marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

kocaeli escort

izmit escort

escort bayan

grandpashabet

palacebet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

ultrabet giriş

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

celtabet, celtabet giriş

jasminbet, jasminbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

starzbet

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

trendbet giriş

Milanobet

jojobet

türk ifşa

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

padişahbet giriş

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

ifşa

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

bahiscasino

vdcasino

vaycasino giriş

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

superbetin

jojobet

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

bahis siteleri

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casinomilyon

deneme bonusu veren siteler

eminevim

Featured Kitaifa

MTANDAO WA WABUNGE WA KUPAMBANA NA RUSHWA AFRIKA TAWI LA TANZANIA KUSHIRIKIANA NA TAKUKURU KUITOKOMEZA RUSHWA NCHINI

Written by Alex Sonna

Makamu Mwenyekiti wa Mtandao wa Wabunge wa Kupambana na Rushwa Afrika tawi la Tanzania (APNAC) Mhe. Cecilia Pareso (Mb) akizungumza wakati wa semina kuhusu elimu ya mapambano dhidi ya rushwa iliyoandaliwa na TAKUKURU jijini Dodoma kwa lengo kuwajengea uwezo wajumbe wa mtandao wa APNAC ili waweze kushirikiana vema na TAKUKURU katika mapambano dhidi ya rushwa nchini.

………………….

Na. James K. Mwanamyoto-Dodoma

Makamu Mwenyekiti wa Mtandao wa Wabunge wa Kupambana na Rushwa Afrika tawi la Tanzania (APNAC) Mhe. Cecilia Pareso (Mb) amesema mtandao wao utashirikiana kikamilifu na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) katika mapambano dhidi ya vitendo vya rushwa kwani rushwa inakwamisha utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na utoaji wa huduma bora kwa wananchi.

Mhe. Pareso amesema hayo jijini Dodoma wakati wa semina ya kuwajengea uwezo wajumbe wa Mtandao wa Wabunge wa Kupambana na Rushwa Afrika tawi la Tanzania (APNAC) ili waweze kushirikiana vema na TAKUKURU katika kuitokomeza rushwa nchini. 

“Sisi wabunge ambao ni wajumbe wa Mtandao wa Wabunge wa Kupambana na Rushwa Afrika tawi la Tanzania kwa pamoja tunaunga mkono juhudi za serikali kuhakikisha rushwa inatokomezwa nchini kwa sababu kukiwa na rushwa wananchi hawawezi kupata huduma wanayostahili,” Mhe. Pareso amesisitiza.

Naye, Katibu Mkuu wa Mtandao wa Wabunge wa Kupambana na Rushwa Afrika tawi la Tanzania, Mhe. Vita Kawawa (Mb) amesema semina waliyopatiwa imekuja wakati muafaka kwani itawawezesha kupata elimu ya kutosha ya jinsi ya kushirikiana na TAKUKURU katika mapambano dhidi ya rushwa nchini.

Mhe. Vita Kawawa amesema kuwa, semina waliyopatiwa itakuwa na manufaa kwa waheshimiwa wabunge ambao ni wajumbe wa Mtandao wa Wabunge wa Kupambana na Rushwa Afrika tawi la Tanzania, kwa sababu wanatoka katika maeneo ambayo fedha nyingi za miradi zimeelekezwa na Serikali, hivyo watatumia elimu waliyoipata kuzuia mianya ya rushwa ambayo inaweza kukwamisha utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo.

Kwa upande wake, Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema kuwa, Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ametoa fedha nyingi kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika maeneo mbalimbali nchini, hivyo wajumbe wa APNAC wakimuunga mkono kupambana na rushwa kwa kushirikiana na TAKUKURU watawezesha fedha za miradi kutumika kwa malengo yaliyokusudiwa.

