marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

kocaeli escort

izmit escort

escort bayan

grandpashabet

palacebet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

celtabet, celtabet giriş

jasminbet, jasminbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betine

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

starzbet

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

casibom giriş

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

trendbet

padişahbet

bets10 giriş

Milanobet

jojobet

cratosroyalbet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

imajbet

lunabet

holiganbet

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

betmarino giriş

perabet

betmarino

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

türk porno

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

bahiscasino

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

zirvebet giriş

superbetin

jojobet

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casinomilyon

merit

betist

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

Featured Kitaifa

RAIS SAMIA ARIDHIA SH.BILIONI 160 KUJENGA VYUMBA VYA MADARASA 8,000

Written by Alex Sonna

WAZIRI  wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Innocent Bashungwa,akizngumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Septemba 28,2022 jijini Dodoma kuhusu maandalizi ya kupokea wanafunzi wa kidato cha kwanza Januari, 2023.

………………………………….

Na Alex Sonna-DODOMA

RAIS  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameidhinisha  kutolewa kiasi cha shilingi Bilioni 160 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa mapya 8000  ya shule za sekondari  kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2023 ambao ni zao la Elimumsingi bila ada.

Hayo yamesemwa leo Septemba 28, 2022 jijini Dodoma na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Innocent Bashungwa  akizngumza na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya kupokea wanafunzi wa kidato cha kwanza Januari, 2023

Bashungwa amesema kuwa kwa mwaka 2023 takribani wanafunzi 1,148,512 wanatarajiwa kujiunga na kidato cha kwanza ambapo ni wale walioanza darasa la kwanza mwaka 2016, ambapo serikali ilianza utekelezaji sera ya Elimu msingi bila ada Disemba mwaka 2015.

 ”Fedha hizo tayari zimeshaingia kwenye akaunti za shule za sekondari 2,439 zilizoainishwa kuwa na upungufu wa vyumba vya madarasa kwa ajili ya kidato cha kwanza 2023.”amesema Waziri Bashungwa

Amesema kwa sasa fedha hizo zimeshatumwa na kupokelewa kwenye halmashauri zote 184, kulingana na upungufu uliowasilishwa na kila Halmashauri husika.

Idadi ya wanafunzi waliochanguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2022 ilikuwa ni 907,802 ikilinganishwa na wanafunzi 422,403 waliohitimu kidato cha nne, hivyo kuhitaji kuongezeka miundombinu ya madarasa na vyoo yenye kutosheleza wanafunzi 485,399 wa ziada.
Ili kutatua changamoto hiyo, Serikali ya awamu ya sita ilitoa kiasi cha sh. Bilioni 240 zilizofanikisha ujenzi wa madarasa 12,000, shule shikizi 3,000 na mabweni 60.

“Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi, idadi ya wanafunzi walioandikishwa darasa la kwanza ilikuwa kubwa sana, kwa kulinganisha na miaka iliyotangulia.

Kwa mukatadha huo wanafunzi waliopo darasa la saba mwaka 2022, ndio zao la kwanza la matokeo ya Elimumsingi bila ada,”amesema Bashungwa.

Ameeleza kuwa katika hali ya kawaida matarajio ni kuwa nafasi zilizopo kwa ajili ya wanafunzi wanaojiunga na kidato cha kwanza, zitokane na uwepo wa shule mpya za sekondari, ujenzi wa miundombinu mipya na nafasi zilizoachwa na wanafunzi wanaohitimu kidato cha nne.

“Hata hivyo, kwa mwaka 2023 wanafunzi wnaaotarajiwa kujiunga na kidato cha kwanza wamekuwa ni wengi zaidi ukilinganisha na wanafunzi 454,902 wanaohitimu kidato cha nne 2022,”alisema Waziri Bashungwa.

Amefafanua kuwa kutokana na ongezeko la wanafunzi wanatarajia kujiunga na kidato cha kwanza kuwa kubwa mwaka 2023 ukilinganisha na nafasi 454,902 zitakazoachwa wazi na wanafunzi wa kidato cha nne.

Bashungwa amesisitiza kuwa pamoja na fedha za ujenzi wa madarasa mapya 8,000, Serikali katika mwaka wa fedha 2021/22 ilitoa sh. Bilioni 108 kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya za kata 231.

Aidha, shule hizo ziko katika hatua mbalimbali za ukamilishaji na zikikamilika zinatarajia kupokea waafunzi Januari 2022.

Waziri Bashungwa amewaagiza Wakuu wa Mikoa na Wilaya kuhakikisha wanazisimamia halmashauri zao kuhakikisha madarasa hayo 8000 yanamalizika nadani ya miezi miwili kabla wanafunzi wa kidato cha kwanza kuanza masomo.

Katika hatua nyingine Waziri Bashungwa amemuagiza Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI anayeshughulikia elimu DKT. Charles Msonde kufuatilia kwa kina suala la ajira mpya za walimu kwani kunamalalamiko mengi ya walimu wa ajira mpya kutolipya stahiki zao.

About the author

Alex Sonna