marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

palacebet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

setrabet

Madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

superbetin

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

casibom giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

porno izle

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino

bets10 giriş

interbahis

goldenbahis

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

primebahis

alobet, alobet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

royalbet

tarafbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

padişahbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

meritking

betoffice

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

Featured Kitaifa

WASIMAMIZI WA VITUO ATAMIZI WATAKIWA KUWA WABUNIFU

Written by Alex Sonna

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo), Bw. Tixon Nzunda akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja wa Shamba katika Chama cha Ushirika cha Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Sokoine (SUGECO), Marcelina Lubuva (kushoto) wakati alipokuwa akikagua shamba la alizeti kwenye kituo chao.

……………………………….

Katibu Mkuu anayesimamia Sekta ya Mifugo, Bw. Tixon Nzunda amewataka wasimamizi wa Vituo Atamizi vya Ufugaji Mifugo Kibiashara kwa Vijana kuwa wabunifu na kuhakikisha wanasimami utekelezaji wa mwongozo uliotolewa kuhusu vituo hivyo.

Nzunda ameyasema hayo leo (21.09.2022) wakati akifunga mafunzo ya siku mbili ya wasimamizi wa vituo atamizi vya ufugaji mifugo kibiashara kwa vijana yaliyofanyika kwenye Chuo cha Mafunzo ya Mifugo Kampasi ya Morogoro.

Wasimamizi hao wa vituo wametakiwa kuwa wabunifu hasa katika kukabiliana na changamoto watakazo kutana nazo, huku wakitakiwa kuwajenga vijana hao uwezo wa kuweza kufuga kisasa kwa vitendo, kuwa na mahusiano na mawasiliano mazuri ambayo yatawasaidia katika masoko ya mifugo pamoja na mazao ya mifugo watakayokuwa wanazalisha.

Lakini pia amewataka wasimamizi hao kuwapatia vijana elimu ya utunzaji wa malisho na upandaji wa malisho mapya ili hata watakapotoka katika vituo hivyo waweze kwenda kuanzisha mashamba ya malisho kwa ajili ya mifugo yao.

Nzunda amesema serikali kwa sasa imeamua kufungua milango kwa vijana kupitia Sekta ya Mifugo ambapo vituo hivyo vitasaidia kuwabadilisha vijana kifikra kuhusu ufugaji, kupunguza tatizo la ajira, na kuongeza uzalishaji wa mifugo na mazao yake kwa kuzingatia viwango na kuongeza kipato cha vijana na taifa kwa ujumla.

Serikali katika kuhakikisha vituo hivi vinaanza kazi kwa mwaka wa fedha 2022/2023 imatenga kiasi cha shilingi bilioni 4 kwa ajili ya kuwawezesha vijana kuanza kupata mafunzo ya ufugaji wa kisasa kwenye vituo 8 vilivyopo LITA na TALIRI ambapo usahili wa vijana hao tayari ulishakamilika.

“Vijana hawa wanakwenda kupatiwa ujuzi kuhusu maisha, ujuzi kuhusu uzalishaji wa kazi, ujuzi wa uzalishaji fedha, ujuzi wa kupata mitaji, na ujuzi wa kwenda kujenga uchumi wa nchi kupitia Sekta ya Mifugo,” alisema Katibu Mkuu Nzunda

Vijana waliochaguliwa kujiunga na vituo atamizi wametakiwa kuwa na moyo wa kujituma na kujitambua kwamba wao ni wawekezaji ambao wameingia kuwekeza kwenye Sekta ya Mifugo.

Nzunda ameitaka LITA na TALIRI kuhakikisha kazi hii inaanza kutekelezwa Septemba 26, 2022 na kwamba fedha zilizotolewa kwa kazi hii zisitumike kwa ajili ya kuendeshea ofisi wala kazi nyingine yoyote nje ya kazi iliyokusudiwa na serikali.

Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Vyuo vya Mafunzo ya Mifugo Tanzania (LITA), Dkt. Pius Mwambene amesema kuwa LITA inakwenda kuanzisha vituo 6 katika kampasi za Kikulula (Kagera), Mabuki (Mwanza) na Buhuri (Tanga) ambapo kila kituo kitachukua vijana 30 ambao watafundishwa namna ya kufuga kibiashara kwa muda wa miezi 12.

Dkt. Moses Olenesele, Mtumishi wa Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) amewasihi vijana waliopata nafasi ya kujiunga na mafunzo hayo kuhakikisha wanaitumia fursa hiyo vizuri kwa kuwa serikali imeweka matumaini kwa vijana hao kuja kuwa wafanyabiashara wakubwa wa mifugo iliyo bora.

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo), Bw. Tixon Nzunda akifunga mafunzo ya wasimamizi wa Vituo Atamizi vya Ufugaji Mifugo Kibiashara kwa Vijana yaliyofanyika kwenye Chuo cha Mafunzo ya Mifugo Kampasi ya Morogoro ambapo amewataka wasimamizi hao kuhakikisha wanakwenda kusimamia utekelezaji wa mwongozo na kuwa wabunifu katika kuhakikisha malengo ya serikali ya kuwa na vijana wenye uwezo wa kufuga mifugo kisasa na kwa tija yanatimia. Kulia ni Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Vyuo vya Mafunzo ya Mifugo Tanzania (LITA), Dkt. Pius Mwambene na kushoto ni Dkt. Moses Olenesele, Mtumishi wa Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO). 

Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Vyuo vya Mafunzo ya Mifugo Tanzania (LITA), Dkt. Pius Mwambene (kulia) akichangia mada wakati wa mafunzo ya wasimamizi wa Vituo Atamizi vya Ufugaji Mifugo Kibiashara kwa Vijana yaliyofanyika kwenye Chuo cha Mafunzo ya Mifugo Kampasi ya Morogoro. Dkt. Mwambene amesema kuwa LITA kupitia kampasi zake imejipanga kuhakikisha malengo ya serikali yanatimizwa.

Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya wasimamizi wa Vituo Atamizi vya Ufugaji Mifugo Kibiashara kwa Vijana yaliyofanyika kwenye Chuo cha Mafunzo ya Mifugo Kampasi ya Morogoro wakifuatilia mada zilizokuwa zinawasilishwa wakati wa mafunzo hayo.

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo), Bw. Tixon Nzunda akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Chama cha Ushirika cha Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Sokoine (SUGECO), Joseph Massimba (wa pili kutoka kulia) wakati alipokuwa akikagua shughuli wanazozifanya katika kituo chao ambapo amewasihi kuanza kujikita kwenye ufugaji kwa kuwa zipo fursa nyingi kupitia Sekta ya Mifugo.

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo), Bw. Tixon Nzunda akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja wa Shamba katika Chama cha Ushirika cha Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Sokoine (SUGECO), Marcelina Lubuva (kushoto) wakati alipokuwa akikagua shamba la alizeti kwenye kituo chao.

About the author

Alex Sonna