Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

millibahis giriş

betlivo

betra

meritking giriş

marsbahis

meritking giriş

meritking

meritking

mavibet giriş

meritking telegram

marsbahis giriş

aresbet

betcool

avrupabet

vipslot

betcool

realbahis

betmarino

marsbahis

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

kingroyal

luxbet

betmarino giriş

kareasbet

gobahis giriş

betcool giriş

betnis giriş

elitbahis giriş

luxbet

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

coinbar

grandpashabet

betpas

betpark giriş

betpark

betpark

uyuşturucu satın al

betpark giriş

runtobet

runtobet giriş

1xbet

matbet, matbet giriş

gameofbet

jojobet

hepbet giriş

betmarino

parmabet

avrupabet giriş

hepbet

hazbet giriş

gobahis

betnis

parmabet

realbahis

luxbet giriş

hazbet

aresbet giriş

betlivo

betface

betlivo giriş

betra giriş

gallerbahis

vaycasino giriş

parmabet giriş

kareasbet

casival giriş

celtabet

celtabet giriş

vipslot giriş

lordcasino

realbahis giriş

betface giriş

millibahis

lordcasino giriş

aresbet

vipslot

elitbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

jojobet giriş

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

jojobet

bodrum escort

holiganbet

jojobet güncel giriş

jojobet

grandpashabet

bets10 sorunsuz giriş

jojobet

pusulabet

holiganbet

mavibet

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

sapanca bungalov kiralama

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

celtabet

millibahis

lordcasino

casival

mavibet giriş

betlike giriş

coinbar

coinbar

artemisbet

mavibet

artemisbet giriş

mavibet

artemisbet giriş

betlike

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

meritking

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

marsbahis

betsat

marsbahis, marsbahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

matbet

sekabet güncel giriş

casinoroyal

casibom

ultrabet

casibom

casibom

casibom

grandpashabet

ultrabet

grandpashabet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

ikimisli

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

meritking

meritking

deneme bonusu

Featured Kitaifa

RAIS SAMIA ARIDHIA SH.BILIONI 160 KUJENGA VYUMBA VYA MADARASA 8,000

Written by Alex Sonna

WAZIRI  wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Innocent Bashungwa,akizngumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Septemba 28,2022 jijini Dodoma kuhusu maandalizi ya kupokea wanafunzi wa kidato cha kwanza Januari, 2023.

………………………………….

Na Alex Sonna-DODOMA

RAIS  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameidhinisha  kutolewa kiasi cha shilingi Bilioni 160 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa mapya 8000  ya shule za sekondari  kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2023 ambao ni zao la Elimumsingi bila ada.

Hayo yamesemwa leo Septemba 28, 2022 jijini Dodoma na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Innocent Bashungwa  akizngumza na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya kupokea wanafunzi wa kidato cha kwanza Januari, 2023

Bashungwa amesema kuwa kwa mwaka 2023 takribani wanafunzi 1,148,512 wanatarajiwa kujiunga na kidato cha kwanza ambapo ni wale walioanza darasa la kwanza mwaka 2016, ambapo serikali ilianza utekelezaji sera ya Elimu msingi bila ada Disemba mwaka 2015.

 ”Fedha hizo tayari zimeshaingia kwenye akaunti za shule za sekondari 2,439 zilizoainishwa kuwa na upungufu wa vyumba vya madarasa kwa ajili ya kidato cha kwanza 2023.”amesema Waziri Bashungwa

Amesema kwa sasa fedha hizo zimeshatumwa na kupokelewa kwenye halmashauri zote 184, kulingana na upungufu uliowasilishwa na kila Halmashauri husika.

Idadi ya wanafunzi waliochanguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2022 ilikuwa ni 907,802 ikilinganishwa na wanafunzi 422,403 waliohitimu kidato cha nne, hivyo kuhitaji kuongezeka miundombinu ya madarasa na vyoo yenye kutosheleza wanafunzi 485,399 wa ziada.
Ili kutatua changamoto hiyo, Serikali ya awamu ya sita ilitoa kiasi cha sh. Bilioni 240 zilizofanikisha ujenzi wa madarasa 12,000, shule shikizi 3,000 na mabweni 60.

“Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi, idadi ya wanafunzi walioandikishwa darasa la kwanza ilikuwa kubwa sana, kwa kulinganisha na miaka iliyotangulia.

Kwa mukatadha huo wanafunzi waliopo darasa la saba mwaka 2022, ndio zao la kwanza la matokeo ya Elimumsingi bila ada,”amesema Bashungwa.

Ameeleza kuwa katika hali ya kawaida matarajio ni kuwa nafasi zilizopo kwa ajili ya wanafunzi wanaojiunga na kidato cha kwanza, zitokane na uwepo wa shule mpya za sekondari, ujenzi wa miundombinu mipya na nafasi zilizoachwa na wanafunzi wanaohitimu kidato cha nne.

“Hata hivyo, kwa mwaka 2023 wanafunzi wnaaotarajiwa kujiunga na kidato cha kwanza wamekuwa ni wengi zaidi ukilinganisha na wanafunzi 454,902 wanaohitimu kidato cha nne 2022,”alisema Waziri Bashungwa.

Amefafanua kuwa kutokana na ongezeko la wanafunzi wanatarajia kujiunga na kidato cha kwanza kuwa kubwa mwaka 2023 ukilinganisha na nafasi 454,902 zitakazoachwa wazi na wanafunzi wa kidato cha nne.

Bashungwa amesisitiza kuwa pamoja na fedha za ujenzi wa madarasa mapya 8,000, Serikali katika mwaka wa fedha 2021/22 ilitoa sh. Bilioni 108 kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya za kata 231.

Aidha, shule hizo ziko katika hatua mbalimbali za ukamilishaji na zikikamilika zinatarajia kupokea waafunzi Januari 2022.

Waziri Bashungwa amewaagiza Wakuu wa Mikoa na Wilaya kuhakikisha wanazisimamia halmashauri zao kuhakikisha madarasa hayo 8000 yanamalizika nadani ya miezi miwili kabla wanafunzi wa kidato cha kwanza kuanza masomo.

Katika hatua nyingine Waziri Bashungwa amemuagiza Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI anayeshughulikia elimu DKT. Charles Msonde kufuatilia kwa kina suala la ajira mpya za walimu kwani kunamalalamiko mengi ya walimu wa ajira mpya kutolipya stahiki zao.

About the author

Alex Sonna