Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

avrupabet

vipslot

betcool

betlivo

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

kareasbet

hazbet

betra

meritking giriş

marsbahis

meritking

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

meritking telegram

meritking giriş

betra

gobahis

casival

casival

betcool

avrupabet

celtabet

jojobet

Hacklink panel

norabahis

kingroyal

Google

holiganbet

marsbahis

luxbet

hepbet

millibahis giriş

gobahis

vipslot

betface

elitbahis giriş

betcool

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

betlike

holiganbet

jojobet

betpark giriş

holiganbet

betpark

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

betewin

jojobet

vipslot

betnis

betmarino giriş

aresbet

aresbet

avrupabet giriş

betface

luxbet

betmarino

casival giriş

betlivo giriş

realbahis

gallerbahis

gallerbahis

aresbet giriş

parmabet

betnis

elitbahis

vaycasino giriş

betra giriş

celtabet giriş

parmabet giriş

vipslot giriş

hazbet giriş

elitbahis

luxbet giriş

hepbet

lordcasino

parmabet

lordcasino

kareasbet

betcool giriş

realbahis

meritking giriş

meritking

alobet, alobet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

slot siteleri

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

parmabet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

madridbet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

jojobet

casino siteleri

holiganbet

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

betsat

jojobet giriş

marsbahis

sweet bonanza

realko

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

betlivo

millibahis

millibahis

celtabet

millibahis

parmabet giriş

mavibet giriş

coinbar

coinbar

mislibet giriş

mavibet

parmabet giriş

parmabet

bahiscasino

mavibet

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

romabet

meritking

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

marsbahis

betsat

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat

sekabet güncel giriş

grandpashabet

grandpashabet

ultrabet

casibom

casibom

jojobet

grandpashabet

casibom

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

Featured Kitaifa

WASIMAMIZI WA VITUO ATAMIZI WATAKIWA KUWA WABUNIFU

Written by Alex Sonna

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo), Bw. Tixon Nzunda akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja wa Shamba katika Chama cha Ushirika cha Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Sokoine (SUGECO), Marcelina Lubuva (kushoto) wakati alipokuwa akikagua shamba la alizeti kwenye kituo chao.

……………………………….

Katibu Mkuu anayesimamia Sekta ya Mifugo, Bw. Tixon Nzunda amewataka wasimamizi wa Vituo Atamizi vya Ufugaji Mifugo Kibiashara kwa Vijana kuwa wabunifu na kuhakikisha wanasimami utekelezaji wa mwongozo uliotolewa kuhusu vituo hivyo.

Nzunda ameyasema hayo leo (21.09.2022) wakati akifunga mafunzo ya siku mbili ya wasimamizi wa vituo atamizi vya ufugaji mifugo kibiashara kwa vijana yaliyofanyika kwenye Chuo cha Mafunzo ya Mifugo Kampasi ya Morogoro.

Wasimamizi hao wa vituo wametakiwa kuwa wabunifu hasa katika kukabiliana na changamoto watakazo kutana nazo, huku wakitakiwa kuwajenga vijana hao uwezo wa kuweza kufuga kisasa kwa vitendo, kuwa na mahusiano na mawasiliano mazuri ambayo yatawasaidia katika masoko ya mifugo pamoja na mazao ya mifugo watakayokuwa wanazalisha.

Lakini pia amewataka wasimamizi hao kuwapatia vijana elimu ya utunzaji wa malisho na upandaji wa malisho mapya ili hata watakapotoka katika vituo hivyo waweze kwenda kuanzisha mashamba ya malisho kwa ajili ya mifugo yao.

Nzunda amesema serikali kwa sasa imeamua kufungua milango kwa vijana kupitia Sekta ya Mifugo ambapo vituo hivyo vitasaidia kuwabadilisha vijana kifikra kuhusu ufugaji, kupunguza tatizo la ajira, na kuongeza uzalishaji wa mifugo na mazao yake kwa kuzingatia viwango na kuongeza kipato cha vijana na taifa kwa ujumla.

Serikali katika kuhakikisha vituo hivi vinaanza kazi kwa mwaka wa fedha 2022/2023 imatenga kiasi cha shilingi bilioni 4 kwa ajili ya kuwawezesha vijana kuanza kupata mafunzo ya ufugaji wa kisasa kwenye vituo 8 vilivyopo LITA na TALIRI ambapo usahili wa vijana hao tayari ulishakamilika.

