Featured Kitaifa

WAZIRI MKUU ATEMBELEA KAMBI YA AFYA CHECK, RUANGWA

Written by mzalendoeditor

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwashukuru wauguzi kutoka Hospitali ya Mtakatifu Benedict Ndanda ambao walishiriki katika Programu ya Afya Check iliyotoa huduma ya kupima, kutibu na kutoa ushauri wa afya bure kwa wananchi  kwa muda wa wiki moja,  katika uwanja wa Likangala kwenye halmashauri ya wilaya ya Rungwa, Septemba 11, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

About the author

mzalendoeditor