Mhe. Ndejembi ameongeza kuwa, anaamini baada ya wajumbe hao wa Mtandao wa Wabunge wa Kupambana na Rushwa Afrika tawi la Tanzania kupatiwa semina hiyo ya kuwawezesha kupambana na vitendo vya rushwa, watakuwa na ari na nguvu zaidi ya kukemea vitendo vya rushwa katika jamii inayowazunguka ikizingatiwa kwamba, wajumbe hao ni wajumbe wa kamati za fedha katika halmashauri zao.

Akizungumza kuhusu lengo la TAKUKURU kuandaa semina hiyo kwa wajumbe wa APNAC, Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Kamishna wa Polisi, Salum Hamduni amewaomba wajumbe wa APNAC kusaidia kuwahamasisha waheshimiwa wabunge wengine kutoa elimu ya mapambano dhidi ya rushwa kwa wananchi pindi wanapokutana nao katika mikutano na shughuli mbalimbali za kijamii.

Wajumbe wa Mtandao wa Wabunge wa Kupambana na Rushwa Afrika tawi la Tanzania (APNAC) kupitia Semina hiyo ya siku moja iliyoandaliwa na TAKUKURU walipata fursa ya kupitishwa kwenye mada iliyohusu wajibu wao katika kuzuia vitendo vya rushwa nchini. 

Makamu Mwenyekiti wa Mtandao wa Wabunge wa Kupambana na Rushwa Afrika tawi la Tanzania (APNAC) Mhe. Cecilia Pareso (Mb) akizungumza wakati wa semina kuhusu elimu ya mapambano dhidi ya rushwa iliyoandaliwa na TAKUKURU jijini Dodoma kwa lengo kuwajengea uwezo wajumbe wa mtandao wa APNAC ili waweze kushirikiana vema na TAKUKURU katika mapambano dhidi ya rushwa nchini.

Wajumbe wa Mtandao wa Wabunge wa Kupambana na Rushwa Afrika tawi la Tanzania (APNAC) na baadhi ya watendaji wa TAKUKURU wakifuatilia mada ya wajibu wa wabunge wanachama wa APNAC Tanzania katika mapambano dhidi ya rushwa nchini iliyoandaliwa na TAKUKURU.

Katibu Mkuu wa Mtandao wa Wabunge wa Kupambana na Rushwa Afrika tawi la Tanzania, Mhe. Vita Kawawa (Mb) akieleza umuhimu wa semina waliyopatiwa na TAKUKURU katika kuwezesha utekelezaji wa majukumu yao pamoja na ushiriki wao katika mapambano dhidi ya vitendo vya rushwa nchini.

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi akifungua semina kuhusu elimu ya mapambano dhidi ya rushwa iliyoandaliwa na TAKUKURU kwa lengo kuwajengea uwezo wajumbe wa Mtandao wa Wabunge wa Kupambana na Rushwa Afrika tawi la Tanzania (APNAC) ili waweze kutekeleza majukumu yao kikamilifu na kushirikiana na TAKUKURU katika mapambano dhidi ya vitendo vya rushwa nchini.

Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Kamishna wa Polisi Salum Hamduni akieleza lengo la TAKUKURU kuandaa semina kwa wajumbe wa Mtandao wa Wabunge wa Kupambana na Rushwa Afrika tawi la Tanzania (APNAC) iliyofanyika jijini Dodoma.

Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma TAKUKURU Bw. Joseph Mwaiswelo akiwasilisha mada ya wajibu wa Wajumbe wa Mtandao wa Wabunge wa Kupambana na Rushwa Afrika tawi la Tanzania (APNAC) katika kuzuia vitendo vya rushwa nchini.

Makamu Mwenyekiti wa Mtandao wa Wabunge wa Kupambana na Rushwa Afrika tawi la Tanzania (APNAC) Mhe. Cecilia Pareso (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa mtandao huo, mara baada ya kupata semina kuhusu elimu ya mapambano dhidi ya rushwa iliyoandaliwa na TAKUKURU jijini Dodoma.

About the author

Alex Sonna