“Vijana hawa wanakwenda kupatiwa ujuzi kuhusu maisha, ujuzi kuhusu uzalishaji wa kazi, ujuzi wa uzalishaji fedha, ujuzi wa kupata mitaji, na ujuzi wa kwenda kujenga uchumi wa nchi kupitia Sekta ya Mifugo,” alisema Katibu Mkuu Nzunda

Vijana waliochaguliwa kujiunga na vituo atamizi wametakiwa kuwa na moyo wa kujituma na kujitambua kwamba wao ni wawekezaji ambao wameingia kuwekeza kwenye Sekta ya Mifugo.

Nzunda ameitaka LITA na TALIRI kuhakikisha kazi hii inaanza kutekelezwa Septemba 26, 2022 na kwamba fedha zilizotolewa kwa kazi hii zisitumike kwa ajili ya kuendeshea ofisi wala kazi nyingine yoyote nje ya kazi iliyokusudiwa na serikali.

Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Vyuo vya Mafunzo ya Mifugo Tanzania (LITA), Dkt. Pius Mwambene amesema kuwa LITA inakwenda kuanzisha vituo 6 katika kampasi za Kikulula (Kagera), Mabuki (Mwanza) na Buhuri (Tanga) ambapo kila kituo kitachukua vijana 30 ambao watafundishwa namna ya kufuga kibiashara kwa muda wa miezi 12.

Dkt. Moses Olenesele, Mtumishi wa Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) amewasihi vijana waliopata nafasi ya kujiunga na mafunzo hayo kuhakikisha wanaitumia fursa hiyo vizuri kwa kuwa serikali imeweka matumaini kwa vijana hao kuja kuwa wafanyabiashara wakubwa wa mifugo iliyo bora.

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo), Bw. Tixon Nzunda akifunga mafunzo ya wasimamizi wa Vituo Atamizi vya Ufugaji Mifugo Kibiashara kwa Vijana yaliyofanyika kwenye Chuo cha Mafunzo ya Mifugo Kampasi ya Morogoro ambapo amewataka wasimamizi hao kuhakikisha wanakwenda kusimamia utekelezaji wa mwongozo na kuwa wabunifu katika kuhakikisha malengo ya serikali ya kuwa na vijana wenye uwezo wa kufuga mifugo kisasa na kwa tija yanatimia. Kulia ni Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Vyuo vya Mafunzo ya Mifugo Tanzania (LITA), Dkt. Pius Mwambene na kushoto ni Dkt. Moses Olenesele, Mtumishi wa Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO). 

Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Vyuo vya Mafunzo ya Mifugo Tanzania (LITA), Dkt. Pius Mwambene (kulia) akichangia mada wakati wa mafunzo ya wasimamizi wa Vituo Atamizi vya Ufugaji Mifugo Kibiashara kwa Vijana yaliyofanyika kwenye Chuo cha Mafunzo ya Mifugo Kampasi ya Morogoro. Dkt. Mwambene amesema kuwa LITA kupitia kampasi zake imejipanga kuhakikisha malengo ya serikali yanatimizwa.

Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya wasimamizi wa Vituo Atamizi vya Ufugaji Mifugo Kibiashara kwa Vijana yaliyofanyika kwenye Chuo cha Mafunzo ya Mifugo Kampasi ya Morogoro wakifuatilia mada zilizokuwa zinawasilishwa wakati wa mafunzo hayo.

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo), Bw. Tixon Nzunda akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Chama cha Ushirika cha Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Sokoine (SUGECO), Joseph Massimba (wa pili kutoka kulia) wakati alipokuwa akikagua shughuli wanazozifanya katika kituo chao ambapo amewasihi kuanza kujikita kwenye ufugaji kwa kuwa zipo fursa nyingi kupitia Sekta ya Mifugo.

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo), Bw. Tixon Nzunda akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja wa Shamba katika Chama cha Ushirika cha Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Sokoine (SUGECO), Marcelina Lubuva (kushoto) wakati alipokuwa akikagua shamba la alizeti kwenye kituo chao.

About the author

Alex Sonna