kwangu kwanini limefanyika kwangu lakini siyo jambo unalolihitaji na linapotokea kuwa vinginevyo ukawa unahisi kwanini limetokea kwako”,amesema Abubakar.
 
 
“Kwa hiyo uwepo wa jina au kutokuwepo kwa jina  langu ni kikao ndicho kinachoamua,  na mimi kama mwanachama ambaye nilitamani kugombea nafasi ya uenyekiti CCM wilaya ya Shinyanga Mjini  na niliyetamani kuendelea kutetea nafasi hiyo ninapaswa na sina budi kwanza kumshukuru Mwenyezi Mungu lakini kuheshimu na kutii utaratibu wa vikao na maamuzi yaliyotokea katika vikao vya juu ambavyo ndivyo vinavyotoa uteuzi wa nafasi hizo”,amesema Abubakar.
 
 
“Natoa wito kwa wanachama wenzangu wa CCM na hasa waliokuwa na upendo na mategemeo na mimi kwamba wataenda kunichagua tena kuwa mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini wapokee maamuzi hayo.
 
 Tunapaswa na tunawajibika kuheshimu na bila kuwa na manung’uniko, masononeko wala fikra potofu zozote zile. Ni jambo la msingi wanachama na viongozi wote wakawa watulivu na tukaenda kuendelea kutimiza wajibu wetu kwenye Mkutano maalumu wa uchaguzi kuchagua mwenyekiti wa wilaya ambaye Mwenyezi Mungu amemwandaa kuwa mwenyekiti wetu”,ameeleza Abubabar.
 
Ametoa wito kwa wanachama wenzake wa CCM wilaya ya Shinyanga Mjini na haswa  ambao walikuwa na matamanio na shauku ya kwenda kumchagua tena kuwa mwenyekiti kwamba sasa maamuzi ya vikao yamewateua wagombea watatu ambao wataenda kuwachagua ambaye Mwenyezi Mungu ndiye aliyemwandaa mmoja wao.
 
 
Amebainisha kuwa kama Mwanachama wa CCM anayeheshimu maamuzi ya vikao ataendelea kuwa mwanachama , mtetezi na mzalendo na mtiifu katika Chama Cha Mapinduzi kwa sababu kimemkuza, kimemlea na kimempa umaarufu katika kipindi chote cha uongozi hivyo ataendelea kukiheshimu na kukithamini na kupokea maamuzi sahihi ya chama.
 
“Mimi kama mwanachama na kiongozi ambaye nimekuzwa na Chama cha Mapinduzi, nimetengenezwa na Chama cha Mapinduzi na nimekuwa sasa ndani ya uongozi kama miaka 15 kwa mfululizo kwa nafasi mbalimbali. Nimeingia kwenye uongozi wa CCM wa wilaya  Agosti  mwaka 2017 na ukomo wangu utakuwa Oktoba 1,2022 siku ya mkutano maalumu wa CCM Wilaya siku ambayo tutafanya uchaguzi.
 
 Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kila hatua zinazofanyika ndani ya chama na kwa kipindi chote cha uongozi wangu tangu mwaka 2017 mpaka mwaka 2022”,amesema.
 
 
“Na kwa utaratibu wa Chama cha Mapinduzi kwa sisi wanachama wa Chama cha Mapinduzi na haswa ambao tumetokea kuanzia kwenye Greenguard kuja kwenye nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo UVCCM ambako ndiko tunakopikwa, tunaandaliwa uongozi, tunapopewa maadili na kutengenezwa kuwa viongozi tunapaswa kuheshimu misingi, katiba na kanuni na utaratibu ulio wa msingi kabisa ndani ya CCM”,ameeleza.
 
 
Amesema hakuna aliye juu ya CCM na kwamba binadamu wana matamanio lakini kila jambo linapangwa na Mwenyezi Mungu, na kwa sababu linapangwa na Mwenyezi Mungu hakuna sababu yoyote ya kuendelea kuwa na manung’uniko.
 
“Tunapokuwa katika kipindi hiki ambacho nafasi za uongozi zilitangazwa, mimi kama mwenyekiti ninayemaliza muda wangu wa uongozi,niliomba nafasi ya kugombea nafasi ya Uenyekiti wilaya ili kutetea nafasi yangu. Nilitamani kuendelea kuwa mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, niendelee kukitumikia chama kama kiongozi wa CCM”,amesema.
 
 
“Mimi Abubakar GulamHafiz Mukadam ni nani ndani ya CCM? . Hakuna aliye juu ya CCM na kwa sababu ndiyo utaratibu huo, sasa kila mmoja ninamuasa ajitahidi kushiriki kwenye mkutano wa uchaguzi, na kwa kuwa mimi bado ni mwenyekiti ninaendelea kuwahamasisha wanachama na viongozi wote ambao ni wajumbe wa mkutano ule waweze kushiriki kwa wingi na kikamilifu, kwa heshima na utiifu ili kutimiza wajibu ambao tunapaswa kufanya”,amesema.
 
 
Akifafanua zaidi amesema : “Kwa utaratibu wa CCM,mnapochukua nafasi zile kugombea, mnakuwa mmetia nia na utaratibu wake mtaanza kuwa na vikao kuanzia ngazi wilaya kwa wagombea wa ngazi ya wilaya,kutakuwa na Sekretarieti,usalama na maadili,kamati ya siasa. Na kwa nafasi hizi kubwa Uenyekiti na Uenezi zinatoka kwenye vikao vya wilaya, vinaenda kujadiliwa ngazi ya mkoa, kwa hiyo nafasi yangu baada ya kumaliza kujadiliwa kwenye nafasi ya wilaya inapanda kwenye Sekretarieti,usalama na maadili ngazi ya mkoa, kamati ya siasa na mapendekezo yanapotoka hapo hayaendi tena kwenye halmashauri ya Mkoa, yakitoka hapa yanaenda ngazi ya taifa na taifa kule kunakuwa na vikao vingine”.
 
“Lakini kwa namna mimi ninavyolielewa binadamu unaweza kuwa na matamanio yako lakini Mwenyezi Mungu kwa matakwa yake anaweza kukuletea jambo ambalo wewe binafsi kwa muonekano wako utaliona kama linaenda  vinginevyo lakini Mwenyezi Mungu ambaye kakutengenezea hivyo anafahamu mwisho unakuwa ni mzuri, ni kama heri kwangu kutokupata uteuzi huo lakini pia ni heri kwa wale Mwenyezi Mungu amewajaalia vikao vikaona kwamba ni wanachama sahihi kwa kugombea nafasi hiyo ya uenyekiti wilaya”,amesema.
 
 
Septemba 27,2022 NEC ilifanya uteuzi wa majina ya wagombea wa nafasi ya uenyekiti wa CCM wilaya nchi nzima ambapo katika Wilaya ya Shinyanga Mjini walioteuliwa kugombea ni Mokhe Warioba Nassor, Magile Anold Makombe na Pendo John Sawa.

About the author

Alex Sonna